Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo la kushangaza kuona hata mkoa wa mbeya maji ni tabu eti.Huku Mbeya tushazoea leo ni siku ya 5
Huu ndio muda wa kunyanya mabomba na nyaya ....hakuna namna.2008 walikata umeme Zenji, kwa muda wa mwezi ivi, haha
Wazee wa kazi walilamba nyaya zote zile za njia kubwa,
Mkuu usishangae Mbeya tu..Morogoro kuna mito kibao ila angalia leo wanavyohenya na maji.Jambo la kushangaza kuona hata mkoa wa mbeya maji ni tabu eti.
Wanakula huku wanasubir kufa [emoji2][emoji2][emoji2]Mkuu nchi hii ina kundi kubwa la watu wasio na hata chembe ya uelewa wanasubiri kupata mlo, kushiba na mwisho wafe full stop.
Huu mgao ufuatwe maana hatujaona maji for weeksMamlaka ya maji safi na maji taka Dar es Salaam imetangaza mgao wa maji jiji la Dar es Salaam kanda ya Kinondoni ili kupunguza kero kwenye maeneo yanayotajwa kuwa na msukumo mdogo. Katika ratiba hiyo wakaazi wa Masaki, Mikocheni na Obey wameula, watapata maji saa 24 siku saba za wiki. Baadhi ya maeneo sijayaona kabisa pia tangazo halina mwanzo wala ukomo wa mgao.
Anyways tunawasubiri Tanesco nao watoe ratiba badala ya kwenda kimya kimya pia wasisahau majenereta ya IPTL, tuko tayari kuchangia akaunti ya Tegeta Escrow..
Kumamake kwetu haiko hata mara moja...
Kazi iendelee motherfucker.
hahahahha punguza hasira barafuyamoto utayayuka tu mwaka huu nchi ipo kwa wenyewe mlitumwa muende kukaa shamba🤣🤣🤣Kumamake kwetu haiko hata mara moja...
Kazi iendelee motherfucker...
Mbona hao nimewaona jana. Imagine mtu anashinda juani kama wale machinga na wafagia barabara alafu siku ya tatu hana maji. Kuoga ni anasaKuna jamaa kaoga maji ya mrefejini kapauka then ananukia kama chura
Mamlaka ya maji safi na maji taka Dar es Salaam imetangaza mgao wa maji jiji la Dar es Salaam kanda ya Kinondoni ili kupunguza kero kwenye maeneo yanayotajwa kuwa na msukumo mdogo. Katika ratiba hiyo wakaazi wa Masaki, Mikocheni na Obey wameula, watapata maji saa 24 siku saba za wiki. Baadhi ya maeneo sijayaona kabisa pia tangazo halina mwanzo wala ukomo wa mgao.
Anyways tunawasubiri Tanesco nao watoe ratiba badala ya kwenda kimya kimya pia wasisahau majenereta ya IPTL, tuko tayari kuchangia akaunti ya Tegeta Escrow..
Kwa style hii ya uongozi lazima atakumbana na maandamano na anavyopenda kuwafurahishi wazungu hataweza kumtaka maneno kama ya Mruto. Ni suala muda tu.Enzi za jiwe watu tulikua tukilalamika kitu tunaambiwa andamaneni muone Cha Moto(tutawapiga kipigo Cha Mbwa koko-Rpc Mroto) na Mataga walikua wanafurahia saaaana.
Sasa na Mimi nasema hivi wananchi wooote wanao ona hawaridhiki na mambo ya umeme na maji waandamane.
Heh jmn [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wilaya haziguswi na DAWASA kabisa wilaya ya Kigamboni, Ubungo, Temeke na Ukonga wao wamejizoelea kunywa maji ya madimbwi wanayojichimbia na Maji ya mvua.
Ukiwaangalia hata muonekano wa sura wanaotoka maeneo hayo yasiyo na ratiba wako tofauti na huko kwenye ratiba ya Dawasa sura zao zimekakamaa hasa
Ratiba haiwahusu
Walimchukia Jiwe Mwamba, walisahau mambo muhimu wanayo ya hitaji haya sasa kumekucha umeme,maji,machinga, tozo, foleni za kikuda n.k kiufupi kimeumana tutakoma ubishi [emoji18]Eeh nchi inafunguliwa bwana toka kwa dhalimu jiwe [emoji28]!!!
Dhalimu ambaye hajawahi kuwalaza gizani zaidi ya masaa 24 katika siku zote ambazo alikuwa madarakani! Maji hayakuwahi kukatika katika namna yeyote isioeleweka[emoji28]
“Sote tu watu wazima haina haja ya kufatiliana na kutumbuana kila mtu afanye majukumu yake kwa moyo”~Amiri jeshi
Ha ha ha ha ha ha! Wacha nifike mlimani nikajipooze na AC za umma kwanza[emoji28] hii joto ya huku uswahilini haifai!
Wewe ilitakiwa utokomezwe kabisa...Ndio, nilikuteka.
Masaki, obei, mikocheni ni kinondoni pia... ni kwamba kwa walala hoi sijui tegeta huko pipe yao imepigwa pini...kumbe wilaya ya Temeke,kigamboni, Ubungo na Ilala mamabo waaaa...! shida ipo huku kwetu Wilaya ya Kinondoni yote [emoji57][emoji848][emoji848][emoji848]
Kazi iendeleeNa huku Kahama maji yamekatika bila taarifa sijui ndio mgao na hiv tumezoea maji huwa hayakatik hivyo kwa upande wangu sina kbs maji[emoji24]
Manina kabisaMasaki, obei, mikocheni ni kinondoni pia... ni kwamba kwa walala hoi sijui tegeta huko pipe yao imepigwa pini...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole anza kusaka mabwawa mapema.Na huku Kahama maji yamekatika bila taarifa sijui ndio mgao na hiv tumezoea maji huwa hayakatik hivyo kwa upande wangu sina kbs maji[emoji24]