Kumekucha: DPP Mganga na DCI Boaz watua Ukara huko Ukerewe kuchunguza mauaji ya kisiasa

Kumekucha: DPP Mganga na DCI Boaz watua Ukara huko Ukerewe kuchunguza mauaji ya kisiasa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Robert Boaz na DPP Biswalo Mganga, wamewasili kwenye Kisiwa cha Ukara, Ukerewe, kwa lengo la kufanya uchunguzi ili kuwabaini wanaotenda uhalifu uliopelekea mauaji ya watu wawili kisiwani hapo na kufanya wananchi kuishi kwa hofu.

Hatua hiyo imekuja kufuatia kushamiri kwa vitendo vya uhalifu katika kisiwa cha Ukara kilichopo wilayani Ukerewe mkoani Mwanza hali iliyopelekea wakazi wa kisiwa hicho kuishi kwa wasiwasi.

Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai nchini DCI kamishna Robert Boaz na Mkurugenzi wa mashtaka nchini DPP Biswalo Mganga wamefika katika kijiji cha Bukungu kilichopo katika kisiwa hicho na kuwatoa hofu wakazi hao.

Chanzo: EATV.

Maendeleo hayana vyama
 
Serikali inaenda kujikamata yenyewe?

Serikali ina insight violence kwa kunyima watu haki zao,then inataka wanyamaze,October lazima Uhuru Kenyatta aje kupatanisha watu hapa baada ya death toll!

Kuna mtu baada ya utawala wake,The Hague will have to go to work!

Wait and see!
 
Wanacho takiwa kufanya ni kuwaagiza maaskari wao waache kuingilia mambo ya uchaguzi tuone kama haya malalamiko yata tokea.
Hizi shida zote zina letwa na polisi na tume yenyewe kutaka kuibeba CCM
 
Mungu yupo pamoja na walio wake, waovu na wabuduo sanamu makazi yao ni Katika Ziwa liwakalo Moto na Kiberiti
 
Serikali inaenda kujikamata yenyewe?

Serikali ina insight violence kwa kunyima watu haki zao,then inataka wanyamaze,October lazima Uhuru Kenyatta aje kupatanisha watu hapa baada ya death toll!

Kuna mtu baada ya utawala wake,The Hague will have to go to work!

Wait and see!
Sijawahi kuona utaratibu mbovu wa uchaguzi wa awamu ya 5 bora hata tume ya uchaguzi ingelikuwa kampuni ama ihusishe vyama vyote vya upinzani NEC ni fujo tupo 'there are good signs of no free and fair general election of 2020
 
Kwenye huu uchaguzi , vijana wajinga na wapumbavu watatumiwa sana. Lakini wajue wanajiharibia maisha yao. Serikali haitawechekea.
Na Wazee wapumbavu kama wewe watatumika pia na ccm

Ningekuwa Ukara ningeamasisha Wananchi wote watoke na silaha za jadi wajilinde
Walinde utu wao.

Yaani mtu amekuja kumteka ndugu yetu halafu sisi tumuangalie tu..

Huu ujinga mbona hawaufanyiki Tarime au Arusha ?

Nina hakika hata maiti yake wasingeipata ingeteketezwa moto.
 
Jeshi la nchi gani halijawahi kushinda nguvu ya umma?

Kwani uliuliza swali au ulieleza kwa msisitizo kwamba niwaambie?

Kuna tofauti kati ya ! na ?
Duniani pote, hakuna mahala ambapo kulikuwa na movement ya nguvu ya umma na jeshi likashinda.
 
Vip office kuchomwa haiwezi kuwa mwanzo wa mauaji?mbona hatujawasikia kwenda Arusha na mbeya kuwatia mbaroni wachomaji office za chadema?
 
Back
Top Bottom