Tetesi: Kumekucha: 'Kelele' za watanzania zawafikia DP World, watuma maofisa wao kujiridhisha

Tetesi: Kumekucha: 'Kelele' za watanzania zawafikia DP World, watuma maofisa wao kujiridhisha

LAKINI mafundisho ya dini yana mshape mtu
Kwahiyo unataka kusema mafundisho ya dini yali mshape hata John P Magufuli ili aue watu?

Mimi nafikiri tupambane kuitoa CCM madarakani lakini tusije kuangukia kwenye mitego yao ambayo ni Devide and rule.

Samia hata hiyo hijabu kaanza kuivaa baada ya kulazimishwa na Wazee wa CCM..
 
Eti mazungumzo SIRINI!! Mm na familia yangu pamoja na ukoo wangu tunataka bandari yetu tu.
Asante
 
Kwahiyo unataka kusema mafundisho ya dini yali mshape hata John P Magufuli ili aue watu?

Mimi nafikiri tupambane kuitoa CCM madarakani lakini tusije kuangukia kwenye mitego yao ambayo ni Devide and rule.

Samia hata hiyo hijabu kaanza kuivaa baada ya kulazimishwa na Wazee wa CCM..
all in all nimefuta hiyo portion ya dini....
 
Watu wapo tayari kuvunja katiba na kubadili sheria zote za nchi ili mradi tu kampuni moja ipewe tenda.

Jiulize kuna nini hapo.
 
zamani........alipitia seminari, sidhani kama alifundishwa kuua watu.
Dini zote zina mafundisho dhidi ya dini nyingine na kuitana majina ni moja ya mafundisho hayo kwa mfano heathens au kafiri.

Tujaribu kufanya mijadala bila kuingiza imani za watu tujikite kwenye hoja zenye kujenga.
 
Hatimaye, malalamiko ya watanzania kuhusu uhalali na vipengele vya Mkataba kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World yamewafikia na kuwashtua wahusika. Taarifa za uhakika nilizozipata zinaonesha kuwa DP World wamesikia hoja za wazalendo wa kitanzania na wameguswa nazo.

Katika kutaka kujiridhisha ili kutoa uamuzi juu ya nini cha kufanya, DP World imewatuma nchini Maafisa wake watatu ili kupata undani wa jambo hilo. DP World imewatuma Maafisa wake hao ambao wamewasili nchini jana na wanatarajiwa kuzungumza sirini na makundi tofautitofauti.

Maafisa hao watazungumza na viongozi wa kiserikali na kichama-CCM; viongozi wa TPA; viongozi wastaafu mbalimbali wenye 'kuukubali' na wale 'wa kuupinga' Mkataba huo; wanasheria mbalimbali wenye mtazamo tofauti; wasomi wenye mtazamo tofauti, wanasiasa na wananchi wa kawaida.

Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa DP World kufanya jambo kama hili ili kuamua cha kufanya kabla ya muda wa kuingia Mikataba Mahsusi kufika. Kwangu mimi, hii ni hatua muhimu na adhimu kwakuwa DP World watayasikia yale yanayofurahisha na kukatisha tamaa kuhusu Mkataba wao.

Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?

Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini kurejea Dar es Salaam)
Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimaye, malalamiko ya watanzania kuhusu uhalali na vipengele vya Mkataba kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World yamewafikia na kuwashtua wahusika. Taarifa za uhakika nilizozipata zinaonesha kuwa DP World wamesikia hoja za wazalendo wa kitanzania na wameguswa nazo.

Katika kutaka kujiridhisha ili kutoa uamuzi juu ya nini cha kufanya, DP World imewatuma nchini Maafisa wake watatu ili kupata undani wa jambo hilo. DP World imewatuma Maafisa wake hao ambao wamewasili nchini jana na wanatarajiwa kuzungumza sirini na makundi tofautitofauti.

Maafisa hao watazungumza na viongozi wa kiserikali na kichama-CCM; viongozi wa TPA; viongozi wastaafu mbalimbali wenye 'kuukubali' na wale 'wa kuupinga' Mkataba huo; wanasheria mbalimbali wenye mtazamo tofauti; wasomi wenye mtazamo tofauti, wanasiasa na wananchi wa kawaida.

Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa DP World kufanya jambo kama hili ili kuamua cha kufanya kabla ya muda wa kuingia Mikataba Mahsusi kufika. Kwangu mimi, hii ni hatua muhimu na adhimu kwakuwa DP World watayasikia yale yanayofurahisha na kukatisha tamaa kuhusu Mkataba wao.

Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?

Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini kurejea Dar es Salaam)
Kafanye homework yako vizuri. DP World wapo siku nyingi. Kila siku wanakuja na kuondoka, wana mengi sana ya kufanya.

kwa kkujuza tu, kuna mkataba utatangzwa siku mbili hizi.
 
Eti maafisa Dp- world

Kimsingi serikali imekuja kivingine baada ya Dili kubuma na kujinasua Sasa imewatuma mgongo wa nyuma Dp-world
 
Hatimaye, malalamiko ya watanzania kuhusu uhalali na vipengele vya Mkataba kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World yamewafikia na kuwashtua wahusika. Taarifa za uhakika nilizozipata zinaonesha kuwa DP World wamesikia hoja za wazalendo wa kitanzania na wameguswa nazo.

