mateso wanavyofanya ni kwamba, kama wewe ni mwanamke, huwa wanabana kin.embe, yaani ile crit wakiibana na banio za chuma, nasikia zinauma ajabu hadi utajojoa. kwa wanawake tuambieni, ukibanwa crit na banio za chuma utajisikiaje? waanaume huwa wanabanwa p.umbu. na wengine huingizwa chupa 0713 kwasababu ukiingizwa kule, hata siku ukija kusema uliteswa ushahidi wake ni mdogo kwani mikwaruzo ya huko utamwonyesha doctor? si atasema iyo mikwaruzo ni kiny.esi kigumu tu...hahaha
kuna jamaa yangu mmoja alikamatwa, anavyosimulia, wale polisi walimwambia kuwa usiposema tunaenda kukutafuna tigo. wakampitisha kwenye duka moja na gari yao wanapoelekea kutafuta watuhumiwa wengine, wakaomba kwa mwenye duka kama anauza condom, akaona wanaomba pia losheni mafuta...hahaha, wakanunua wakaingia navyo kwenye gari ya tintedi wakaendelea. anasema walipokaribia kufika walikokuwa wanaelekea, alijikuta anatoa machozi na kutaja kila kitu, anawaonyesha na washikaji zake na alieleza stori zote. wakamwacha, kumbe ilikuwa mbinu tu ya kumtisha, pamoja na kwamba kweli ukifanya mchezo, wanaweza kukula tigo wakakupiga risasi ukafie huko.