Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

Tatizo walishahakikisha pesa hizohizo zinaingia kwenye system ya juu zaidi ya utawala, kuwashughulikia itakuwa ngumu sana.


Hawa watu wanojishuhulisha na biashara ya madawa ya kulevya ni watu wenye akili sana na ndio maana wanawashirikisha wakubwa wa nchi kupitia watoto au wake zao kama kinga yao!! Ii is no wonder kuwa Tanzania wale wanaojihusisha na biashara hiyo wako karibu sana na ukoo wa mtawala mkuu; Manji atajitahidi kwa uwezo wake wote kumuweka Ridhwani kuwa ndio kiongozi wa ujenzi wa uwanja wa Yanga, Juma Pinto anabae ni partner wa Ridhwani kibiashara nae atajiweka kuwa kiongozi wa waandishi wa michezo!! Toka biashara ya haya madawa ya kulevya imeshtukiwa, nyie wapenzi wa Yanga mmejiuliza kwanini mipango ya ujenzi wa kiwanja chenu cha mpira imedumaaa? Tafakarini halafu mchukue hatua.
 
Mambo ya lisemwalo sijui lipo au kama halipo laja hayahusiki hapa.

Leteni ushahidi ulio zaidi na maneno yenu tu.

unauliza maswali ya kitoto! usilete ushushushu wako JF. umepewa hints, tafuta facts mwenyewe!
 
Kama Serikali inaficha majina ya drugs lords basi bora tuwataje tu. kwa kupitia comments za watu, ma drugs lords wa TZ ni Riz_One. Kinje Ngombalu, Will Malecela, Shomari Kimbau... tuendelee na list.
 
Kama ni vigogo TZ hawakamatwi, Ndio maana wanajitahidi kulinda himaya yao kwa nguvu zote, bungeni Serikali tasisi za wezi kila mahali ufisadi tuu!!! Hakuna kujali!!
 
Mbona mambo yako wazi kabisa??
Mwenye Mzigo ni Kinje Ngombale Mwiru. Huyu anajulikana na narudia kusema tena ndiye aliyetumika kumuharibu mtoto wa Sitta ALIYEMZAA kwa mkewe mkubwa aitwaye Valeria(rip).

Huyu tena anashirikiana na Shomar Kimbau sijui kwanini watu wanawaonea aibu hawa watu.

alimharibu vip huyo mtoto wa Sitta??
 
mwenye uhakika na hayo majina yaliyotajwa ajitokeze basi ili aiasaidie selikali
 
Hivi huyo kinje ngwale sindio anatoka kwenye ile familia ambayo baba mweye nyumba ni mpagani? haamini kama kuna mungu. kama ndio hiyo sasa hapo mnategemea nini? hawa huu mfumo ukibadilishwa niwakuchapa viboko hadha haiwezekani watuharibie watoto alafu tukae kimya
 
Ushauri tu wa bure mwandishi kama unandika habari kwa kufichaficha mambo habari yenyewe inakua haina maana na inaonekana kama porojo zenye maneno ya majungu tu mana kama una uhakika na unachoandika kwanini usitaje hayo majina waziwazi?
Au kwa vile watu wanawahisi vigogo ndo mnamuwa mtuletee habari za kuza magazeti?????
BADILIKENI BANA
 
Kisha ukiona wazee walioua mashirika, taasisi, kufilisi nyumba za umma, na madudu kedekede wanaongea na kushangiliwa Kama Miungu kweli unatamani uhame nchi, at least Kenya big fraudsters and drug lords are named and shamed, hapa ni list ya majina weeeee mpaka Mapunda wakaamua kusema aliyewatwisha mzigo

Jana nilimuona Chenge anachangia hoja nilisikia kuvomit, Nikakumbuka Nchimbi na Chifupa them days.....AMA kweeli maradhi yooote ugua lakini udwanzi usiombeeeeeeee
 
Na Mwandishi Wetu
IMEVUJA! Staa muuza nyago kwenye video za wasanii wa muziki wa kizazi kipya na filamu za Kibongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ na shosti wake, Mellisa Edward kabla ya
kupandishwa kizimbani kwa msala wa dawa za kulevya ‘unga’ Afrika Kusini waliingizwa kwenye chumba cha mateso kwa saa 24 ili kutaja waliowatuma.

Habari kutoka kwa chanzo chetu kilichopo jijini Johannesburg nchini humo zilidai kuwa baada ya kukamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Oliver Tambo, walipelekwa polisi ambapo walichukuliwa maelezo.

