mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mzee ushabwia ugoro+kupima kvant hapoHapo Kilimanjaro msithubutu, tutafungulia chuo kizima kusimamia amani.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee ushabwia ugoro+kupima kvant hapoHapo Kilimanjaro msithubutu, tutafungulia chuo kizima kusimamia amani.
Hahahaaaa..... Nasubiri ripoti ya Ukara bwashee!Mzee ushabwia ugoro+kupima kvant hapo
Ova
Tuone nini tena?Ngoja tuone!
Hakuna movement yoyote ile kitakachotokea my friend... stop dreaming...Duniani pote, hakuna mahala ambapo kulikuwa na movement ya nguvu ya umma na jeshi likashinda.
MkuuSijawahi kuona utaratibu mbovu wa uchaguzi wa awamu ya 5 bora hata tume ya uchaguzi ingelikuwa kampuni ama ihusishe vyama vyote vya upinzani NEC ni fujo tupo 'there are good signs of no free and fair general election of 2020
tutajitetea mbela ya green guards na wote mtakaowatuma kufanya hujuma.Mtajitetea mbele ya walinzi wa amani?!
Kinachofuatia!Tuone nini tena?
Mmmh!! Ukara tu ndio kuna criminals?? U afiki tu.Mkurugenzi wa mashtaka Biswalo Mganga na Mkurugenzi wa Upelelezi makosa ya jinai Robert Boaz wametua kijijini ukara huko Ukerewe kuchunguza mauaji ya watu wawili.
Lengo ni kuwatia mbaroni wahalifu wote katika kisiwa hicho.
Chanzo: Eatv.
Maendeleo hayana vyama!
Kwenye huu uchaguzi , vijana wajinga na wapumbavu watatumiwa sana. Lakini wajue wanajiharibia maisha yao. Serikali haitawechekea.
Hivi hapa TEMEKE wameenda?? kwa mgombea Udiwani aliyecharangwa mapanga??Mkurugenzi wa mashtaka Biswalo Mganga na Mkurugenzi wa Upelelezi makosa ya jinai Robert Boaz wametua kijijini ukara huko Ukerewe kuchunguza mauaji ya watu wawili.
Lengo ni kuwatia mbaroni wahalifu wote katika kisiwa hicho.
Chanzo: Eatv.
Maendeleo hayana vyama!
Unaweza kuwa sawa kama umefanya utafiti.Mkuu
Madikteta yote hua yanafanya hivi:
-Kamata tume ya uchaguzi----kashafanya hili
-Kamata judicial system---kafanya hili
-Kamata state militaries----Keshakamata hili
-Kamata perliament---kashakamata hili
-Kamata media---keshafanya hili kasoro internet tu
-kamata utumishi wa serikali----keshafanya hili mpaka ma-DED etc wanafanya anayotaka yeye na sio sheria za nchi
-Kamata dini----kashafanya hili
-Kamata au ua private sector--keshaua
-Ua civil societies---keshaua na juzi kamalizia Tume ya Haki za Binadamu TZ
-Shika financial sector....BoT na benki zote zipo terrorized
-Kamata country statesmen....wote wanampigia magoti mfalme,sio mwinyi,sio msekwa,etc
All pillars kashika in a very bad way....vyote kashika!
Kumuondoa,ni atleast tumnyang'anye more than one pillar.....
Kilichobakia hapo juu ni internet pekee yake.....aki-shutdown then tutakua 100% dark state!
Tutumie internet ku-horizon media,then tupiganie Tume Huru,hapo tunaweza kumuangusha!
Duh...!Marehemu washtakiwe kwa jaribio la kutaka kuteka!
Hata aibu hawana?Mkurugenzi wa mashtaka Biswalo Mganga na Mkurugenzi wa Upelelezi makosa ya jinai Robert Boaz wametua kijijini ukara huko Ukerewe kuchunguza mauaji ya watu wawili.
Lengo ni kuwatia mbaroni wahalifu wote katika kisiwa hicho.
Chanzo: Eatv.
Maendeleo hayana vyama!
Watakaokufa ni nyumbu wa ufipa,Serikali inaenda kujikamata yenyewe?
Serikali ina insight violence kwa kunyima watu haki zao,then inataka wanyamaze,October lazima Uhuru Kenyatta aje kupatanisha watu hapa baada ya death toll!
Kuna mtu baada ya utawala wake,The Hague will have to go to work!
Wait and see!
Kinachofuata wakiendelea na uhuni basi wataendelea kuanguka tu kwenye mavumbi. Mwaka huu hakuna namnaKinachofuatia!
MkuuUnaweza kuwa sawa kama umefanya utafiti.
Ila mimi HAJANIKAMATA na haitakaa itokee. NEVER EVER.
Ila UPINZANI uliko siko Upande wao pia, ni puppet
Afe Nyumbu wa Ufipa au Masaki ni raia wa Tanzania!Watakaokufa ni nyumbu wa ufipa,
Hayo mnayofanya mnajipunguzia kura wenyewe, maana hao manyumbu yatakamtwa au.kujificha sasa mnasaidia nini?
Sio gharama za kutetea haki mku?.Kuna watu wanatafuta pa kujificha muda huu, no nonsense,
Hizo ndio gharama zenyewe za kuilinda amani yetu.
Pongezi kwa serikali.