Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

huyu kinje toka niko nakua namsikia akitajwa tajwa sijui kwanini huwa watu wanamunea aibu kumuadabisha

May be wanasubiri kale kazee kake ka R.I.P au ka R.I.H,ndipo wamshughulikie
 
Hiyo ni kweli kwenye sentensi ya mwisho... Nimeipenda!!

Ni kweli mkuu kwa sababu kuna baadhi ya wasichana uzuri wao umewapotezea maisha.....living a fast life,sharing their lives with con men,magonjwa yasiyotibika....yaani hatari tuu!
 
Mbona mambo yako wazi kabisa??
Mwenye Mzigo ni Kinje Ngombale Mwiru. Huyu anajulikana na narudia kusema tena ndiye aliyetumika kumuharibu mtoto wa Sitta ALIYEMZAA kwa mkewe mkubwa aitwaye Valeria(rip).

Huyu tena anashirikiana na Shomar Kimbau sijui kwanini watu wanawaonea aibu hawa watu.


Mkuu hebu kumbushia kidogo kisa hiki.
 
mateso wanavyofanya ni kwamba, kama wewe ni mwanamke, huwa wanabana kin.embe, yaani ile crit wakiibana na banio za chuma, nasikia zinauma ajabu hadi utajojoa. kwa wanawake tuambieni, ukibanwa crit na banio za chuma utajisikiaje? waanaume huwa wanabanwa p.umbu. na wengine huingizwa chupa 0713 kwasababu ukiingizwa kule, hata siku ukija kusema uliteswa ushahidi wake ni mdogo kwani mikwaruzo ya huko utamwonyesha doctor? si atasema iyo mikwaruzo ni kiny.esi kigumu tu...hahaha

kuna jamaa yangu mmoja alikamatwa, anavyosimulia, wale polisi walimwambia kuwa usiposema tunaenda kukutafuna tigo. wakampitisha kwenye duka moja na gari yao wanapoelekea kutafuta watuhumiwa wengine, wakaomba kwa mwenye duka kama anauza condom, akaona wanaomba pia losheni mafuta...hahaha, wakanunua wakaingia navyo kwenye gari ya tintedi wakaendelea. anasema walipokaribia kufika walikokuwa wanaelekea, alijikuta anatoa machozi na kutaja kila kitu, anawaonyesha na washikaji zake na alieleza stori zote. wakamwacha, kumbe ilikuwa mbinu tu ya kumtisha, pamoja na kwamba kweli ukifanya mchezo, wanaweza kukula tigo wakakupiga risasi ukafie huko.
 
Mi nilivyosikia unga nikajua unga wa sembe kumbe unga madawa mweeee
 
Mbona mambo yako wazi kabisa??
Mwenye Mzigo ni Kinje Ngombale Mwiru. Huyu anajulikana na narudia kusema tena ndiye aliyetumika kumuharibu mtoto wa Sitta ALIYEMZAA kwa mkewe mkubwa aitwaye Valeria(rip).

Huyu tena anashirikiana na Shomar Kimbau sijui kwanini watu wanawaonea aibu hawa watu.
Tatizo walishahakikisha pesa hizohizo zinaingia kwenye system ya juu zaidi ya utawala, kuwashughulikia itakuwa ngumu sana.
 
Hivi ni kwa nini wanazugazuga wasitaje tu kuwa ni Kinjekitile Ngombale Mwiru ndiyo Drug Lord wa Tanzania anayetuulia watoto wetu? Wazazi kaeni chonjo, Kinje ni lazima ashughulikiwe. Anajidau kuwa na vitenda fake vya manispaa vya kifisadi kufichia ufisadi wake wa madawa. Halafu kila mahali anatishia watu, kuna wakazi wa Temeke ambao wanateseka sana kwa mafuruko kwa kuwa alijenga godown lake la kuhifadhia maghari yake ya taka ya M.P Environment. Fence hilo alijenga juu ya mtaro wa maji akikingiwa kifua na diwani Noel CCM wa Chang'ombe. Pale hakuna anaweza kuuliza kitu. Hakika wale wakazi waliniita siku moja nikaona ile hali, sasa nataka niwasaidie na nitapasua kila kitu na wala sitaogopa.
 
taja taja fasta!!!! kabla hawajaja na mabadiliko ya katiba, tuwanyooshe maana walashamfukuza mbowe bungeni , sasa wao wana za madawa ya kulevya sisi tunazo za wakulima na mungu
 
Huyu ni wa ile nyimbo ya Masogange ya Belle 9...yule wa Z-ANTO nasikia na yeye ananyea debe Hongkong kwa kesi hizi hizi za sembe..

Maskini wee! Watoto hawa sijui hawana wazazi wao? Mungu awaokoa na mikasa hii na waachane na biashara hii haramu.
 
Hivi ni kwa nini wanazugazuga wasitaje tu kuwa ni Kinjekitile Ngombale Mwiru ndiyo Drug Lord wa Tanzania anayetuulia watoto wetu? Wazazi kaeni chonjo, Kinje ni lazima ashughulikiwe. Anajidau kuwa na vitenda fake vya manispaa vya kifisadi kufichia ufisadi wake wa madawa. Halafu kila mahali anatishia watu, kuna wakazi wa Temeke ambao wanateseka sana kwa mafuruko kwa kuwa alijenga godown lake la kuhifadhia maghari yake ya taka ya M.P Environment. Fence hilo alijenga juu ya mtaro wa maji akikingiwa kifua na diwani Noel CCM wa Chang'ombe. Pale hakuna anaweza kuuliza kitu. Hakika wale wakazi waliniita siku moja nikaona ile hali, sasa nataka niwasaidie na nitapasua kila kitu na wala sitaogopa.
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]

[TR]

[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]


[TR]

[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Mkuu Zogwale una maana huyo jamaa hapo katikati?
 
Last edited by a moderator:
Hivi kuna ushahidi kwamba Kinje anajihusisha na hiyo biashara au ni maneno tu ya watu yasiyo na ukweli wowote?
 
natamani wayataje majina ya waliowatuma mahakamani ! hadharani ili kuilazimisha dola kuwatia nguvuni waliotajwa...unless kama mambo yakiendelea kuwa hivi hao wapepelezi watakuwa tipped na mchezo utaishia hapo
 
Wanajukwaa mi yote hayo sifikirii, kinachonisumbua ni jinsi yule msichana nkivyokuwa namuwaza siku moja nije muonja. Aisee kafungasha balaa sijali hata kama alikuwa na tabia mbaya au nzuri, NISINGEMCHOKA
 
Back
Top Bottom