Kumekucha: DAWASA yatoa ratiba ya mgao wa maji Dar es Salaam

Kumekucha: DAWASA yatoa ratiba ya mgao wa maji Dar es Salaam

Kumamake kwetu haiko hata mara moja...
Kazi iendelee motherfucker...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wewe balaaaaaa yaniiii. Umecomment baada ya kuvuta bange 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mamlaka ya maji safi na maji taka Dar es Salaam imetangaza mgao wa maji jiji la Dar es Salaam kanda ya Kinondoni ili kupunguza kero kwenye maeneo yanayotajwa kuwa na msukumo mdogo. Katika ratiba hiyo wakaazi wa Masaki, Mikocheni na Obey wameula, watapata maji saa 24 siku saba za wiki. Baadhi ya maeneo sijayaona kabisa pia tangazo halina mwanzo wala ukomo wa mgao.

Anyways tunawasubiri Tanesco nao watoe ratiba badala ya kwenda kimya kimya pia wasisahau majenereta ya IPTL, tuko tayari kuchangia akaunti ya Tegeta Escrow..

Uongo mtupu. Kuna maeneo ya Sinza hayajapata maji hata kabla DAWASA kutangaza mgao, ati msukumo wa maji ni mdogo
 
Hii nchi il isonge mbele inamuhitaj kiongoz mwenye roho ngumu na roho isiyo ya huruma kwa washenz na wahujumu,

mambo ya udemokrasia na kuchekeana madhara yake ndiyo haya muyaonayo.

bibi yenu hajui kuwaadabisha watendaj wake, zaid ya kuwachekea, hapa ni mwanzo tu, yajayo yanasikitisha.[emoji41][emoji41]
 
Kuna wilaya haziguswi na DAWASA kabisa wilaya ya Kigamboni, Ubungo, Temeke na Ukonga wao wamejizoelea kunywa maji ya madimbwi wanayojichimbia na Maji ya mvua.

Ukiwaangalia hata muonekano wa sura wanaotoka maeneo hayo yasiyo na ratiba wako tofauti na huko kwenye ratiba ya Dawasa sura zao zimekakamaa hasa

Ratiba haiwahusu
Acha hizo ww...mm n mkaz wa ukonga..huku watu wamechimba visima binafsi..maji safi yasiyo na chumvi yapo 24 hrs..hatuna shida na DAWASCO

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Maji yamepungua mto Ruvu hakuna cha Magufuli angekuwepo wala nini acheni kumfanya huyo mtu kama Mungu, ilitokea bahati nzuri katika kipindi chake halikutokea tatizo kama hili basi.
Mkuu naona upeo wako wa kufikiri ni mdogo Mno ...... Wewe cha kifanya ni ... Soma comment za wadau uelimike zaidi.

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Sawa aliwa wa nyamazisha wasema ukweli ila maji yalikuwa yana patikana.

Tatizo mnapenda kusimuliwa, ila mwisho wa siku legacy Magu ina lindwa na uhalisia ninepita kariakoo mida ya saa kumi na moja jioni ni kelele za majenereta mtindo mmoja nafika karibia na home naiona kirukuu imejaza madumu ya kutosha inakula vichwa nimechukua yangu matano, kwa buku 5 maisha yana endelea.

Ila ninacho shangaa sasa hivi hamja nyamazishwa, ila mgao wa maji na umeme kila kona, mwengine anakuja tn 1.5,ukimwambia akupe paragraph au hata page kutoka ktk repoti ya CAG hajui, ila ndio kalikuta huko nae kalibeba kama lilivyo, wewe maji zamani dumu 100,sasa hivi 1000 sijui huko mbele litakuwa kiasi gani.
Kwamba huoni huu ukame unaoendelea?

Hakuna cha legacy, jpm did nothing zaidi ya ku-opress wasema ukweli.
 
Wakati wa jpm haya mamigao yalikuwepo ila hakukuwa na mtu mwenye ujasiri wa kusema.

Msimuone jpm kama alifanya ya maana, alikuwa hopeless tu aliweza tumia vyombo vya dola kunyamazisha wasema ukweli.
You nailed it !!!
Caged birds thinks that flying is an illness,
 
Eeh nchi inafunguliwa bwana toka kwa dhalimu jiwe [emoji28]!!!

Dhalimu ambaye hajawahi kuwalaza gizani zaidi ya masaa 24 katika siku zote ambazo alikuwa madarakani! Maji hayakuwahi kukatika katika namna yeyote isioeleweka[emoji28]

“Sote tu watu wazima haina haja ya kufatiliana na kutumbuana kila mtu afanye majukumu yake kwa moyo”~Amiri jeshi

Ha ha ha ha ha ha! Wacha nifike mlimani nikajipooze na AC za umma kwanza[emoji28] hii joto ya huku uswahilini haifai!
Huyu late JPM aliwezaje
Kama tupo early 90's maji hayapo kabisa
 
JPM alisema mtamkumbuka, mtamkumbuka tu... sio ombi! Pale samaki wenu watakapoanza kuoza kwa kukosa umeme wa mafriji, pale mtakapoanza kukosa maji ya kufanyia shughuli za kila siku...
Sasa hapo obei na masaki wanatumia mfumo tofauti??
Ulivyoandika utadhani kipindi cha magufuli umeme ulikuwa haukatiki!

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Walimchukia Jiwe Mwamba, walisahau mambo muhimu wanayo ya hitaji haya sasa kumekucha umeme,maji,machinga, tozo, foleni za kikuda n.k kiufupi kimeumana tutakoma ubishi [emoji18]


(TUKUTANE 2025)
2025
Tume 3
Wananchi 0
 
Back
Top Bottom