Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

Hivi kuna ushahidi kwamba Kinje anajihusisha na hiyo biashara au ni maneno tu ya watu yasiyo na ukweli wowote?

Mkuu Nyani Ngabu hivi unataka ushahidi wa kupeleka mahakamani au unataka uhalisia?maana kama unazungumzia ushahidi ili ukusaidie mahakani hilo ni sawa lkn kama unataka uhalisia wa jambo basi wewe elewa hivyo,mambo ya ushahidi hilo ni jambo jingine na kwa mahali pengine.maana tumeona watu wametenda makosa lkn eti ushahidi unakosekana,nakubaliana na hilo lkn inapofika kuzungumzia jambo halisia nje ya mahakama basi nakushauri uelewe hivyo ya kwamba Kinje ni noma.
 
napata shaka na usemi wa bora punda afe lakini mzigo ufike,hayo yanayokamatwa huteketezwa au ndio hupotelea kidhibitin,waweza shangaa kesi mahakaman mzigo ukawa umefikishwa unakoenda!!!
 
Mkuu hebu kumbushia kidogo kisa hiki.

Nikumbushe nini zaid?? Ama unataka kujua kisa chenyewe??

Basi iko hivi Samwel Sitta mkewe mkubwa aliitwa Valeria ni marehem kwa sasa, huyu ni mtoto wa dada yake na Kingunge kabisa huyu bibi aliitwa Mama Mbonde(Lydia) manake aliolewaga na mzee Mbonde naye alifariki miaka kama miwili imepita huyu dada yake Kingunge. NOte: Mama Mbonde huyu sina maana ya Rose Mbonde ingawa ni mtu na mkwewe.

sasa mtoto wa mama Mbonde(Lydia) mkubwa alikuwa ni huyu marehem Valeria na ndiye aliyeolewaga na Sitta kama mke mkubwa na alizaa mtoto mmoja tu kabla ya kutalikiana na Samweli. Huyu kijana aliish sana na akina Kinje utotoni na ndipo alipojifunza kula madawa ya kulevya na mpaka leo ni taahira yaani haeleweki mpaka leo.

Kundi lao lina watu wawili yeye Kinje na Shomari Kimbau, yeye Shomari anajidai kufadhili ngumi kumbe anawapa na mzigo wapeleke mbele huko. ni mshenzi wa tabia huyu.

USINIULIZE SANA MSWALI MENGI MANAKE HII LIST INA WATU WENGI SANA AMBAO WANAJULIKANA.
 
Hivi kuna ushahidi kwamba Kinje anajihusisha na hiyo biashara au ni maneno tu ya watu yasiyo na ukweli wowote?
Ushahidi upo tena wa wazi kabisa mbona hata ndugu yao ambaye ni afisa utumish wa wizara fulani naye anahusika??
Huu ukoo ni balaa, wana ndugu zao wanakaa Kibamba vijana wakubwa wenye waume na wake lakin hawafanyi kazi kazi yao ni hii hii ya sembe. Wana maisha mazuri usipime lakini kutwa wako home hawana kazi waliajiriwaa Dawasco wakafukuzwa manake hawafai
 
Nikumbushe nini zaid?? Ama unataka kujua kisa chenyewe??

Basi iko hivi Samwel Sitta mkewe mkubwa aliitwa Valeria ni marehem kwa sasa, huyu ni mtoto wa dada yake na Kingunge kabisa huyu bibi aliitwa Mama Mbonde(Lydia) manake aliolewaga na mzee Mbonde naye alifariki miaka kama miwili imepita huyu dada yake Kingunge. NOte: Mama Mbonde huyu sina maana ya Rose Mbonde ingawa ni mtu na mkwewe.

sasa mtoto wa mama Mbonde(Lydia) mkubwa alikuwa ni huyu marehem Valeria na ndiye aliyeolewaga na Sitta kama mke mkubwa na alizaa mtoto mmoja tu kabla ya kutalikiana na Samweli. Huyu kijana aliish sana na akina Kinje utotoni na ndipo alipojifunza kula madawa ya kulevya na mpaka leo ni taahira yaani haeleweki mpaka leo.

