Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani kuna tatizoVipi hako kajamaa yako kameshazungumza?
Hata sijui.kwani kuna tatizo
Mkuu WIGWA, CCM wanapenda sana wazo hilo la 'kutoshiriki kwa vyama vya upinzani'; si uliona lilivyofanikisha ushindi wa CCM katika serikali za mitaa, au mara hii umesha sahau?Kalamu1,
unajua mmeshaambiwa na katibu mmkuu wa ccm kuwa nyie mnaosubiri huruma ya tume nyingine ili mshinde mmechelewa sna sasa njia moja nawapa uchaguzi ukifika JITOENI MSISHIRIKI hapo mtakuwa mmewakomoa kweli tena sanaa
Ondoka nyuma ya keyboard, jiunge piga red barrett.....uone cha mtemakuni !una hoja
Bushiru rudi ukafundishe...huko uliko unazidi kupotea...wewe ni mwana taaluma haya ma siasa ya kubumba maneno hayakufai.Aliyezungumza ni Bashiru
View attachment 1311029
Hili ndilo ninaloshindwa kuwaelewa CHADEMA kwa nini hawalipi nguvu zote. Ni njia pekee kwa sasa iliyobaki yenye usalama.Mwaka huu wa uchaguzi elimu itolewe ili watu wengi wajitokeze siku ya kupiga kura na wawachague viongozi wa chaguo lao
niko huko mwaka wa 10 sasa , muulize MwakyembeOndoka nyuma ya keyboard, jiunge piga red barrett.....uone cha mtemakuni !
Wewe humjui Salim acha uzushi!Jangili apewe jimbo ili iweje ? iringa siyo kondoa
hivi kati ya ccm na Diamond nani alianza kumbembeleza mwenzake ?
Hawa jamaa wamejiandaa kuzuia wagombea wa upinzani kuchukua/kurudisha fomu za kugombea,kuwaondolea sifa,kuwabimbikia kesi,kuteka,kushambulia/kuua wagombea nk.Ni vizuri kuhamasisha wananchi kujilinda/kulindana,kuhakikisha wanapiga kura na kuzilinda kikamilifu.Hili ndilo ninaloshindwa kuwaelewa CHADEMA kwa nini hawalipi nguvu zote. Ni njia pekee kwa sasa iliyobaki yenye usalama.
Ni bora CCM waonekane wachafu zaidi kwa kufuta kura zilizo wazi zilizopigwa na wananchi wengi, kuliko wananchi hao kubaki majumbani wakilalamika tu bila ya kwenda kupiga kura.
Kazi wanayotakiwa CHADEMA na wenzao kuifanya kwa bidii kubwa ni kuhimiza watu wengi kuliko kawaida ya chaguzi zetu zote zilizopita kujitokeza na kwenda kupiga kura.
Hata kama wataipigia CCM ni bora kuliko kutokwenda kupiga kura.
Duu! Makubwa !hivi kati ya ccm na Diamond nani alianza kumbembeleza mwenzake ?