Kumekucha: DAWASA yatoa ratiba ya mgao wa maji Dar es Salaam

Kumekucha: DAWASA yatoa ratiba ya mgao wa maji Dar es Salaam

Eeh nchi inafunguliwa bwana toka kwa dhalimu jiwe 😅!!!

Dhalimu ambaye hajawahi kuwalaza gizani zaidi ya masaa 24 katika siku zote ambazo alikuwa madarakani! Maji hayakuwahi kukatika katika namna yeyote isioeleweka😅

“Sote tu watu wazima haina haja ya kufatiliana na kutumbuana kila mtu afanye majukumu yake kwa moyo”~Amiri jeshi

Ha ha ha ha ha ha! Wacha nifike mlimani nikajipooze na AC za umma kwanza😅 hii joto ya huku uswahilini haifai!


Yaani hapa lazima watu waje na miradi ya kunyesha mvua fake na mabilioni yapigwe.
 
Niliwahi kukuteka awamu ya 5 Mara 3,Nataka nikuteke awamu hii ya 6 japo kiduchu tu.
Utoto tu ndio ulikufanya uongee ulichoongea. Unapoingia katika mijadala ya kikubwa jaribu kuset akili yako iwe ya kikubwa otherwise kaa kimya comment yako haina umuhimu mkubwa kiasi hicho.

Halafu usiwe unatuhumu watu kwa mambo ya kusikia kwa uvumi hata kama huyo mtu haumkubali au haumuelewi. Kuna jinai inaitwa defamation, kuvumisha mambo ambayo hayana viambatanishi vya ushahidi kumhusu mtu.

Unasema Magufuli aliteka watu na kuua, ukiambiwa ukasimame kizimbani kutestify against yeye unaweza kutoa maelezo gani kuhusu matukio yalivyyotokea?!


Learn to grow up.
 
Jpm angekuwa hai angefanya nini na maji yapatikane na hiki kiangazi kilichopo nchi nzima?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiangazi kimeanza sasa? Kuna wakati wa JPM ilivuma kuwa nchi ina ukame na njaa, kina Zitto walikomalia, JPM alikataa akasema nchi haina njaa wala ukame, baada ya wiki chache wakina Zitto na genge pale wakakaa kimya na hakukua na njaa yoyote....
 
Rasmi sasa nchi imekuwa ya kibwege hata hatujali. Kwahiyo mamlaka ya maji imekaa na staff members wakaandaa hii takataka ndio iwe taarifa? Yani hata robo ya maeneo ya Dar hawajataja, ni kwamba kumbe siku zote hawana ramani ya miundombinu na hawajui maeneo yote wanayohudumia.

Tangazo limeandaliwa na mwanafunzi wa darasa la nne
Kwani Dawasa wanacover Dar nzima??..Ukonga G/Mboto, Temeke, Mbagala, Kigamboni unadhani huko Dawasa wapo kwa ukubwa huo hadi watoe ratiba?..

Dar asilimia kubwa watu wanatumia maji ya visima walivyovichimba wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jpm angekuwa hai angefanya nini na maji yapatikane na hiki kiangazi kilichopo nchi nzima?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe.... Wewe.... Wewe kwa mara ya mwisho weweeeeeee. Hebu fungua macho wewe kijana. Kama unataka kujua hali ya maji nenda mto Ruvu kuanzia vyanzo vyake lakini pia nenda YouTube katazame video ambayo Magu aliwabamba jamaa wa idara ya maji ambao walimpa siri kuwa kuna hujuma ya kufungulia maji na kuyapunguza katika catchment area ili supply ishuke jamaa wauze hayo maji.

Kama ni mgao wa nchi nzima mbona huko Msasani, Oysterbay na Masaki yasikatwe na yatoke saa 24 kama kawa.

CCM wanahitaji watu wenye mitazamo kama wewe kuendelea kuhujumu taifa. Hebu jaribu kuwa positive na critical thinker.
 
Mimi nafurahi sababu walikuwa wanasema huyu magufuli ni mpigaji ngoja sasa wale ambao sio wapigaji wamerudi sasa ndo mtajua kuwa mlikuwa hamjui kitu.


MUNGU hebu waonyeshe walichokuwa wanakitaka.
Elezea wapigaji wamesababisha vipi maji yakosekane??.. Sio ukame ndo umesababisha?

Tulaumu CCM kwa kushindwa kuwa na vyanzo vingi vya maji vya uhakika na sio kudhani Rais ndo anafanya maji yasiwepo kwa muda huu..
 