Ilielezwa kuwa mwanzoni waligoma kueleza mzigo huo wa kilo 150 wa unga ulikuwa wa nani hivyo ikabidi polisi wa upelelezi watafute njia nyingine ya kuwalainisha kwa kuwabembeleza kuwa wakieleza ukweli wataachiwa.


MATESO SAA 24
Chanzo hicho kilisema kuwa baada ya mbinu hiyo kushindikana ndipo wawili hao wakaingizwa kwenye chumba maalum cha mateso ikiaminika kuwa watasema aliyewatuma.

USHUHUDA
“Unajua Sauzi (Afrika Kusini) huwa hawana utani na ishu za madawa ya kulevya. Jamaa (polisi) wana kila aina ya mbinu ya kumfanya mtu aeleze ukweli.

“Katika kutesa unaweza kuingizwa kwenye chumba maalum cha mateso ambayo nayo huwa yana steji zake.

“Kwanza utaanzia kwenye chumba kilichojazwa siafu wakubwa na huko unaweza usijue kuwa kuna siafu zaidi ya kuona kitu kama red carpet (zuria jekundu) kuanzia sakafuni, ukutani hadi kwenye dari, kumbe wale wote ni siafu.

“Wakishakuingiza mle ndipo utashangaa wale siafu wanacharuka na kuanza kukung’ata mwili mzima, zoezi hilo hufanyika kwa saa 24. Lazima useme ukweli.

“Kama bado ukijifanya mbishi au nunda ndipo unapelekwa hatua nyingine ya kulazimishwa kujisaidia haja ndogo kwenye waya wa umeme.

“Si unajua tena waya wenye umeme na maji vikikutana nini kinatokea? Lazima itatokea shoti ya kutisha kwani ule waya hufuata sehemu yale maji yanapotokea.

“Kinachofuata ni mtu kupigwa shoti kali ya umeme ambapo lazima utasema tu.

“Hicho ndicho kilichowapata akina Masogange kama wanavyofanyiwa Wabongo wengine wanaokamatwa Mitaa ya Rissik hapa Johannesburg.

WALIOWATUMA
“Baada ya mateso hayo, waliwataja waliowatuma mzigo huo wa unga aina ya crystal methamphetamine wenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 6.8,” kilisema chanzo hicho ambacho ni Mbongo ambaye kwa sasa ni mkazi wa Mtaa wa Rissik, Johannesburg, wanapoishi Wabongo kwa kuungaunga aliyewahi kukumbwa na mkasa kama huo.

MTOTO WA KIGOGO ATAJWA
Habari za ndani zilidai kuwa baada ya kupitia mateso hayo, mabinti hao waliwataja watu wawili waliowatuma kusafirisha mzigo huo, mmoja akiwa ni mtoto wa kigogo ambaye ni mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania (jina lipo).

Ilidaiwa kuwa mtoto huyo wa mkubwa ni mjanja wa mjini ambaye alihusika kushughulikia kusafirisha mwili wa msanii Albert Mangweha ‘Ngwea’ aliyefia Johannesburg Juni, mwaka huu.

Ilivuja kuwa mwingine aliyetajwa na akina Masogange ni mfanyabiashara maarufu Bongo anayesafiri nje mara kwa mara huku jina la ‘mtoto wa mjini’ Mangunga likitajwa zaidi hata na Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison George Mwakyembe.

Gazeti hili lilipozungumza na Kamanda wa Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya, Godfrey Nzowa, alikiri kupewa majina hayo lakini akaliomba gazeti hili kutoyachapisha kwa sasa kuepuka kuvuruga ushahidi.

ULINZI KAMA SHEHE PONDA
Baada ya polisi wa upelelezi na wale wa kimataifa (Interpol) kujiridhisha na maelezo ya mabinti hao, walipandishwa kizimbani kwa mara ya pili Agosti 19, mwaka huu chini ya ulinzi mkali kama ule ‘anaowekewaga’ Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa Ponda anapofikishwa kwenye mahakama mbalimbali nchini kwa kesi zake za madai ya uchochezi.

WAPANDISHWA TENA KORTINI
Habari kutoka Sauzi zilieleza kuwa akina Masogange walipandishwa tena kizimbani hivi karibuni ambapo tayari kesi yao imeanza kuunguruma ikielezwa kuwa endapo watakutwa na hatia watakula mvua ya kifungo si chini ya miaka 10 kwa sheria za nchi hiyo.

