Kumekucha: DAWASA yatoa ratiba ya mgao wa maji Dar es Salaam

Kumekucha: DAWASA yatoa ratiba ya mgao wa maji Dar es Salaam

2008 walikata umeme Zenji, kwa muda wa mwezi ivi, haha
Wazee wa kazi walilamba nyaya zote zile za njia kubwa,
Huu ndio muda wa kunyanya mabomba na nyaya ....hakuna namna.

Sijui imekuwaje ukija huku umeme hola ukirudi kule umeliwa na maji.
 
Mamlaka ya maji safi na maji taka Dar es Salaam imetangaza mgao wa maji jiji la Dar es Salaam kanda ya Kinondoni ili kupunguza kero kwenye maeneo yanayotajwa kuwa na msukumo mdogo. Katika ratiba hiyo wakaazi wa Masaki, Mikocheni na Obey wameula, watapata maji saa 24 siku saba za wiki. Baadhi ya maeneo sijayaona kabisa pia tangazo halina mwanzo wala ukomo wa mgao.

Anyways tunawasubiri Tanesco nao watoe ratiba badala ya kwenda kimya kimya pia wasisahau majenereta ya IPTL, tuko tayari kuchangia akaunti ya Tegeta Escrow..

Huu mgao ufuatwe maana hatujaona maji for weeks
 
Mamlaka ya maji safi na maji taka Dar es Salaam imetangaza mgao wa maji jiji la Dar es Salaam kanda ya Kinondoni ili kupunguza kero kwenye maeneo yanayotajwa kuwa na msukumo mdogo. Katika ratiba hiyo wakaazi wa Masaki, Mikocheni na Obey wameula, watapata maji saa 24 siku saba za wiki. Baadhi ya maeneo sijayaona kabisa pia tangazo halina mwanzo wala ukomo wa mgao.

Anyways tunawasubiri Tanesco nao watoe ratiba badala ya kwenda kimya kimya pia wasisahau majenereta ya IPTL, tuko tayari kuchangia akaunti ya Tegeta Escrow..


56EF96E6-EFD3-4CB8-BA5A-E6C290F7DE69.jpeg
 
Enzi za jiwe watu tulikua tukilalamika kitu tunaambiwa andamaneni muone Cha Moto(tutawapiga kipigo Cha Mbwa koko-Rpc Mroto) na Mataga walikua wanafurahia saaaana.

Sasa na Mimi nasema hivi wananchi wooote wanao ona hawaridhiki na mambo ya umeme na maji waandamane.
Kwa style hii ya uongozi lazima atakumbana na maandamano na anavyopenda kuwafurahishi wazungu hataweza kumtaka maneno kama ya Mruto. Ni suala muda tu.
 
Kuna wilaya haziguswi na DAWASA kabisa wilaya ya Kigamboni, Ubungo, Temeke na Ukonga wao wamejizoelea kunywa maji ya madimbwi wanayojichimbia na Maji ya mvua.

Ukiwaangalia hata muonekano wa sura wanaotoka maeneo hayo yasiyo na ratiba wako tofauti na huko kwenye ratiba ya Dawasa sura zao zimekakamaa hasa

Ratiba haiwahusu
Heh jmn [emoji23][emoji23][emoji23]
 
kumbe wilaya ya Temeke,kigamboni, Ubungo na Ilala mamabo waaaa...! shida ipo huku kwetu Wilaya ya Kinondoni yote [emoji57][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Eeh nchi inafunguliwa bwana toka kwa dhalimu jiwe [emoji28]!!!

Dhalimu ambaye hajawahi kuwalaza gizani zaidi ya masaa 24 katika siku zote ambazo alikuwa madarakani! Maji hayakuwahi kukatika katika namna yeyote isioeleweka[emoji28]

“Sote tu watu wazima haina haja ya kufatiliana na kutumbuana kila mtu afanye majukumu yake kwa moyo”~Amiri jeshi

Ha ha ha ha ha ha! Wacha nifike mlimani nikajipooze na AC za umma kwanza[emoji28] hii joto ya huku uswahilini haifai!
Walimchukia Jiwe Mwamba, walisahau mambo muhimu wanayo ya hitaji haya sasa kumekucha umeme,maji,machinga, tozo, foleni za kikuda n.k kiufupi kimeumana tutakoma ubishi [emoji18]


(TUKUTANE 2025)
 
kumbe wilaya ya Temeke,kigamboni, Ubungo na Ilala mamabo waaaa...! shida ipo huku kwetu Wilaya ya Kinondoni yote [emoji57][emoji848][emoji848][emoji848]
Masaki, obei, mikocheni ni kinondoni pia... ni kwamba kwa walala hoi sijui tegeta huko pipe yao imepigwa pini...
 
Na huku Kahama maji yamekatika bila taarifa sijui ndio mgao na hiv tumezoea maji huwa hayakatik hivyo kwa upande wangu sina kbs maji[emoji24]
 
Na huku Kahama maji yamekatika bila taarifa sijui ndio mgao na hiv tumezoea maji huwa hayakatik hivyo kwa upande wangu sina kbs maji[emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole anza kusaka mabwawa mapema.
 
Back
Top Bottom