Kumekucha DSTV, Mkurugenzi wa vipindi Maisha Magic Bongo na msaidizi wake wasimamishwa kwa rushwa!

Ila wabongo wengi tunafanya madeal ya kupiga pesa sehemu za kazi.
Ila kupiga pesa kwa mtindo wa kumuonea mtu sio kitu kizuri hata kidogo.
Kupiga pesa isivyo halali kwa namna yeyote ile ni kubaya.

Unapopiga hela maana yake unadhulumu haki ya mtu au unaipora haki yake. Situation ziko aina mbili, anaepigwa anajua ama anaepigwa hajui chochote. Hii aina ya pili ndio angalau ina unafuu maana masononeko ya mpigwaji hayakufikii moja kwa moja ila aina ya kwanza ile mpigwaji anakuwa na masononeko muda wote na uchungu unaopelekea yeye kuchukua hatua dhidi yako.
 
Wewe hujawahi kupiga pesa kwa namna yoyote ile?
 
Wewe hujawahi kupiga pesa kwa namna yoyote ile?
Kupiga pesa mimi huwa napiga in situations ambapo naempiga anakuwa hafahamu chochote.

Ila ile kutengeneza mazingira kwamba mpigwaji ajue kabisa kwamba nampiga ishu za hivyo huwa sifanyi. Zile style kama za kiafande kwamba niungie tukamilishe jambo hizo huwa sifanyagi.

Ila unataka mzigo flani na najua unapopatikana hapo lazma nikuongezee sifuri mbele kisha ukituma hela najilipa juu kwa juu. Au kwenye supplies ya bidhaa huwa tunafanya sana michezo sisi watu wa sales.
 
Ha haaa huna tofauti na wengine bana
 
Hii habari nimeiandika kwa ufundi mkubwa sana!
Kama asingetokea wa kusema hivi, ningevunjika moyo.

Nashukuru sana Mkuu
Bwana isike pesa za tamthilia zilimzidi,akawapangia nyumba machoko sinza,aliona wanawake hawafai,ukipeleka tamthilia hapo,wahuni wanakwambia tutakupa 8m kwa episode,Ila utabaki na sita,mbili zao
 
Tutakupiga tu tukikukamata kama sio leo ni kesho, ni kweli mshahara hujawahi kutosha Yani sio mshahara ni kitu kinaitwa pesa haijawahi kutosha even a single minute
 
Isike ndiyo amekua mbaba hivyo alikuwaga mdogo sana kipindi anaigiza igizo la Ukimwi ITV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…