Kumekucha: EFM Radio kuja na Muundo Mpya wa Kipindi kitakachokuwa Kinawazumgumzia Simba SC tu na siyo Wasiojua Wengine

adriz
kubwa zima unajidhalilisha kwa kuanzisha uzi wa kulialia maisha magumu na kuomba msaada wa ajira halafu leo unajifanya kujitutumua hapa jamiiforums wakati una dhiki, shida, mshamba halafu bonge la mpumbavu

Pole sana
Kumbe ulikuwa hujui kuwa mimi ni mjinga nambari one.
Kiongozi wa wapumbavu wote hapa jamii forum.

Na mimi pia ni zwazwa la.Mazwazwa.

Pole sana kwa kuchelewa kulijua hilo.
 

Piga🔨🔧⚒️🔨⚙️🛠️🪛🔩🛠️🛠️🔨🔨🔨🔧
 
hatimaye mbokolewaji kaja / umekuja baada ya kuitwa na mwandamizi wake / wako wa ubokolewaji CAPO DELGADO
 
Pole sana
Kumbe ulikuwa hujui kuwa mimi ni mjinga nambari one.
Kiongozi wa wapumbavu wote hapa jamii forum.

Na mimi pia ni zwazwa la.Mazwazwa.

Pole sana kwa kuchelewa kulijua hilo.
nikikutafutia ajira ya kukandwa si nitakuwa nimekusaidia sana hitaji lako kuu la kusaka ajira kama ulivyojitangaza kule katika ule uzi wako ambao mbabe wako adriz ameufufua?
 
Nachoshangaa ni user is banned cannot reply this thread ila ana reply 😅😅 mtoa thead yuko banned ila anapost
 
Atakayeweza kumpunguza mahips Makonda na kumfanya aache ujuwaji basi hata huyu Genta atamuweza.
 
Hapa zaidi kujitafutia kuzorota na kuchukiwa na mashabiki wa upande wa pili na wapenda haki hakuna kingine . Media zinatakiwa kubalance habari
 
9
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…