Kundi lao lina watu wawili yeye Kinje na Shomari Kimbau, yeye Shomari anajidai kufadhili ngumi kumbe anawapa na mzigo wapeleke mbele huko. ni mshenzi wa tabia huyu.

USINIULIZE SANA MSWALI MENGI MANAKE HII LIST INA WATU WENGI SANA AMBAO WANAJULIKANA.


Naomba dakika kadhaa nishangae!!! Kweli Bongo ni zaidi ya tuijuavyo!
 
Hizi hadhi kila siku tunaziona hapa, kama huyo kataja majina ww unaigopa nn kuyaandika hapa na ID yenyewe feki
 
Mbona mambo yako wazi kabisa??u
Mwenye Mzigo ni Kinje Ngombale Mwiru. Huyu anajulikana na narudia kusema tena ndiye aliyetumika kumuharibu mtoto wa Sitta ALIYEMZAA kwa mkewe mkubwa aitwaye Valeria(rip).

Huyu tena anashirikiana na Shomar Kimbau sijui kwanini watu wanawaonea aibu hawa watu.

Huyu shomari kimbau leo ametangazwa kwenye magazeti kamtosa bondia italy nazani atakuwa kamtuma akauze unga huko kwanini asikamatwe
 
Mbona mambo yako wazi kabisa??
Mwenye Mzigo ni Kinje Ngombale Mwiru. Huyu anajulikana na narudia kusema tena ndiye aliyetumika kumuharibu mtoto wa Sitta ALIYEMZAA kwa mkewe mkubwa aitwaye Valeria(rip).

Huyu tena anashirikiana na Shomar Kimbau sijui kwanini watu wanawaonea aibu hawa watu.

Punda anaweza akamjua mtu kati tu...hawezu kumjua the King himself.

Hawa watu wapo fit sana. Kwa mzigo mkubwa namna hiyo hawa unaowtaja watakuwa contact persons tu. Wana facilitate mzigo kupita na wao wapate chao.
 
Ushahidi upo tena wa wazi kabisa mbona hata ndugu yao ambaye ni afisa utumish wa wizara fulani naye anahusika??

Huo ushahidi uliopo ni upi, upo wapi, na nani anao?

Huu ukoo ni balaa, wana ndugu zao wanakaa Kibamba vijana wakubwa wenye waume na wake lakin hawafanyi kazi kazi yao ni hii hii ya sembe. Wana maisha mazuri usipime lakini kutwa wako home hawana kazi waliajiriwaa Dawasco wakafukuzwa manake hawafai

Ushahidi, ushahidi, ushahidi....upo wapi kuthibitisha haya unayoyasema?
 
Mi nasha ngaa sana wanaoshabikia Masogange anyongwe.... Unatibu ugonjwa na kuacha chanzo... wahusika wakuu wanakula bata tu... vibaraka ambao nio masikini wenzetu wanakulashida...

Ni muda wa kufumbua macho na kugeukia chanzo.... Kama sheria ni msumeno basi na huyo mzee ashungulikiwe ipasavyo... ama sheria ni msumeno kwa masikini na kwa matajiri ni kachelewa....
 
Huyo kinje anajifanya nchi kama yake alikuwa anapiga bastola juu ovyo yani huyu jamaa ukigonga tu gari yake anapiga bastola juu kaulize kituo cha polis osterbay wamechoka nae anatumia jina la baba ake kujifanya yupo juu ya sheria na huyo shomari kimbau ana mtegemea mama ake mbunge
 
Mkuu Nyani Ngabu hivi unataka ushahidi wa kupeleka mahakamani au unataka uhalisia?maana kama unazungumzia ushahidi ili ukusaidie mahakani hilo ni sawa lkn kama unataka uhalisia wa jambo basi wewe elewa hivyo,mambo ya ushahidi hilo ni jambo jingine na kwa mahali pengine.maana tumeona watu wametenda makosa lkn eti ushahidi unakosekana,nakubaliana na hilo lkn inapofika kuzungumzia jambo halisia nje ya mahakama basi nakushauri uelewe hivyo ya kwamba Kinje ni noma.

