RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Nyinyi hamna umuhimu wa kujulishwa.Mbona tunaopata huduma kutoka mtambo wa Ruvu juu hatuoni ratiba maana eneo nilipo leo ni siku ya nne mfululizo maji hayajatoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyinyi hamna umuhimu wa kujulishwa.Mbona tunaopata huduma kutoka mtambo wa Ruvu juu hatuoni ratiba maana eneo nilipo leo ni siku ya nne mfululizo maji hayajatoka.
Waje wang'oe kabisa mabomba yao.Nyinyi hamna umuhimu wa kujulishwa.
Tutamkumbuka kwa wizi wa 1.5 trillion na mauaji ya watanzaniaJPM alisema mtamkumbuka, mtamkumbuka tu... sio ombi! Pale samaki wenu watakapoanza kuoza kwa kukosa umeme wa mafriji, pale mtakapoanza kukosa maji ya kufanyia shughuli za kila siku...
Sasa hapo obei na masaki wanatumia mfumo tofauti??
Nchi imefunguka, hela nje nje. Hela zimezagaa mtaani nunua generator na boza likuletee maji mkuu.Waje wang'oe kabisa mabomba yao.
Si ulisema kutekana tekana, manake unazungumzia kitu ilicho kiishi MKU Ndugu yangu.Ndio, nilikuteka.
Kwani ilifungwa? SS aliifungua kitambo mbonaNchi imefunguliwa.
Samaki kabla hawajaoza tutawala mkuu matumbo yapo.JPM alisema mtamkumbuka, mtamkumbuka tu... sio ombi! Pale samaki wenu watakapoanza kuoza kwa kukosa umeme wa mafriji, pale mtakapoanza kukosa maji ya kufanyia shughuli za kila siku...
Sasa hapo obei na masaki wanatumia mfumo tofauti??
Nilikuteka mara 3 na kukutorosha kutoka kwa mumeo. Nitakuteka Tena awamu hii ya 6.Si ulisema kutekana tekana, manake unazungumzia kitu ilicho kiishi MKU Ndugu yangu.
Nyinyi hamna umuhimu wa kujulishwa.
Wewe si umesema kutekana tekana Mkuu Ndugu yangu, maana yake ulitekwa, sasa hao walio kutekana inawezekana walikufanya kitu kibaya.......... sana labda iinawezekana walitatua linda ndio maana, unaona bora mgao wa maji kuliko kutekana tekana.Nilikuteka mara 3 na kukutorosha kutoka kwa mumeo.Nitakuteka Tena awamu hii ya 6.
Yaani naona Bora niendelee kukuteka, maana awamu ya 5 nimekuteka mara kadhaa. Hii awamu ya 6 nitakuteka mazima maana haiwezekaniki binti mzuri kama wewe afaidi yule mhuni tu.Wewe si umesema kutekana tekana Mkuu Ndugu yangu, maana yake ulitekwa, sasa hao walio kutekana inawezekana walikufanya kitu kibaya.......... sana labda iinawezekana walitatua linda ndio maana, unaona bora mgao wa maji kuliko kutekana tekana.
Bora kukosa Maji na umeme kuliko kutekana kidwanzi na mtu mmoja kujifanya ndio mungu mtu nchi nzima.
Eeh nchi inafunguliwa bwana toka kwa dhalimu jiwe [emoji28]!!!
Dhalimu ambaye hajawahi kuwalaza gizani zaidi ya masaa 24 katika siku zote ambazo alikuwa madarakani! Maji hayakuwahi kukatika katika namna yeyote isioeleweka[emoji28]
“Sote tu watu wazima haina haja ya kufatiliana na kutumbuana kila mtu afanye majukumu yake kwa moyo”~Amiri jeshi
Ha ha ha ha ha ha! Wacha nifike mlimani nikajipooze na AC za umma kwanza[emoji28] hii joto ya huku uswahilini haifai!
Wewe mwenyewe umesema bora mgao wa maji kuliko kutekana tekana, manake kuna mashababi walikuteka na waka kuweka NDANI, Mkuu ndugu yangu. Sasa kitu umeongea mwenyewe halafu unakikataa, sio uungwana huo Mkuu ndugu yangu.Yaani naona Bora niendelee kukuteka,maana awamu ya 5 nimekuteka mara kadhaa.Hii awamu ya 6 nitakuteka Mazima maana haiwezekaniki binti mzuri kama wewe afaidi yule mhuni tu.
Naweka msisitizo tu.Kwani ilifungwa? SS aliifungua kitambo mbona
Tutatumia ndege zetu tulizonunua kwa matrilioni, kubeba hayo maji na kusambaza hayo maji kila mtaa Kwa hio usiwaze mkuu tutalinda legacy ya kiongozi wetu wa Africa kwa style hio mkuu.Seriously?...by the way kila binadamu Ana dhambi zake kutokuzijua haimaanishi yeye Ni msafi Sana. Sidhani Kama unaeza kuishi eneo ambalo maji yamekata almost wiki nzima halafu ukaongea eti nafuu. Hii nchi watu wengi maskini mkuu kuanza kununua maji dumu moja la lita 20 kwa buku inaumiza Sana.