johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Hiyo itajulikana baada ya uchunguzi bwashee!Imewauma sana green guard kuuwawa wakijaribu kumteka mtia nia wa upinzani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo itajulikana baada ya uchunguzi bwashee!Imewauma sana green guard kuuwawa wakijaribu kumteka mtia nia wa upinzani!
Kwahiyo wale wakurugrnzi watume ni wajinga na wapumbavu unavo kusudia ww maana yote haya wamesababisha waoKwenye huu uchaguzi , vijana wajinga na wapumbavu watatumiwa sana. Lakini wajue wanajiharibia maisha yao. Serikali haitawechekea.
Marehemu washtakiwe kwa jaribio la kutaka kuteka!Hiyo itajulikana baada ya uchunguzi bwashee!
Pongezi kwa tume na wakurugenzi maana wao ndiyo waliyofanya iwe hivoKuna watu wanatafuta pa kujificha muda huu, no nonsense,
Hizo ndio gharama zenyewe za kuilinda amani yetu.
Pongezi kwa serikali.
ila wakichagua ccm hao vijana bado watakuwa ni wajinga na wapumbavu?? ni hadi waonekane wanasapoti upinzani ndio uwape sifa hizoKwenye huu uchaguzi , vijana wajinga na wapumbavu watatumiwa sana. Lakini wajue wanajiharibia maisha yao. Serikali haitawechekea.
Mkuu ikiwa kampeni zinafanyika Tanzania Basi tambua ni lazima serikali iwaingilie. Amani ya nchi lazima ilindwe hakuna ambaye anaweza kufanya vile anataka bila kufuata kanuni na sheria za nchiWanacho takiwa kufanya ni kuwaagiza maaskari wao waache kuingilia mambo ya uchaguzi tuone kama haya malalamiko yata tokea.
Hizi shida zote zina letwa na polisi na tume yenyewe kutaka kuibeba Ccm
gharama za kuhujumu upinzani zimesababisa green guard mmoja yupo kwenye friji kwa malipo ya buku 7.Kuna watu wanatafuta pa kujificha muda huu, no nonsense,
Hizo ndio gharama zenyewe za kuilinda amani yetu.
Pongezi kwa serikali.
Hapo Kilimanjaro msithubutu, tutafungulia chuo kizima kusimamia amani.kwa utopolo huu wanaofanya CCM na NEC, wajiandae kutua kila jimbo kufanya uchunguzi wa namna hii.
Maneno hayo kamwambie siro kaijage maguful na jaji mkuu tutakutana iccMtatajana wote safari hii!
askari 1 = wananchi 8,000 🤣Hapo Kilimanjaro msithubutu, tutafungulia chuo kizima kusimamia amani.
Hayo utayaeleza mahakamani bwashee!Yani utume watu waje kuniteka wakati najitetea nawauwa halafu useme nina hatia? Vipi Kama wangeniwahi?
Nyie jidanganyeni tu hapa siyo kwa Madiba!askari 1 = wananchi 8,000 🤣
Dawa yenu ni ku deal na nyie kwa stahili hiyo na tutawanyooshaMtatajana wote safari hii!
nyie mataga ndiyo mnajidanganya kuwa mtawaonea wananchi bila wao kujitetea.Nyie jidanganyeni tu hapa siyo kwa Madiba!
Ngoja tuone!Dawa yenu ni ku deal na nyie kwa stahili hiyo na tutawanyoosha
Mtajitetea mbele ya walinzi wa amani?!nyie mataga ndiyo mnajidanganya kuwa mtawaonea wananchi bila wao kujitetea.