Na kama sio kweli jamaa hahusiki na hiyo mambo kwa nn atajwe sana yeye?lisemwalo lipo kama halipo litajongea soon
 
Sheria zinawahusu walalahoi tu watu wa kwenye mfumo siku zote wakoo juu ya sheria.
Utaambiwa hakuna ushahidi. Kesi imeisha!!!!

Hivyo ndivyo ilivyo!!!!!
 
hiwa sioni faida ya Kuweka habari halafu wanaficha majina....
 
Nikumbushe nini zaid?? Ama unataka kujua kisa chenyewe??

Basi iko hivi Samwel Sitta mkewe mkubwa aliitwa Valeria ni marehem kwa sasa, huyu ni mtoto wa dada yake na Kingunge kabisa huyu bibi aliitwa Mama Mbonde(Lydia) manake aliolewaga na mzee Mbonde naye alifariki miaka kama miwili imepita huyu dada yake Kingunge. NOte: Mama Mbonde huyu sina maana ya Rose Mbonde ingawa ni mtu na mkwewe.

sasa mtoto wa mama Mbonde(Lydia) mkubwa alikuwa ni huyu marehem Valeria na ndiye aliyeolewaga na Sitta kama mke mkubwa na alizaa mtoto mmoja tu kabla ya kutalikiana na Samweli. Huyu kijana aliish sana na akina Kinje utotoni na ndipo alipojifunza kula madawa ya kulevya na mpaka leo ni taahira yaani haeleweki mpaka leo.

Kundi lao lina watu wawili yeye Kinje na Shomari Kimbau, yeye Shomari anajidai kufadhili ngumi kumbe anawapa na mzigo wapeleke mbele huko. ni mshenzi wa tabia huyu.

USINIULIZE SANA MSWALI MENGI MANAKE HII LIST INA WATU WENGI SANA AMBAO WANAJULIKANA.

Au ndo Mintanga na sakata la sembe Mauritius? Mwee!
 
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Mkuu Zogwale una maana huyo jamaa hapo katikati?
Atakuwa alihusika kwa kiasi kikubwa sana na ishu ya Ngwea huyu jamaa,si bure.
 
Ushahidi upo tena wa wazi kabisa mbona hata ndugu yao ambaye ni afisa utumish wa wizara fulani naye anahusika??
Huu ukoo ni balaa, wana ndugu zao wanakaa Kibamba vijana wakubwa wenye waume na wake lakin hawafanyi kazi kazi yao ni hii hii ya sembe. Wana maisha mazuri usipime lakini kutwa wako home hawana kazi waliajiriwaa Dawasco wakafukuzwa manake hawafai
duuh!kweli sijui kitu ndani ya hii nchi,mbona kuna mambo makubwa hivi!
asante kwa kunifumbua macho kidogo.
 
mtoto wa kiongozi wa jeshi la uchina ameshitakiwa kwa kosa la ubakaji na kesi ipo mahakamani sasa,Ni Tanzania pekee ndio utaona watoto wa viongozi na viongozi wakilinda.
aliyekuwa kiongozi wa ngazi ya juu kabisa wa chama cha CPC china bwana BO XILAI kesi yake imeisha juzi tu na sasa anasubiria hukumu-Ni Tanzania pekee viongozi wa juu wapo juu ya sheria
aliyekuwa kiongozi wa juu kabisa ktk jimbo la shaanxi jana kahukumiwa miaka 16 jela kwa kosa la rushwa,kuvaa saa za gharama na kucheka wakati akitembelea ajari ya basi lililoungua moto-Ni Tanzania pekee huwezi ona viongozi wa ngazi za juu tena wenye makosa yaliyowazi wakifunguliwa mashitaka-zaidi kutakuwa na kesi ambazi zinaweza kaa mahakamani kwa zaidi ya miaka 6 hadi 19
 
Punda anaweza akamjua mtu kati tu...hawezu kumjua the King himself.

Hawa watu wapo fit sana. Kwa mzigo mkubwa namna hiyo hawa unaowtaja watakuwa contact persons tu. Wana facilitate mzigo kupita na wao wapate chao.
PUNDA anamjua middleman tu-hii ni code of conduct ya big time dealers the world over-masongange hamjui kingpin,na kama kataja anatumia hearsay to save her arse
 
Back
Top Bottom