Kumekucha: CHADEMA Kanda ya Nyasa kuzungumza na Waandishi wa Habari Iringa Mjini

Kumekucha: CHADEMA Kanda ya Nyasa kuzungumza na Waandishi wa Habari Iringa Mjini

Chadema wajue njia pekee iliyobaki ni kuingia msituni!mbona tuna mapori mengi tu???hela ya ruzuku inatosha kabisa kununulia silaha!!acheni uoga!!tume huru haitopatikana kwa kukaa hotelini bali msituni!red brigade wako wapi???
 
Chadema wajue njia pekee iliyobaki ni kuingia msituni!mbona tuna mapori mengi tu???hela ya ruzuku inatosha kabisa kununulia silaha!!acheni uoga!!tume huru haitopatikana kwa kukaa hotelini bali msituni!red brigade wako wapi???
una hoja
 
Matamko koko tu na kutaka kujionesha kwamba na wao wapo
Tutasikia tu wanataka tume huru,wanalaani kabendera kutoruhusiwa kuzika na kupiga mikwara mbuzi uchaguzi usipofanyika mwaka huu damu itamwagika!
Ukiona hivyo ujue sawa imewaingia vizuri.
 
Kalamu1,
unajua mmeshaambiwa na katibu mmkuu wa ccm kuwa nyie mnaosubiri huruma ya tume nyingine ili mshinde mmechelewa sna sasa njia moja nawapa uchaguzi ukifika JITOENI MSISHIRIKI hapo mtakuwa mmewakomoa kweli tena sanaa
 
unajua mmeshaambiwa na katibu mmkuu wa ccm kuwa nyie mnaosubiri huruma ya tume nyingine ili mshinde mmechelewa sna sasa njia moja nawapa uchaguzi ukifika JITOENI MSISHIRIKI hapo mtakuwa mmewakomoa kweli tena sanaa
2020 fisi hatoachiwa bucha
 
CCM walivyo waoga hawakawii kukodi mapolice wakafanye fujo ili ionekane ni CDM kisha wafunguliwe kesi za kuhatarisha amani na uchochezi.
 
Vipi hako kajamaa yako kameshazungumza?
Aliyezungumza ni Bashiru
Kwa hiyo mkapa anayedai tume huru ya uchaguzi anataka imsaidie kupata ushindi wa ( 800 X 640 ).jpg
 
Back
Top Bottom