Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

Huyo kinje 2015 atashuhulikiwa chadema wakingia madarakani tena wote wauza sembe
 
Rissik Street, Coarse Street - Braamfontein, Park Station, Hillbrow, Mandela Bridge ni maeneo ambayo muda wowote unaweza kunigwa.

Kuna studio moja ya wabongo ipo Braamfontein ina vijana lundo, halafu ukienda kuwasalimia kama Mtz mwenzio wanakuwa na hofu sana, nadhani unga unaweza kuwa unawahusu.
 
Rissik Street, Coarse Street - Braamfontein, Park Station, Hillbrow, Mandela Bridge ni maeneo ambayo muda wowote unaweza kunigwa.

Kuna studio moja ya wabongo ipo Braamfontein ina vijana lundo, halafu ukienda kuwasalimia kama Mtz mwenzio wanakuwa na hofu sana, nadhani unga unaweza kuwa unawahusu.

Kuna jamaa wamefanya investigative journalism huko na kuchapisha sehemu ya taarifa iliyoko kwenye hii thread: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/517253-watanzania-na-madawa-ya-kulevya-nje-ya-nchi.html
 
Na Mwandishi Wetu
"Gazeti hili lilipozungumza na Kamanda wa Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya, Godfrey Nzowa, alikiri kupewa majina hayo lakini akaliomba gazeti hili kutoyachapisha kwa sasa kuepuka kuvuruga ushahidi"

Inakuwaje Nzowa anakuwa commanding officer hadi kwenye magazeti ya kijamii? Kwa nini waandishi wananyenyekea kwa maofisa hawa wa polisi? Hakuna sheria inayozuia waandishi kuandika habari zilizoko polisi, je hawa waandishi wanapata wapi kigugumizi? Wanategemea hadhira itunge majina vichwani mwao wakati wao ndio wenye habari? Au ndio wanataka baadae walete zile habari za wapalestina waliokimbia? Najiuliza mwenyewe hapa sipati jibu sahihi! Magazeti haya ukiyasoma kwa umakini unaweza pata kichefuchefu.
 
Wanajukwaa mi yote hayo sifikirii, kinachonisumbua ni jinsi yule msichana nkivyokuwa namuwaza siku moja nije muonja. Aisee kafungasha balaa sijali hata kama alikuwa na tabia mbaya au nzuri, NISINGEMCHOKA

Si umfuate gerezani kwa Madiba?
 
Huo ushahidi uliopo ni upi, upo wapi, na nani anao?



Ushahidi, ushahidi, ushahidi....upo wapi kuthibitisha haya unayoyasema?

WEWE mbona unang'ang'ana na ushahidi unataka uupeleke wapi? Kwa nini usimfute Kamanda Nzowa akupatie toka database yake?
 
Mbona mambo yako wazi kabisa??
Mwenye Mzigo ni Kinje Ngombale Mwiru. Huyu anajulikana na narudia kusema tena ndiye aliyetumika kumuharibu mtoto wa Sitta ALIYEMZAA kwa mkewe mkubwa aitwaye Valeria(rip).

Huyu tena anashirikiana na Shomar Kimbau sijui kwanini watu wanawaonea aibu hawa watu.

Safi kabisa MANSHIROO kwa kuongea kauri za kishujaa wanatakiwa watu kama wewe sio watu wanaficha ukweli ili iweje sasa
 
Duuh Wanalindana tu ila kila kitu kina mwisho wake...

Hivi Wakuu Albert Mangwair alikua Punda nae?
 
Mimi ninachoona hapo hata wakipewa adhabu ya kufa hao sio kwamba tatizo litakuwa limeisha, hivyo ni viji tawi tu, matawi makubwa na mashina yake hayaguswi sasa basi tutafute shina na si kwamba hayajulikani lahasha yanajulikana lakini nani wa kumvisha paka kengele, Tanzania hakuna shamba la unga lakini ndio wasambazaji wakubwa waunga je unatoka wap? Juzi juzi kakamata mchina mchana kweupe na mbeg mzima, jana tena yule Dada hapo hapo hamuoni km kuna chanzo? Na kwa nini wanakamatwa lakini bado wanapita? Inamaana wanaopita ni wengi kuliko wanaokamatwa!
Wito wangu kwa serikali isifanye masihala na swala hiki na wala wasidhani watakuwa kwenye hizo nafasi milele, km unachekelea kudhulika au kunyanyasika kwa mwenzako kesho itakuwa kwako.
Naamini km serikali ikiamua haishindwi. Ila kwa sasa imeamua kutishindana na wauza unga.
Inasaidia sana tu. We unadhani mtu akijua kuwa kuna kitanzi atakubali kirahisi kuwa punda????
 
mi ndo maana naona hao viongozi wote wanafiki tu!
Watu wanajulikana ila bla bla kibao
 
logical thinking tu;kiongozi mkuu wa nchi anasema anawafahamu wauzaji na waagizaji wa madawa tena kwa majina,viongozi waandamizi wa serikali wanakiri hivyo pia,vyombo vya usalama(polisi) nao hivyovivyo halafu inasakafiwa na kauli ya kiongozi mwingine wa serikali kwamba "tukiwakamata nchi itatikisika".kama mimi ni mfanyabiashara ya madawa nadhani nitakuwa na amani sana na ujasiri wa kuendelea na kazi zangu maana mkuu wa nchi inawezekana kabisa ananifahamu na polisi wananifahamu lakini hawawezi nichukulia hatua.Why not take the chance and slide making mi self richer by the day?
 
Kwanini hakamatwi huyo anaye zarililisha jina kamanda wa vita ya majimaji
 
Samahani kama ntaikosea jamii
siku ya mwisho kutosikia haya madawa yakipita ni kumwondoa pale kamanda nzowa na kumpeleka kijijini moshi kuwa mkuu wa kituo cha rombo
 
Nikumbushe nini zaid?? Ama unataka kujua kisa chenyewe??

Basi iko hivi Samwel Sitta mkewe mkubwa aliitwa Valeria ni marehem kwa sasa, huyu ni mtoto wa dada yake na Kingunge kabisa huyu bibi aliitwa Mama Mbonde(Lydia) manake aliolewaga na mzee Mbonde naye alifariki miaka kama miwili imepita huyu dada yake Kingunge. NOte: Mama Mbonde huyu sina maana ya Rose Mbonde ingawa ni mtu na mkwewe.

sasa mtoto wa mama Mbonde(Lydia) mkubwa alikuwa ni huyu marehem Valeria na ndiye aliyeolewaga na Sitta kama mke mkubwa na alizaa mtoto mmoja tu kabla ya kutalikiana na Samweli. Huyu kijana aliish sana na akina Kinje utotoni na ndipo alipojifunza kula madawa ya kulevya na mpaka leo ni taahira yaani haeleweki mpaka leo.

Kundi lao lina watu wawili yeye Kinje na Shomari Kimbau, yeye Shomari anajidai kufadhili ngumi kumbe anawapa na mzigo wapeleke mbele huko. ni mshenzi wa tabia huyu.

USINIULIZE SANA MSWALI MENGI MANAKE HII LIST INA WATU WENGI SANA AMBAO WANAJULIKANA.

Naanza ku connect dots. Inawezekana kabisa kuwa shomari kimbau ndio aliyembebesha mzigo mmbwana matumla ambae kakamatwa huko hispania.
 
Back
Top Bottom