Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?naweza sema Mwanamke katika uongozi wa juu bado sana. Samia umeaangusha wanawake au to be specific wanawake wa Kiislamu!
Ule mkataba niwakuchana Chana haufai hata kuchambia.Kwanini kusiwe na mjadara wa wazi wamajadiriano ya vifungu vinavyolalamikiwa? Tena sisi wenyewe yani watanzania wawe wanasheria nguli wamaswala ya mikataba.
Mifumo yao inawawezesha kupaform. Sa100 angeruhusu katiba mpya angepenyeza, sasa anachelewa anazolewa na mafuriko, na bado kuna gharika lajaSiyo wote, Golda Meir, Iron Lady... unawaonaje? si wote
Kwani ccm ni nani wasitolewe madarakan, wana hati miliki ya nchi hii?SASA TUKUBALIANE JAMBO; KAMA BANDARI HAIBINAFSISHWI; BASI NA SERIKALI YA CCM INATOKA MADARAKANI MANA IMESHINDWA KUIENDESHA. UMENIPATA? Mziki huo mtaweza kuuchezesha??
Weka chanzo cha habari, otherwise ni trash tuHatimaye, malalamiko ya watanzania kuhusu uhalali na vipengele vya Mkataba kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World yamewafikia na kuwashtua wahusika. Taarifa za uhakika nilizozipata zinaonesha kuwa DP World wamesikia hoja za wazalendo wa kitanzania na wameguswa nazo.
Katika kutaka kujiridhisha ili kutoa uamuzi juu ya nini cha kufanya, DP World imewatuma nchini Maafisa wake watatu ili kupata undani wa jambo hilo. DP World imewatuma Maafisa wake hao ambao wamewasili nchini jana na wanatarajiwa kuzungumza sirini na makundi tofautitofauti.
Maafisa hao watazungumza na viongozi wa kiserikali na kichama-CCM; viongozi wa TPA; viongozi wastaafu mbalimbali wenye 'kuukubali' na wale 'wa kuupinga' Mkataba huo; wanasheria mbalimbali wenye mtazamo tofauti; wasomi wenye mtazamo tofauti, wanasiasa na wananchi wa kawaida.
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa DP World kufanya jambo kama hili ili kuamua cha kufanya kabla ya muda wa kuingia Mikataba Mahsusi kufika. Kwangu mimi, hii ni hatua muhimu na adhimu kwakuwa DP World watayasikia yale yanayofurahisha na kukatisha tamaa kuhusu Mkataba wao.
Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?
Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini kurejea Dar es Salaam)
Kumbe mda wa kuingia mkataba Bado Sasa makelele ya upotoshaji ya nini?Hatimaye, malalamiko ya watanzania kuhusu uhalali na vipengele vya Mkataba kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World yamewafikia na kuwashtua wahusika. Taarifa za uhakika nilizozipata zinaonesha kuwa DP World wamesikia hoja za wazalendo wa kitanzania na wameguswa nazo.
Katika kutaka kujiridhisha ili kutoa uamuzi juu ya nini cha kufanya, DP World imewatuma nchini Maafisa wake watatu ili kupata undani wa jambo hilo. DP World imewatuma Maafisa wake hao ambao wamewasili nchini jana na wanatarajiwa kuzungumza sirini na makundi tofautitofauti.
Maafisa hao watazungumza na viongozi wa kiserikali na kichama-CCM; viongozi wa TPA; viongozi wastaafu mbalimbali wenye 'kuukubali' na wale 'wa kuupinga' Mkataba huo; wanasheria mbalimbali wenye mtazamo tofauti; wasomi wenye mtazamo tofauti, wanasiasa na wananchi wa kawaida.
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa DP World kufanya jambo kama hili ili kuamua cha kufanya kabla ya muda wa kuingia Mikataba Mahsusi kufika. Kwangu mimi, hii ni hatua muhimu na adhimu kwakuwa DP World watayasikia yale yanayofurahisha na kukatisha tamaa kuhusu Mkataba wao.
Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?
Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini kurejea Dar es Salaam)
Udini haukufikishi popotenaweza sema Mwanamke katika uongozi wa juu bado sana. Samia umeaangusha wanawake au to be specific wanawake wa Kiislamu!
Yeye ni mtia sahihi tuRais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?
"HAITENGEMAI ile jamii ambayo jambo lao la juu kabisa la uongozi wamemwachia mwanamke".naweza sema Mwanamke katika uongozi wa juu bado sana. Samia umeaangusha wanawake au to be specific wanawake wa Kiislamu!
Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe? Eti tetesi, huna hata haya na mauzushi yako haya?Hatimaye, malalamiko ya watanzania kuhusu uhalali na vipengele vya Mkataba kati ya Tanzania na Emirati ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World yamewafikia na kuwashtua wahusika. Taarifa za uhakika nilizozipata zinaonesha kuwa DP World wamesikia hoja za wazalendo wa kitanzania na wameguswa nazo.
Katika kutaka kujiridhisha ili kutoa uamuzi juu ya nini cha kufanya, DP World imewatuma nchini Maafisa wake watatu ili kupata undani wa jambo hilo. DP World imewatuma Maafisa wake hao ambao wamewasili nchini jana na wanatarajiwa kuzungumza sirini na makundi tofautitofauti.
Maafisa hao watazungumza na viongozi wa kiserikali na kichama-CCM; viongozi wa TPA; viongozi wastaafu mbalimbali wenye 'kuukubali' na wale 'wa kuupinga' Mkataba huo; wanasheria mbalimbali wenye mtazamo tofauti; wasomi wenye mtazamo tofauti, wanasiasa na wananchi wa kawaida.
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa DP World kufanya jambo kama hili ili kuamua cha kufanya kabla ya muda wa kuingia Mikataba Mahsusi kufika. Kwangu mimi, hii ni hatua muhimu na adhimu kwakuwa DP World watayasikia yale yanayofurahisha na kukatisha tamaa kuhusu Mkataba wao.
Rais Samia, nini maoni yako kuhusiana na Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World?
Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini kurejea Dar es Salaam)
wakuamini umekaa vijiweni na uzushi wako? Uwe unaona hata aibuSource: "Niamini mimi bro"
Huyu rais wetu anafanya mambo makubwa sana ambayo wanaume yamewashinda.naweza sema Mwanamke katika uongozi wa juu bado sana. Samia umeaangusha wanawake au to be specific wanawake wa Kiislamu!
Huyu rais wetu anafanya mambo makubwa sana ambayo wanaume yamewashinda.
Yes,,, "Trust me Bro" [emoji23]Source: "Niamini mimi bro"
Lakini Golda Meir (Israel) na Magreth Thatcher (Uingereza) waliweza vema kabisa tena kwenye nchi kubwa. Au unasemaje"HAITENGEMAI ile jamii ambayo jambo lao la juu kabisa la uongozi wamemwachia mwanamke".
Haya ni maandiko matakatifu ya Manabii