Kiangazi kimeanza sasa? Kuna wakati wa jpm ilivuma kuwa nchi ina ukame na njaa, kina zito walikomalia, jpm alikataa akasema nchi haina njaa wala ukame, baada ya wiki chache wakina zito na genge pale wakakaa kimya na hakukua na njaa yoyote....
True
 
Kwani Dawasa wanacover Dar nzima??..Ukonga G/Mboto,Temeke,Mbagala,Kigamboni unadhani huko Dawasa wapo kwa ukubwa huo hadi watoe ratiba?..

Dar asilimia kubwa watu wanatumia maji ya visima walivyovichimba wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kumbe unaona kuwa ni jambo ambalo lina walakini. Na sisi tunazungumzia hao wakazi wachache kukosa maji.
 
Kiangazi kimeanza sasa? Kuna wakati wa jpm ilivuma kuwa nchi ina ukame na njaa, kina zito walikomalia, jpm alikataa akasema nchi haina njaa wala ukame, baada ya wiki chache wakina zito na genge pale wakakaa kimya na hakukua na njaa yoyote....
Unachopaswa kujua hata mvua za masika hazikunyesha za kueleweka mwezi March-May.. Kulikuwa hamna mvua kubwa kama miaka mingine.

Haiingii akilini kudhani kuna uzembe wa DAWASA umefanyika ili maji yasipatikane.. kama upo embu tuelezee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elezea wapigaji wamesababisha vipi maji yakosekane??..sio ukame ndo umesababisha?..

Tulaumu CCM kwa kushindwa kuwa na vyanzo vingi vya maji vya uhakika na sio kudhani Rais ndo anafanya maji yasiwep kwa muda huu..



Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshakuelezea kuwa kuna watendaji ambao hata kipindi cha Magufuli walitaka fanya huu mchezo sababu ya kuwa na masilahi na mgao wa maji. Wao wanatumia hii kitu kujinufaisha. Hilo lipo wazi. Ni kipi ambacho wewe kinakufanya uone mambo yapo sawa?!
 
Seriously?... By the way kila binadamu ana dhambi zake kutokuzijua haimaanishi yeye ni msafi sana. Sidhani Kama unaeza kuishi eneo ambalo maji yamekata almost wiki nzima halafu ukaongea eti nafuu. Hii nchi watu wengi maskini mkuu kuanza kununua maji dumu moja la lita 20 kwa buku inaumiza Sana.
mkuu karibu kigamboni dumu la maji ni 100 tu bombani, kuletewa kwako ndo bei inategemeana na eneo
 
JPM alisema mtamkumbuka, mtamkumbuka tu... sio ombi! Pale samaki wenu watakapoanza kuoza kwa kukosa umeme wa mafriji, pale mtakapoanza kukosa maji ya kufanyia shughuli za kila siku...
Sasa hapo obei na masaki wanatumia mfumo tofauti??
😥😥😥
 
Nimesha kuelezea kuwa kuna watendaji ambao hata kipindi cha magufuli walitaka fanya huu mchezo sababu ya kuwa na masilahi na mgao wa maji. Wao wanatumia hii kitu kujinufaisha. Hilo lipo wazi. Ni kipi ambacho wewe kinakufanya uone mambo yapo saww?!
Wakulima wamepanda mbegu ziko ardhini nchi nzima hakuna mvua maji yatapatikana wapi ikiwa vyanzo vyetu tunategemea mito inayojaa baada ya mvua kunyesha nyingi?

Sababu wanayotoa Dawasa kuwa kina cha mto Ruvu kimepungua ni uongo kwahiyo?..

Shida sisi wabongo wengi hatutumii akili,tunajadili vitu kishabiki shabiki tu..ilibidi tukubali hili swala limeletwa na ukame and then tuchachamae ni kwanini baada ya miaka 60 ya uhuru nchi haina maji ya uhakika kutoka vyanzo mbalimbali vya uhakika ambavyo hata mabadiliko ya tabia nchi yakitokea kutakuwa hakuna athari zozote kwenye upatikanaji wa maji.
 
Kimebadilika Nini sasa maana sasa ni mwendo wa kupeana kesi za ugaidi kwenda mbele.
Watuhumiwa wenzake na Mbowe walikamatwa tangu Mwaka Jana mwezi wa 8,rais alikua Ni Nani?Mama anaendeleza legacy ya Shujaa wa Africa.
 
Back
Top Bottom