Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

huo ndio upimbi kabisa sema akina nani kama habari yako haijakuwa tayari sasa jina unalo la nini sasa kwanini husemi unatuhabarisha nini kaaa kimyaaa kama domo zege masabuli wewe.
 
wataje kabisa sio ina unalo halafu unakaa kimya sasa tutajua lini ,unafanya siri hata hapa,,masabuli mkubwa wewe semaaa,, wanaua watoto wetu ujue..unafiki mchezo mtoto anaaza darasa la kwanza anawaza kujifunza ngumi na kula kubeli si kwa jili ya kufundishwa na hao hao wehu
 

Alikua ni bwana wa jack ntuyabaliwe pia..haha
 
ha ha ha kweli mwenzangu waturudishie tu mrembo wetu wadeal na mapapa hao
 

Bana eeh, mimi siyo mgeni Tanzania na siko nje ya mguso kiasi hicho. Naijua vyema kabisa na najua tunaweza kukabiliana vilivyo na hiyo biashara ila tatizo ni nia ya kweli hakuna.
 
Wanajukwaa mi yote hayo sifikirii, kinachonisumbua ni jinsi yule msichana nkivyokuwa namuwaza siku moja nije muonja. Aisee kafungasha balaa sijali hata kama alikuwa na tabia mbaya au nzuri, NISINGEMCHOKA

Ama kweli tuko tofauti...!
 
huyu kinje toka niko nakua namsikia akitajwa tajwa sijui kwanini huwa watu wanamunea aibu kumuadabisha

@gfsownin, huyu ndiyo kati ya wale wasiozidi 50 walioshikilia taifa hili ndiyo maana hawaguswi.
 

Inafaa wanyongwe kabisa kwani hawafai katika jamii hii.
 
Wa ngapi huyo mkuu, mathna au thalatha!!!!?

Aaaa ndugu yangu hata huyo waahida bado ndio michakato ipo inafanyika sasa naona mabinti wazuri ndio hao wanaenda kupigwa kitanzi hata sijui itakuaje.
 
hahaha k...n.,..j..,..e....k.....i....t......l.....e .N. Sasa majina yanafichwa hadi lini ?
 
Hivi huyu kinje ina maana zile pesa za pale Ubungo bus terminal. Hazikumtosha mpaka akaanza kuuza na sembe? Kweli nimeamini pesa hazitoshagi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…