Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamnaga ofisi
una hojaChadema wajue njia pekee iliyobaki ni kuingia msituni!mbona tuna mapori mengi tu???hela ya ruzuku inatosha kabisa kununulia silaha!!acheni uoga!!tume huru haitopatikana kwa kukaa hotelini bali msituni!red brigade wako wapi???
Ukiona hivyo ujue sawa imewaingia vizuri.Matamko koko tu na kutaka kujionesha kwamba na wao wapo
Tutasikia tu wanataka tume huru,wanalaani kabendera kutoruhusiwa kuzika na kupiga mikwara mbuzi uchaguzi usipofanyika mwaka huu damu itamwagika!
Kumbe Chadema kuna Kanda nzito na nyepesi!!
2020 fisi hatoachiwa buchaunajua mmeshaambiwa na katibu mmkuu wa ccm kuwa nyie mnaosubiri huruma ya tume nyingine ili mshinde mmechelewa sna sasa njia moja nawapa uchaguzi ukifika JITOENI MSISHIRIKI hapo mtakuwa mmewakomoa kweli tena sanaa
kwani tatizo liko wapi?Kila siku kwako kumekucha.
Hata sijui.kwani tatizo liko wapi?
Hakuwa Plato,bali mwalimu wa Plato aitwaye Socrates.Ndio maana Plato alitembea na taa ya kandili mchana Sasa nimemuelewa !!!
Katika mwanga huu wa mchana bado Kuna walio gizani alijibu alipoulizwa !!
giza tena la akiliKwani tatizo liko wapi?
Sasa muwabambikie makodi halafu muje na mkwara kuwa hizo fedha walizobaki nazo wawafanyie kampeni hata siku mojaHao nao wanapoteza Muda tu,,,,Hilo Jimbo kashaandaliwa Bin Abri...Asas Company,,,Msigwa buriani
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi hako kajamaa yako kameshazungumza?kwani tatizo liko wapi?
Aliyezungumza ni BashiruVipi hako kajamaa yako kameshazungumza?
Oh kumekucha sijui nini halafu unaishia kusema Bashiru ndiye aliyezungumza. Mbona sasa unaweweseka. Bado hakujakucha huko kwenye kanda nzito ya Nyasa?Aliyezungumza ni Bashiru
View attachment 1311029
misituni huko kuna kambi za JWTZ unaongelea misitu ipi?Chadema wajue njia pekee iliyobaki ni kuingia msituni!mbona tuna mapori mengi tu??