Jemima Jackson
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 748
- 934
Naam kila mtu afe nachake.mambo yasiwe mengi.Nashauri nchi IUZWE kila mtu apewe chake.
Mimi nipewe heka arobaini za ardhi, madini na faru watatu.
Kila mtu apite hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam kila mtu afe nachake.mambo yasiwe mengi.Nashauri nchi IUZWE kila mtu apewe chake.
Mimi nipewe heka arobaini za ardhi, madini na faru watatu.
Kila mtu apite hivi.
Huo sasa Udini, tatizo ni Chama chake.au to be specific wanawake wa Kiislamu!
"Blacks are born with an a half-mad mindsets and self esteems".Lakini Golda Meir (Israel) na Magreth Thatcher (Uingereza) waliweza vema kabisa tena kwenye nchi kubwa. Au unasemaje
Mkataba tayari; kilichosainiwa bungeni ni mkataba mama utakaoshikilia vimkataba vitoto vyote na vitukuu vitakavyofata. Sasa kama huu mkataba mama una ukimwi; vijavyo vitakuwa na ukimwi hasa ukizingatia hivyo sasa ni siri utakiwi kujua doz vinatibiwaje na wapi.Kumbe mda wa kuingia mkataba Bado Sasa makelele ya upotoshaji ya nini?
Udini uko wapi? Kwani siyo muislamu? Fatma alisha salimu amri baada ya dada yake samia kuwa rais , siku hizi amenyamaza kabisa tangu Samia aingie madarani.... umemsikia kwenye sakata la bandari?Udini haukufikishi popote
Jambo lolote lenye nia ovu huzingirwa na matukio ya giza giza.Wenzako wanapigwa nje ndani na wanatumiwa meseji kuwa wajiandae kuuawa.
Moja ya nchi ya kipekee kabisa duniani ambayo mtu ukiuliza kuhusu jambo uliloletewa kuulizwa, unaambiwa jiandae kufa au umeongwa!.
Ungemleta mmojawapo wa hawa aje asimame kwa mfumo huu na chawa hawa wa Ccm kama atatoboa,Big NO. Mfumo ndio unawezesha. Samia ukimpeleka huko Israel au Uingereza kwa nafasi zao atafanya vizuri Vyombo na mfumo wa kule imenyooka.Lakini Golda Meir (Israel) na Magreth Thatcher (Uingereza) waliweza vema kabisa tena kwenye nchi kubwa. Au unasemaje
makes sense anywayUngemleta mmojawapo wa hawa aje asimame kwa mfumo huu na chawa hawa wa Ccm kama atatoboa,Big NO. Mfumo ndio unawezesha. Samia ukimpeleka huko Israel au Uingereza kwa nafasi zao atafanya vizuri Vyombo na mfumo wa kule imenyooka.
amezungukwa na watu gani majority...... kwao 98% ni wa dini yakle unjua wanamwambiaje? Umesikia sauti yoyote ya kupinga mkataba kutoka zanzibar? Kikwete umesikia sauti yake? It is my thinking..... najaribu kuwa wideHuo sasa Udini, tatizo ni Chama chake.
exactly, mifumo inawabeba vemaMifumo yao inawawezesha kupaform. Sa100 angeruhusu katiba mpya angepenyeza, sasa anachelewa anazolewa na mafuriko, na bado kuna gharika laja
Hapa ndipo tatizo lilipoanzia, hamna chama humo ndugu zangu.Maafisa hao watazungumza na viongozi wa kiserikali na kichama-CCM;
ataniua, nitam block! Yule padri wa Kenye aliyefia guest house na mwanamke, ni mtazamo hasi kwa mapadre wa kikatoliki. Wakati ni individual weaknes, lkn amewadhalilisha mapadre...so to sayNgoja kigagula Faiza Foxy akusikie
Unamuamini huyo?"Blacks are born with an a half-mad mindsets and self esteems".
By Jan Smuts, a First Prime Minister of Union of South Africa.
Yes, ninamuamini kwa sababu matokeo ya tafiti mbalimbali kuhusu jambo hilo yame-prove positive, with an exception of a very few and rare cases.Unamuamini huyo?
Unaonaje kama whites are born with full-mad mindsets?
Nadhani ni bora ungeomba radhi kwa kusema Wanawake Waislam hawawezi uongozi ninayo list kubwa hapa zaidi ya hiyo ya Golda Meir na Thatcher.amezungukwa na watu gani majority...... kwao 98% ni wa dini yakle unjua wanamwambiaje? Umesikia sauti yoyote ya kupinga mkataba kutoka zanzibar? Kikwete umesikia sauti yake? It is my thinking..... najaribu kuwa wide
nimuombe nani msamaha, kwa kosa gani?Nadhani ni bora ungeomba radhi kwa kusema Wanawake Waislam hawawezi uongozi ninayo list kubwa hapa zaidi ya ya hiyo ya Golda Meir na Thatcher.