Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijapenda kabisaKuna wilaya haziguswi na DAWASA kabisa wilaya ya Kigamboni, Ubungo, Temeke na Ukonga wao wamejizoelea kunywa maji ya madimbwi wanayojichimbia na Maji ya mvua.
Ukiwaangalia hata muonekano wa sura wanaotoka maeneo hayo yasiyo na ratiba wako tofauti na huko kwenye ratiba ya Dawasa sura zao zimekakamaa hasa
Ratiba haiwahusu
Huko Bonyokwa kwani na nyinyi maji yanawahusu?Kimara vip
We mvuta BANGI ama?Nilikuteka mara 3 na kukutorosha kutoka kwa mumeo. Nitakuteka Tena awamu hii ya 6.
Sa hivi mnademka tu kumtetea mama,akili zenu zimeonja uji wa mirembe eeeh,tukiwaambia nyinyi mna element ya ufisadi mtasemaje?Mkiwa mnajenga nyumba msisahau kuweka system ya kuvuna maji ya mvua.
Mkojo wenyewe utaupataje kama hauna maji[emoji24]duh, tutaoga mikojo wallahi
DuhKumamake kwetu haiko hata mara moja...
Kazi iendelee motherfucker...
DuhKuna wilaya haziguswi na DAWASA kabisa wilaya ya Kigamboni, Ubungo, Temeke na Ukonga wao wamejizoelea kunywa maji ya madimbwi wanayojichimbia na Maji ya mvua.
Ukiwaangalia hata muonekano wa sura wanaotoka maeneo hayo yasiyo na ratiba wako tofauti na huko kwenye ratiba ya Dawasa sura zao zimekakamaa hasa
Ratiba haiwahusu
We mbona hujafaTutamkumbuka kwa wizi wa 1.5 trillion na mauaji ya watanzania
mpaka kero mkuu.Wanakula huku wanasubir kufa [emoji2][emoji2][emoji2]
Maisha sio mchezo, Joto kali, umeme hakunaa, maji nayo ya mgaoMamlaka ya maji safi na maji taka Dar es Salaam imetangaza mgao wa maji jiji la Dar es Salaam kanda ya Kinondoni ili kupunguza kero kwenye maeneo yanayotajwa kuwa na msukumo mdogo. Katika ratiba hiyo wakaazi wa Masaki, Mikocheni na Obey wameula, watapata maji saa 24 siku saba za wiki. Baadhi ya maeneo sijayaona kabisa pia tangazo halina mwanzo wala ukomo wa mgao.
Anyways tunawasubiri Tanesco nao watoe ratiba badala ya kwenda kimya kimya pia wasisahau majenereta ya IPTL, tuko tayari kuchangia akaunti ya Tegeta Escrow..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole anza kusaka mabwawa mapema.
Maji yamepungua ruvu,unataka serikali ikojoe maji!!?..maintanance haikufanyika wakati wa magu tanesco,waliogopa kutumbuliwa,mfumo umechakaa,hutaki wafanye maintanance!!?JPM alisema mtamkumbuka, mtamkumbuka tu... sio ombi! Pale samaki wenu watakapoanza kuoza kwa kukosa umeme wa mafriji, pale mtakapoanza kukosa maji ya kufanyia shughuli za kila siku...
Sasa hapo obei na masaki wanatumia mfumo tofauti??
"Watanzania mna tabia ya kumkumbuka mtu akishafariki, na mimi nasema mtanikumbuka tena kwa mazuri na siyo mabaya" Siku hizi laana zinafika mapema sana Wakuu.Mamlaka ya maji safi na maji taka Dar es Salaam imetangaza mgao wa maji jiji la Dar es Salaam kanda ya Kinondoni ili kupunguza kero kwenye maeneo yanayotajwa kuwa na msukumo mdogo. Katika ratiba hiyo wakaazi wa Masaki, Mikocheni na Obey wameula, watapata maji saa 24 siku saba za wiki. Baadhi ya maeneo sijayaona kabisa pia tangazo halina mwanzo wala ukomo wa mgao.
Anyways tunawasubiri Tanesco nao watoe ratiba badala ya kwenda kimya kimya pia wasisahau majenereta ya IPTL, tuko tayari kuchangia akaunti ya Tegeta Escrow..