Katika kutaka kujiridhisha ili kutoa uamuzi juu ya nini cha kufanya, DP World imewatuma nchini Maafisa wake watatu ili kupata undani wa jambo hilo. DP World imewatuma Maafisa wake hao ambao wamewasili nchini jana na wanatarajiwa kuzungumza sirini na makundi tofautitofauti.

Maafisa hao watazungumza na viongozi wa kiserikali na kichama-CCM; viongozi wa TPA; viongozi wastaafu mbalimbali wenye 'kuukubali' na wale 'wa kuupinga' Mkataba huo; wanasheria mbalimbali wenye mtazamo tofauti; wasomi wenye mtazamo tofauti, wanasiasa na wananchi wa kawaida.

Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa DP World kufanya jambo kama hili ili kuamua cha kufanya kabla ya muda wa kuingia Mikataba Mahsusi kufika. Kwangu mimi, hii ni hatua muhimu na adhimu kwakuwa DP World watayasikia yale yanayofurahisha na kukatisha tamaa kuhusu Mkataba wao.

Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?

Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini kurejea Dar es Salaam)
mazungumzo hayo yawe live ili tujue nini kinaongelewa au ni mafurushi ya pesa yanagawiwa. tujue.
 
Serikali kupitia wakala wake imekuwa ikisisitiza kuwa IGA ni kati ya Serikali mbili yaani Tanzania Government and U.A.E Government ikiwa inamaanisha ndio maana halisi ya Inter-Government Agreement. Wakati tunaona mkataba umesainiwa na Kampuni ya Dubai na Serikali ikiwa tayari ni dosari!


Tumeambiwa D.P.W wataingia mikataba aina ya HGA na TPA. Na hivyo tusiwe na hofu DPW kujipachika kuwa ni Serikali-kwasababu Wananchi wamehoji-Ni kwanini mkataba huu usiwe baina ya Nchi mbili na badala yake umekuwa baina ya Serikali na Shirika la Bandari la Dubai!

Kwanini waje maafisa wa Bandari wa D.P.W kwanini isiwe Waziri wa Uchukuzi wa U.A.E au Mfalme wa Dubai? ambao ndio tunaaminishwa kuwa tumekubaliana katika mkataba huu? yaani IGA

Nawataadharisha(kwa nia njema kabisa) watu wenye hekima zao na Busara kutokufanya hivyo. (kukutana na hao maafisa uchwara)Na sema hivyo kwasababu baada ya kukutana huko kutaashiria Viongozi hao kutoa ridhaa na baraka zao isitoshe, watakuwa wamedhalilishwa sana-msijidhalilishe kukutana na "Maafisa wa D.P.W" shirika? kweli?

Serikali ya U.A.E au iwe ni ile ya Dubai kuwatuma Maafisa wa shirika la bandari yao kuja kufanya makubaliano, ushauriani, au "Mazungumzo" ni Kutudharau. Watanzania Msije kujidharaulisha. wacheni hao waliozikusanya firijini wafanye hivyo


Hii ni Dharau kubwa sana.
 
Eti maafisa Dp- world

Kimsingi serikali imekuja kivingine baada ya Dili kubuma na kujinasua Sasa imewatuma mgongo wa nyuma Dp-world
Kwanini isiwe Waziri wao wa Uchukuzi?
Tushakuwa vitumwa hapa!
20141018_MAP004_0.jpg
 
Hatimaye, malalamiko ya watanzania kuhusu uhalali na vipengele vya Mkataba kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World yamewafikia na kuwashtua wahusika. Taarifa za uhakika nilizozipata zinaonesha kuwa DP World wamesikia hoja za wazalendo wa kitanzania na wameguswa nazo.

Katika kutaka kujiridhisha ili kutoa uamuzi juu ya nini cha kufanya, DP World imewatuma nchini Maafisa wake watatu ili kupata undani wa jambo hilo. DP World imewatuma Maafisa wake hao ambao wamewasili nchini jana na wanatarajiwa kuzungumza sirini na makundi tofautitofauti.

Maafisa hao watazungumza na viongozi wa kiserikali na kichama-CCM; viongozi wa TPA; viongozi wastaafu mbalimbali wenye 'kuukubali' na wale 'wa kuupinga' Mkataba huo; wanasheria mbalimbali wenye mtazamo tofauti; wasomi wenye mtazamo tofauti, wanasiasa na wananchi wa kawaida.

Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa DP World kufanya jambo kama hili ili kuamua cha kufanya kabla ya muda wa kuingia Mikataba Mahsusi kufika. Kwangu mimi, hii ni hatua muhimu na adhimu kwakuwa DP World watayasikia yale yanayofurahisha na kukatisha tamaa kuhusu Mkataba wao.

Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?

Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini kurejea Dar es Salaam)
Haitasaidia maana wanazungumza na wale wale walioingia mkataba
 
Wamekuja na mpunga wa kutosha kwa ajili ya kujionea na kujiridhisha ya kwamba wale wanaopinga ukiwekwa mpunga wa kutosha mezani na mihadi kedekede,,Watachomoa au la??
 
Back
Top Bottom