Tetesi: Kumekucha: 'Kelele' za watanzania zawafikia DP World, watuma maofisa wao kujiridhisha

Tetesi: Kumekucha: 'Kelele' za watanzania zawafikia DP World, watuma maofisa wao kujiridhisha

Halmashauri Kuu Ya Ccm Imeukubali Mkataba
DP W Hofu Yao Nini Mpaka Watume Watu Wao Kuja Kuuliza
Wanatuvuruga Sana Hawa, Hawanata Kula Haram Sasa Wanaihalarisha Kwa Ujanjaujanja.
 
Hiyo kazi ya kuongea na makundi yote hayo wataifanya vipi sirini kwenye jambo lenye maslahi kwa taifa? na kama wakiigeuza hiyo kazi ifanywe sirini, kama ambavyo walisaini ule mkataba wa hovyo sirini, basi sioni la maana litakalofanyika.

Tusidanganyane, kwenye hili la mkataba wa hovyo wa bandari anayebeba dhamana yetu ni Samia aliyetusaliti, mpaka pale atakapokiri kosa, akubali kurekebisha, hapo ndipo tutakuwa na matumaini na mwelekeo.

Lakini kutegemea kupata matumaini hayo kutoka kwa waarabu wafanyabiashara waliokuja kufanya biashara kwetu, wakafaidi kwa ujinga wa viongozi wetu, ili wapate faida, kunatuonesha vile tulivyokata tamaa, tusiokuwa na mwelekeo tena kama taifa, kwasababu ya kuwa na kiongozi mkuu asiyejielewa.
 
Hatimaye, malalamiko ya watanzania kuhusu uhalali na vipengele vya Mkataba kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World yamewafikia na kuwashtua wahusika. Taarifa za uhakika nilizozipata zinaonesha kuwa DP World wamesikia hoja za wazalendo wa kitanzania na wameguswa nazo.

Katika kutaka kujiridhisha ili kutoa uamuzi juu ya nini cha kufanya, DP World imewatuma nchini Maafisa wake watatu ili kupata undani wa jambo hilo. DP World imewatuma Maafisa wake hao ambao wamewasili nchini jana na wanatarajiwa kuzungumza sirini na makundi tofautitofauti.

Maafisa hao watazungumza na viongozi wa kiserikali na kichama-CCM; viongozi wa TPA; viongozi wastaafu mbalimbali wenye 'kuukubali' na wale 'wa kuupinga' Mkataba huo; wanasheria mbalimbali wenye mtazamo tofauti; wasomi wenye mtazamo tofauti, wanasiasa na wananchi wa kawaida.

Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa DP World kufanya jambo kama hili ili kuamua cha kufanya kabla ya muda wa kuingia Mikataba Mahsusi kufika. Kwangu mimi, hii ni hatua muhimu na adhimu kwakuwa DP World watayasikia yale yanayofurahisha na kukatisha tamaa kuhusu Mkataba wao.

Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?

Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini kurejea Dar es Salaam)
Weka chanzo cha habari, otherwise ni trash tu
 
Hatimaye, malalamiko ya watanzania kuhusu uhalali na vipengele vya Mkataba kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World yamewafikia na kuwashtua wahusika. Taarifa za uhakika nilizozipata zinaonesha kuwa DP World wamesikia hoja za wazalendo wa kitanzania na wameguswa nazo.

Katika kutaka kujiridhisha ili kutoa uamuzi juu ya nini cha kufanya, DP World imewatuma nchini Maafisa wake watatu ili kupata undani wa jambo hilo. DP World imewatuma Maafisa wake hao ambao wamewasili nchini jana na wanatarajiwa kuzungumza sirini na makundi tofautitofauti.

Maafisa hao watazungumza na viongozi wa kiserikali na kichama-CCM; viongozi wa TPA; viongozi wastaafu mbalimbali wenye 'kuukubali' na wale 'wa kuupinga' Mkataba huo; wanasheria mbalimbali wenye mtazamo tofauti; wasomi wenye mtazamo tofauti, wanasiasa na wananchi wa kawaida.

Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa DP World kufanya jambo kama hili ili kuamua cha kufanya kabla ya muda wa kuingia Mikataba Mahsusi kufika. Kwangu mimi, hii ni hatua muhimu na adhimu kwakuwa DP World watayasikia yale yanayofurahisha na kukatisha tamaa kuhusu Mkataba wao.

Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?

Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini kurejea Dar es Salaam)
Kumbe mda wa kuingia mkataba Bado Sasa makelele ya upotoshaji ya nini?
 
we
Hatimaye, malalamiko ya watanzania kuhusu uhalali na vipengele vya Mkataba kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World yamewafikia na kuwashtua wahusika. Taarifa za uhakika nilizozipata zinaonesha kuwa DP World wamesikia hoja za wazalendo wa kitanzania na wameguswa nazo.

Katika kutaka kujiridhisha ili kutoa uamuzi juu ya nini cha kufanya, DP World imewatuma nchini Maafisa wake watatu ili kupata undani wa jambo hilo. DP World imewatuma Maafisa wake hao ambao wamewasili nchini jana na wanatarajiwa kuzungumza sirini na makundi tofautitofauti.

Maafisa hao watazungumza na viongozi wa kiserikali na kichama-CCM; viongozi wa TPA; viongozi wastaafu mbalimbali wenye 'kuukubali' na wale 'wa kuupinga' Mkataba huo; wanasheria mbalimbali wenye mtazamo tofauti; wasomi wenye mtazamo tofauti, wanasiasa na wananchi wa kawaida.

Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa DP World kufanya jambo kama hili ili kuamua cha kufanya kabla ya muda wa kuingia Mikataba Mahsusi kufika. Kwangu mimi, hii ni hatua muhimu na adhimu kwakuwa DP World watayasikia yale yanayofurahisha na kukatisha tamaa kuhusu Mkataba wao.

Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?

Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini kurejea Dar es Salaam)
Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe? Eti tetesi, huna hata haya na mauzushi yako haya?
 
"HAITENGEMAI ile jamii ambayo jambo lao la juu kabisa la uongozi wamemwachia mwanamke".

Haya ni maandiko matakatifu ya Manabii
Lakini Golda Meir (Israel) na Magreth Thatcher (Uingereza) waliweza vema kabisa tena kwenye nchi kubwa. Au unasemaje
 
Back
Top Bottom