majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 567
- He! he! yaani this is incredible kumbe walikuwa hawajataja? Mbona tuliambiwa wameshawataja siku nyingi? ha1 ha! ha! ha!
Le Mutuz
Suala la dawa za kulevya ni zaidi ya kile tunachokifikiria...
Halafu Kinje akikamatwa na kupewa mateso makali naye atawataja akina Rizione.....patamu hapo, list ya watoto wa vigogo ndefuuu
I've been meaning 2 say the same thing! ... thanks! we're talkin billions of shillings. Mkhulu could be involved, hypotheticallyKwa mzigo mkubwa namna hiyo hawa unaowtaja watakuwa contact persons tu. Wana facilitate mzigo kupita na wao wapate chao.
kipi hicho mkuu..........!
Halafu Kinje akikamatwa na kupewa mateso makali naye atawataja akina Rizione.....patamu hapo, list ya watoto wa vigogo ndefuuu
Mada husika ni madawa ya kulevya ambayo yameitia nchi yetu aibu kubwa na ushiriki wa watoto wa vigogo na vigogo.,wewe unazungumzia ngono? Mizaha mizaha hii ndio inasababisha biashara hii haramu haikomi na mambo mengi tuu yana kwenda hovyo hovyo kwa sababu ya watu wenye mizaha kama yako!Kama una interest ya ngono hapa sio mahali pake hapa tunategemea mchango wako namna ya ku combat hili tatizo, this is home of great thinkers si mahali pa kuonyesha hisia za ngono. Kama huna mchango soma ya wengine ni hekima pia.Masogange huwa anarubudisha na yale mauno, sasa wa-sauzi si watajisuzia tu.