political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
[emoji599] EXCL: Mabosi wa Yanga wamepigwa na butwaa, baada ya beki Joyce Lomalisa [emoji1078] kupeleka maombi ya kuvunja mkataba. Inaelezwa mezani kwa Lomalisa kuna ofa kubwa ikiwamo ya Azam FC, lakini pia ofa kutoka Morocco klabu ya RS Berkane.