Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
Usiwakumbushe mkuu, maana watatukumbuka na Sisi tusiokuwepoMbona kuna maeneo hayapo Inamaana maeneo hayo tu kwa Dar ndo yanashida ya maji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwakumbushe mkuu, maana watatukumbuka na Sisi tusiokuwepoMbona kuna maeneo hayapo Inamaana maeneo hayo tu kwa Dar ndo yanashida ya maji?
NAFIKIRI ALIKUWA HOUSE BOY WA MUNGU [emoji848]. NDIO MAANA TULINEEMEKA ..... Mpaka Tulikuwa Tumesahau Misamiati ya MGAWO WA UMEME NA MAJI.Kwani huyo fala alikuaa Mungu?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wewe balaaaaaa yaniiii. Umecomment baada ya kuvuta bange 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kumamake kwetu haiko hata mara moja...
Kazi iendelee motherfucker...
Uongo mtupu. Kuna maeneo ya Sinza hayajapata maji hata kabla DAWASA kutangaza mgao, ati msukumo wa maji ni mdogoMamlaka ya maji safi na maji taka Dar es Salaam imetangaza mgao wa maji jiji la Dar es Salaam kanda ya Kinondoni ili kupunguza kero kwenye maeneo yanayotajwa kuwa na msukumo mdogo. Katika ratiba hiyo wakaazi wa Masaki, Mikocheni na Obey wameula, watapata maji saa 24 siku saba za wiki. Baadhi ya maeneo sijayaona kabisa pia tangazo halina mwanzo wala ukomo wa mgao.
Anyways tunawasubiri Tanesco nao watoe ratiba badala ya kwenda kimya kimya pia wasisahau majenereta ya IPTL, tuko tayari kuchangia akaunti ya Tegeta Escrow..
Acha hizo ww...mm n mkaz wa ukonga..huku watu wamechimba visima binafsi..maji safi yasiyo na chumvi yapo 24 hrs..hatuna shida na DAWASCOKuna wilaya haziguswi na DAWASA kabisa wilaya ya Kigamboni, Ubungo, Temeke na Ukonga wao wamejizoelea kunywa maji ya madimbwi wanayojichimbia na Maji ya mvua.
Ukiwaangalia hata muonekano wa sura wanaotoka maeneo hayo yasiyo na ratiba wako tofauti na huko kwenye ratiba ya Dawasa sura zao zimekakamaa hasa
Ratiba haiwahusu
Mkuu naona upeo wako wa kufikiri ni mdogo Mno ...... Wewe cha kifanya ni ... Soma comment za wadau uelimike zaidi.Maji yamepungua mto Ruvu hakuna cha Magufuli angekuwepo wala nini acheni kumfanya huyo mtu kama Mungu, ilitokea bahati nzuri katika kipindi chake halikutokea tatizo kama hili basi.
Wewe ni mpuuzi unataka kila mtu amuabudu huyo shetani wenu! Unafikiri ingetokea wakati yupo angeukojolea mto ili maji yajae au angefanyaje?Mkuu naona upeo wako wa kufikiri ni mdogo Mno ...... Wewe cha kifanya ni ... Soma comment za wadau uelimike zaidi.
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kwamba huoni huu ukame unaoendelea?Sawa aliwa wa nyamazisha wasema ukweli ila maji yalikuwa yana patikana.
Tatizo mnapenda kusimuliwa, ila mwisho wa siku legacy Magu ina lindwa na uhalisia ninepita kariakoo mida ya saa kumi na moja jioni ni kelele za majenereta mtindo mmoja nafika karibia na home naiona kirukuu imejaza madumu ya kutosha inakula vichwa nimechukua yangu matano, kwa buku 5 maisha yana endelea.
Ila ninacho shangaa sasa hivi hamja nyamazishwa, ila mgao wa maji na umeme kila kona, mwengine anakuja tn 1.5,ukimwambia akupe paragraph au hata page kutoka ktk repoti ya CAG hajui, ila ndio kalikuta huko nae kalibeba kama lilivyo, wewe maji zamani dumu 100,sasa hivi 1000 sijui huko mbele litakuwa kiasi gani.
Umeandikiwa KINONDONI wewe unasema kimara, hivi huwa mnasomaga vitu gani..?.Kimara vip
😄😄😄 Mataga bana.Deni limeongezeka kwasababu ya riba ya madeni ya nyuma
You nailed it !!!Wakati wa jpm haya mamigao yalikuwepo ila hakukuwa na mtu mwenye ujasiri wa kusema.
Msimuone jpm kama alifanya ya maana, alikuwa hopeless tu aliweza tumia vyombo vya dola kunyamazisha wasema ukweli.
Nyie ndo msahau kabisa😂😂Kimara vip
Huyu late JPM aliwezajeEeh nchi inafunguliwa bwana toka kwa dhalimu jiwe [emoji28]!!!
Dhalimu ambaye hajawahi kuwalaza gizani zaidi ya masaa 24 katika siku zote ambazo alikuwa madarakani! Maji hayakuwahi kukatika katika namna yeyote isioeleweka[emoji28]
“Sote tu watu wazima haina haja ya kufatiliana na kutumbuana kila mtu afanye majukumu yake kwa moyo”~Amiri jeshi
Ha ha ha ha ha ha! Wacha nifike mlimani nikajipooze na AC za umma kwanza[emoji28] hii joto ya huku uswahilini haifai!
Kule ushuani mzee 😅 hata pakitajwa pananogesha story tu ila hamna huduma inakatwa kuleKKMMKK mbona
Usakini na Oysterbay kila siku maji.
Hata mi naonaMungu amejibu maombi ya upinzani.
Jiwe amekufa,Wapinzani wana amani sasa na wanakula bata,,nchi imefunguka.
Ulivyoandika utadhani kipindi cha magufuli umeme ulikuwa haukatiki!JPM alisema mtamkumbuka, mtamkumbuka tu... sio ombi! Pale samaki wenu watakapoanza kuoza kwa kukosa umeme wa mafriji, pale mtakapoanza kukosa maji ya kufanyia shughuli za kila siku...
Sasa hapo obei na masaki wanatumia mfumo tofauti??
Baharini chumvi mleNenda baharini kajizimishe
2025Walimchukia Jiwe Mwamba, walisahau mambo muhimu wanayo ya hitaji haya sasa kumekucha umeme,maji,machinga, tozo, foleni za kikuda n.k kiufupi kimeumana tutakoma ubishi [emoji18]
(TUKUTANE 2025)