political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
Sijui itakuaje timu yote inabomolewa [emoji1781]Oya nyumba inaungua huko kwa jirani.View attachment 2658884
Tukutane msimu ujao Simba nguvu Moja.[emoji110]Sijui itakuaje timu yote inabomolewa [emoji1781]
Hamna pesaWamwache aende tu kuna beki moja ya Asec Mimosa ipo vizuri, ikiwezekana watuletee.
Kwa kuwa mwamnyeto anakukosha rungu kipepe?Ule uchawi mlokua mnatuambia tunawachawia sasa ndo umekolea..atabaki mwamnyeto tuu..
Hao wakongo wote wa mkopo. Mawakala wao wanasikilizia, thamani yao ikipanda tu wanawachomoa.Kama viongozi wetu hawakutegemea hili watakua wapumbavu sana, club kufika pale wachezaji wengi wameonekana na watapewa ofa nyingi mezani, na mpira ni pesa, wengi huku umri umeenda Cha msingi mchezaji anataka avune kingi kabla hajastaafu, hata akijifanya siku akiachana na yanga hatakuja jangwani kuomba ugali wa watoto wake
Cha msingi kama ofa zinalipa wavute mkwanja waingie sokoni kununua wachezaji Bora pia, maana tumetengeneza profile Kuna wachezaji wataona farahi pia kujiunga na sisi
Maisha yaendelee
Chanzo cha habari ni kipi?.
[emoji599] EXCL: Mabosi wa Yanga wamepigwa na butwaa, baada ya beki Joyce Lomalisa [emoji1078] kupeleka maombi ya kuvunja mkataba. Inaelezwa mezani kwa Lomalisa kuna ofa kubwa ikiwamo ya Azam FC, lakini pia ofa kutoka Morocco klabu ya RS Berkane.View attachment 2658883
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oya nyumba inaungua huko kwa jirani.View attachment 2658884
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ule uchawi mlokua mnatuambia tunawachawia sasa ndo umekolea..atabaki mwamnyeto tuu..
Unamzungumzia attoulah yao,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kashasign simba.Wamwache aende tu kuna beki moja ya Asec Mimosa ipo vizuri, ikiwezekana watuletee.
Lomalisa sio BalekeHao wakongo wote wa mkopo. Mawakala wao wanasikilizia, thamani yao ikipanda tu wanawachomoa.