Kumekucha: DAWASA yatoa ratiba ya mgao wa maji Dar es Salaam

Kumekucha: DAWASA yatoa ratiba ya mgao wa maji Dar es Salaam

Eeh nchi inafunguliwa bwana toka kwa dhalimu jiwe [emoji28]!!!

Dhalimu ambaye hajawahi kuwalaza gizani zaidi ya masaa 24 katika siku zote ambazo alikuwa madarakani! Maji hayakuwahi kukatika katika namna yeyote isioeleweka[emoji28]

“Sote tu watu wazima haina haja ya kufatiliana na kutumbuana kila mtu afanye majukumu yake kwa moyo”~Amiri jeshi

Ha ha ha ha ha ha! Wacha nifike mlimani nikajipooze na AC za umma kwanza[emoji28] hii joto ya huku uswahilini haifai!
Mungu amejibu maombi ya upinzani.
Jiwe amekufa,Wapinzani wana amani sasa na wanakula bata,,nchi imefunguka.
 
Sawa aliwa wa nyamazisha wasema ukweli ila maji yalikuwa yana patikana.

Tatizo mnapenda kusimuliwa, ila mwisho wa siku legacy Magu ina lindwa na uhalisia ninepita kariakoo mida ya saa kumi na moja jioni ni kelele za majenereta mtindo mmoja nafika karibia na home naiona kirukuu imejaza madumu ya kutosha inakula vichwa nimechukua yangu matano, kwa buku 5 maisha yana endelea.

Ila ninacho shangaa sasa hivi hamja nyamazishwa, ila mgao wa maji na umeme kila kona, mwengine anakuja tn 1.5,ukimwambia akupe paragraph au hata page kutoka ktk repoti ya CAG hajui, ila ndio kalikuta huko nae kalibeba kama lilivyo, wewe maji zamani dumu 100,sasa hivi 1000 sijui huko mbele litakuwa kiasi gani.
Hii nchi punguani ni wengi mkuu, utakauka mate kuwaelimisha. Wanasahau anayeteseka ni mtu wa hali ya chini kabisa kuna watu hata maji yauzwe 5000 dumu moja kwake sio issue.
 
Kuna wilaya haziguswi na DAWASA kabisa wilaya ya Kigamboni, Ubungo, Temeke na Ukonga wao wamejizoelea kunywa maji ya madimbwi wanayojichimbia na Maji ya mvua.

Ukiwaangalia hata muonekano wa sura wanaotoka maeneo hayo yasiyo na ratiba wako tofauti na huko kwenye ratiba ya Dawasa sura zao zimekakamaa hasa

Ratiba haiwahusu
Ushamba utakuua huko magufuli alipoingia kulikua na visima vyao maji yanatoka kila siku sema tuu kuna mijusi huwa wanakata kwasababu wanapenda karaisha wanadamu wenzao
 
Jamaa Ana matatizo Sana yani kisa chuki zake, ndo anaona hata serikali iliyopo ikiharibu sawa tu kwakuwa watakatifu eti at the same time hana ushahidi wa utakatifu wao
Huyo jamaa atakua anaishi na kimba.. Huna maji kimba utaflashi vipi afu inasema bora kukosa maji
 
Sasa hebu ipitie ili ujue ni lini eneo lako litaguswa .

Za_usiku_Wakuu%3F.jpg
 
[emoji1][emoji1] hebu tuwekee hapa alikuta Deni la nchi Ni kiasi gani na ameacha Deni la nchi Ni kiasi gani?

[emoji1][emoji1][emoji1] Jamani tunanunua ndege kwa hela zetu za ndani,sisi ni matajiriiii au Nasema uongo ndg zangu?[emoji1][emoji1][emoji1]
Deni limeongezeka kwasababu ya riba ya madeni ya nyuma
 
Mamlaka ya maji safi na maji taka Dar es Salaam imetangaza mgao wa maji jiji la Dar es Salaam kanda ya Kinondoni ili kupunguza kero kwenye maeneo yanayotajwa kuwa na msukumo mdogo. Katika ratiba hiyo wakaazi wa Masaki, Mikocheni na Obey wameula, watapata maji saa 24 siku saba za wiki. Baadhi ya maeneo sijayaona kabisa pia tangazo halina mwanzo wala ukomo wa mgao.

Anyways tunawasubiri Tanesco nao watoe ratiba badala ya kwenda kimya kimya pia wasisahau majenereta ya IPTL, tuko tayari kuchangia akaunti ya Tegeta Escrow..

Mliomtusi jiwe haiwahusu hii
 
Back
Top Bottom