Kumekucha: DAWASA yatoa ratiba ya mgao wa maji Dar es Salaam

Kumekucha: DAWASA yatoa ratiba ya mgao wa maji Dar es Salaam

Kwani Dawasa wanacover Dar nzima??..Ukonga G/Mboto, Temeke, Mbagala, Kigamboni unadhani huko Dawasa wapo kwa ukubwa huo hadi watoe ratiba?..

Dar asilimia kubwa watu wanatumia maji ya visima walivyovichimba wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe nchi ndio ya kibwege kupitiliza. Jiji kuu la kibiashara halina coverage ya huduma muhimu ya maji miaka 60 baada ya uhuru. Kwetu kuna kisima ila sikuwahi kuwaza majirani wasio na visima wanaishije
 
😄😄 hebu tuwekee hapa alikuta Deni la nchi Ni kiasi gani na ameacha Deni la nchi Ni kiasi gani?

😄😄😄 Jamani tunanunua ndege kwa hela zetu za ndani,sisi ni matajiriiii au Nasema uongo ndg zangu?😄😄😄
Acheni cheap politics ishu ndege si zipo na zinaonekana!? Hao watangulizi walishindwa nini kukopa wakanunua ndege na wao
 
JPM angekuwa hai angefanya nini na maji yapatikane na hiki kiangazi kilichopo nchi nzima?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa mbwa walishauriwa na Mnyika kipindi akiwa bungeni wajenge bwawa la kutosha la kuvuna maji. Ila kwa kuwa hawa kenge kila wazo la wapinzani wanalichukulia negative, matokeo ndiyo haya. Kwanza hatuna teknolojia nzuri ya ku harness maji. Maji mengi yanapotelea ardhini na kuingia baharini. Linchi la ovyoovyo tu
 
Utoto tu ndio ulikufanya uongee ulichoongea. Unapoingia katika mijadala ya kikubwa jaribu kuset akili yako iwe ya kikubwa otherwise kaa kimya comment yako haina umuhimu mkubwa kiasi hicho.

Halafu usiwe unatuhumu watu kwa mambo ya kusikia kwa uvumi hata kama huyo mtu haumkubali au haumuelewi. Kuna jinai inaitwa deformation, kuvumisha mambo ambayo hayana viambatanishi vya ushahidi kumhusu mtu.

Unasema Magufuli aliteka watu na kuua, ukiambiwa ukasimame kizimbani kutestify against yeye unaweza kutoa maelezo gani kuhusu matukio yalivyyotokea?!


Learn to grow up.
Mkuu nchi hii ina kundi kubwa la watu wasio na hata chembe ya uelewa wanasubiri kupata mlo, kushiba na mwisho wafe full stop.
 
Hawa mbwa walishauriwa na Mnyika kipindi akiwa bungeni wajenge bwawa la kutosha la kuvuna maji. Ila kwa kuwa hawa kenge kila wazo la wapinzani wanalichukulia negative, matokeo ndiyo haya. Kwanza hatuna teknolojia nzuri ya ku harness maji. Maji mengi yanapotelea ardhini na kuingia baharini. Linchi la ovyoovyo tu
Yes,tunapaswa kuwaza hivi kama Mnyika alivyowaza.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakulima wamepanda mbegu ziko ardhini nchi nzima hakuna mvua maji yatapatikana wapi ikiwa vyanzo vyetu tunategemea mito inayojaa baada ya mvua kunyesha nyingi?

Sababu wanayotoa Dawasa kuwa kina cha mto Ruvu kimepungua ni uongo kwahiyo?..

Shida sisi wabongo wengi hatutumii akili,tunajadili vitu kishabiki shabiki tu..ilibidi tukubali hili swala limeletwa na ukame and then tuchachamae ni kwanini baada ya miaka 60 ya uhuru nchi haina maji ya uhakika kutoka vyanzo mbalimbali vya uhakika ambavyo hata mabadiliko ya tabia nchi yakitokea kutakuwa hakuna athari zozote kwenye upatikanaji wa maji.
Sawa tufanye upo sahihi, unataka kunambia tunabisha hapa na wewe unatumia hoja zinazozalishwa na takwimu mfu za hawa wachumia tumbo ambao wanatumia hali zetu za ukabwela kudanga mataifa ya ulaya wakiomba misaada kama watu wasio na akili ya kujenga vyanzo vya Mapato.

Hebu acha kuchuma dhambi ya kuwatetea wadhalimu hawa. Maji yapo na mipango ya kuhifadhi maji katika dhalula kama hizi yapo pia. Wanachofanya ni kucheza na akili yako kikwambia changamoto za kutengeneza.

Usijidanganye hata siku moja kusikiliza report za hawa jamaa wanapika sana mambo.
 
Maji yamepungua mto Ruvu hakuna cha Magufuli angekuwepo wala nini acheni kumfanya huyo mtu kama Mungu, ilitokea bahati nzuri katika kipindi chake halikutokea tatizo kama hili basi.
Mimi nalima mchele hapa. Maji ya kumwagilia natoa mto ruvu nenda pale bagamoyo katazame schemenya mchele kama imesimama.

Msiwe mnakubali mambo kirahisi .
 
Kwa hio umepaniki unaanza kulia Lia Sasa sio? Wewe Ni wa kunifundisha Mimi? Eti deformation? Hio Ni Nini Sasa umeandika?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Na DEFAMATION itakua Ni Nini?

Maana hii deformation yako uliyoiandika utakua umeitoa huko Chato University labda. Jinga sana
Typing error dogo mbona unakuwa jeuri.
 
Hamna mtu anajali khs sababu zao TUNATAKA MAJI, FULL STOP.
Kama hawawezi waachie ngazi tupate watu wanaoweza kujiongeza na kuleta maji.
Anakaa anatetea uzembe na wakati watu wanacheza na akili za wengine.

Wewe kusupply maji kamkoa kama Dar na watu wanalipa bili unafeli wapi.
 
Back
Top Bottom