SureNaam kila mtu afe nachake.mambo yasiwe mengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SureNaam kila mtu afe nachake.mambo yasiwe mengi.
Sidhani kama alisoma mkataba huo. Kama alisoma akaelewa akasaini, basi hafaiRais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?
Mtia sahihi tu? Jitafakari tenaYeye ni mtia sahihi tu
Kwani hakukuwa na mkataba mahsusi? Ule uliokwenda bungeni na kujadiliwa na kupitishwa ni nini?Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa DP World kufanya jambo kama hili ili kuamua cha kufanya kabla ya muda wa kuingia Mikataba Mahsusi kufika.
Kama Rais Kuna mambo ambayo inabidi unauakataa kuwa kama ni hivi, basi kama mbaya mbaya. Utabeba lawama mileleHuo sasa Udini, tatizo ni Chama chake.
Naona tatizo bado halijatatuliwa! Bado nashikwa na hasira pale ambapo serikali ya Dubai ilitakiwa kusain alafu kasain mkurugenzi wa Bandari! Hivi ni kweli mkataba na nchi na nchi wa kusaini na Mkurugenzi wa Bandari? Mi naona hii issue ianze upya kabisa tukasian na wahusikaHatimaye, malalamiko ya watanzania kuhusu uhalali na vipengele vya Mkataba kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World yamewafikia na kuwashtua wahusika. Taarifa za uhakika nilizozipata zinaonesha kuwa DP World wamesikia hoja za wazalendo wa kitanzania na wameguswa nazo.
Katika kutaka kujiridhisha ili kutoa uamuzi juu ya nini cha kufanya, DP World imewatuma nchini Maafisa wake watatu ili kupata undani wa jambo hilo. DP World imewatuma Maafisa wake hao ambao wamewasili nchini jana na wanatarajiwa kuzungumza sirini na makundi tofautitofauti.
Maafisa hao watazungumza na viongozi wa kiserikali na kichama-CCM; viongozi wa TPA; viongozi wastaafu mbalimbali wenye 'kuukubali' na wale 'wa kuupinga' Mkataba huo; wanasheria mbalimbali wenye mtazamo tofauti; wasomi wenye mtazamo tofauti, wanasiasa na wananchi wa kawaida.
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa DP World kufanya jambo kama hili ili kuamua cha kufanya kabla ya muda wa kuingia Mikataba Mahsusi kufika. Kwangu mimi, hii ni hatua muhimu na adhimu kwakuwa DP World watayasikia yale yanayofurahisha na kukatisha tamaa kuhusu Mkataba wao.
Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?
Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini kurejea Dar es Salaam)
Aibebe yeye Samia na si jinsia yake wala Dini yake.Kama Rais Kuna mambo ambayo inabidi unauakataa kuwa kama ni hivi, basi kama mbaya mbaya. Utabeba lawama milele
Mh.Rais SSH kanyaga twende [emoji120]Hatimaye, malalamiko ya watanzania kuhusu uhalali na vipengele vya Mkataba kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World yamewafikia na kuwashtua wahusika. Taarifa za uhakika nilizozipata zinaonesha kuwa DP World wamesikia hoja za wazalendo wa kitanzania na wameguswa nazo.
Katika kutaka kujiridhisha ili kutoa uamuzi juu ya nini cha kufanya, DP World imewatuma nchini Maafisa wake watatu ili kupata undani wa jambo hilo. DP World imewatuma Maafisa wake hao ambao wamewasili nchini jana na wanatarajiwa kuzungumza sirini na makundi tofautitofauti.
Maafisa hao watazungumza na viongozi wa kiserikali na kichama-CCM; viongozi wa TPA; viongozi wastaafu mbalimbali wenye 'kuukubali' na wale 'wa kuupinga' Mkataba huo; wanasheria mbalimbali wenye mtazamo tofauti; wasomi wenye mtazamo tofauti, wanasiasa na wananchi wa kawaida.
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa DP World kufanya jambo kama hili ili kuamua cha kufanya kabla ya muda wa kuingia Mikataba Mahsusi kufika. Kwangu mimi, hii ni hatua muhimu na adhimu kwakuwa DP World watayasikia yale yanayofurahisha na kukatisha tamaa kuhusu Mkataba wao.
Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?
Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini kurejea Dar es Salaam)
Kwa akili hizi,utakufa masikini.Wakija tuwakamate kisha tuwanyonge pale uwanja wa taifa ili iwe fundisho kwa wote wanaotaka kuichezea Tanganyika
Mpumbavu huyo "in Dr.Tulia's voice" [emoji1787]Udini haukufikishi popote
Mtakutana nasi UVCCM....tumeanza mazoezi......Siku wanaingia kutakuwa na maandamano nchi nzima kupinga dhuluma ya hao warabu na ccm kupeana bandari zetu
Acha udini wewe.to be specific wanawake wa Kiislamu!
Nilikuambia njoo tukutane Wana family ya jamiiforums pale igoma shamaliwa shule hukutokeaHatimaye, malalamiko ya watanzania kuhusu uhalali na vipengele vya Mkataba kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World yamewafikia na kuwashtua wahusika. Taarifa za uhakika nilizozipata zinaonesha kuwa DP World wamesikia hoja za wazalendo wa kitanzania na wameguswa nazo.
Katika kutaka kujiridhisha ili kutoa uamuzi juu ya nini cha kufanya, DP World imewatuma nchini Maafisa wake watatu ili kupata undani wa jambo hilo. DP World imewatuma Maafisa wake hao ambao wamewasili nchini jana na wanatarajiwa kuzungumza sirini na makundi tofautitofauti.
Maafisa hao watazungumza na viongozi wa kiserikali na kichama-CCM; viongozi wa TPA; viongozi wastaafu mbalimbali wenye 'kuukubali' na wale 'wa kuupinga' Mkataba huo; wanasheria mbalimbali wenye mtazamo tofauti; wasomi wenye mtazamo tofauti, wanasiasa na wananchi wa kawaida.
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa DP World kufanya jambo kama hili ili kuamua cha kufanya kabla ya muda wa kuingia Mikataba Mahsusi kufika. Kwangu mimi, hii ni hatua muhimu na adhimu kwakuwa DP World watayasikia yale yanayofurahisha na kukatisha tamaa kuhusu Mkataba wao.
Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?
Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini kurejea Dar es Salaam)
Hao wameisha jionesha sura yao wakoje wameisha feli ni sawa na mwizi akili kwamba amekuibia halafu umuamini kumuacha nyumbani wakati haja kili kwamba ameacha tabia yake ya wizi, hapo hesabu maumivu maana hapo anakulia timing ya kukumaliza kabisa! kama suala ni uwekezaji kwanini tuwang'ang'anie hao tu, kwani hakuna wawekezaji wengine?Vipengere vikiwekwa sawa hakuna shida, wapewe
Kama ni kupewa sawa ila sio bandari zoteVipengere vikiwekwa sawa hakuna shida, wapew
naweza sema Mwanamke katika uongozi wa juu bado sana. Samia umeaangusha wanawake au to be specific wanawake wa Kiislamu!
SIYO RAIS, HANA MAMLAKA YA MWISHO HATA HUO USPIKA! NAKUBALI SHE IS PERFORMING BADLY, SHE IS RUBBISHTulia naye ni muislam?