Masogange na Mellisa walinaswa nchini humo Julai 5, mwaka huu wakiwa na mabegi sita yaliyokuwa na mzigo huo wa unga.

KAMA UMESHNDWA KUJIAMINI HAPA, UTAJIAMIN WAP?, na UDAKU wako!.
 
na mwandishi wetu
imevuja! Staa muuza nyago kwenye video za wasanii wa muziki wa kizazi kipya na filamu za kibongo, agnes gerald ‘masogange’ na shosti wake, mellisa edward kabla ya
kupandishwa kizimbani kwa msala wa dawa za kulevya ‘unga’ afrika kusini waliingizwa kwenye chumba cha mateso kwa saa 24 ili kutaja waliowatuma.

Habari kutoka kwa chanzo chetu kilichopo jijini johannesburg nchini humo zilidai kuwa baada ya kukamatwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa oliver tambo, walipelekwa polisi ambapo walichukuliwa maelezo.

Ilielezwa kuwa mwanzoni waligoma kueleza mzigo huo wa kilo 150 wa unga ulikuwa wa nani hivyo ikabidi polisi wa upelelezi watafute njia nyingine ya kuwalainisha kwa kuwabembeleza kuwa wakieleza ukweli wataachiwa.


mateso saa 24
chanzo hicho kilisema kuwa baada ya mbinu hiyo kushindikana ndipo wawili hao wakaingizwa kwenye chumba maalum cha mateso ikiaminika kuwa watasema aliyewatuma.

ushuhuda
“unajua sauzi (afrika kusini) huwa hawana utani na ishu za madawa ya kulevya. Jamaa (polisi) wana kila aina ya mbinu ya kumfanya mtu aeleze ukweli.

“katika kutesa unaweza kuingizwa kwenye chumba maalum cha mateso ambayo nayo huwa yana steji zake.

“kwanza utaanzia kwenye chumba kilichojazwa siafu wakubwa na huko unaweza usijue kuwa kuna siafu zaidi ya kuona kitu kama red carpet (zuria jekundu) kuanzia sakafuni, ukutani hadi kwenye dari, kumbe wale wote ni siafu.

“wakishakuingiza mle ndipo utashangaa wale siafu wanacharuka na kuanza kukung’ata mwili mzima, zoezi hilo hufanyika kwa saa 24. Lazima useme ukweli.

“kama bado ukijifanya mbishi au nunda ndipo unapelekwa hatua nyingine ya kulazimishwa kujisaidia haja ndogo kwenye waya wa umeme.

“si unajua tena waya wenye umeme na maji vikikutana nini kinatokea? Lazima itatokea shoti ya kutisha kwani ule waya hufuata sehemu yale maji yanapotokea.

“kinachofuata ni mtu kupigwa shoti kali ya umeme ambapo lazima utasema tu.

“hicho ndicho kilichowapata akina masogange kama wanavyofanyiwa wabongo wengine wanaokamatwa mitaa ya rissik hapa johannesburg.

waliowatuma
“baada ya mateso hayo, waliwataja waliowatuma mzigo huo wa unga aina ya crystal methamphetamine wenye thamani ya zaidi ya sh. Bilioni 6.8,” kilisema chanzo hicho ambacho ni mbongo ambaye kwa sasa ni mkazi wa mtaa wa rissik, johannesburg, wanapoishi wabongo kwa kuungaunga aliyewahi kukumbwa na mkasa kama huo.

mtoto wa kigogo atajwa
habari za ndani zilidai kuwa baada ya kupitia mateso hayo, mabinti hao waliwataja watu wawili waliowatuma kusafirisha mzigo huo, mmoja akiwa ni mtoto wa kigogo ambaye ni mwanasiasa mkongwe nchini tanzania (jina lipo).

ilidaiwa kuwa mtoto huyo wa mkubwa ni mjanja wa mjini ambaye alihusika kushughulikia kusafirisha mwili wa msanii albert mangweha ‘ngwea’ aliyefia johannesburg juni, mwaka huu.

Ilivuja kuwa mwingine aliyetajwa na akina masogange ni mfanyabiashara maarufu bongo anayesafiri nje mara kwa mara huku jina la ‘mtoto wa mjini’ mangunga likitajwa zaidi hata na waziri wa uchukuzi, dk. Harrison george mwakyembe.

Gazeti hili lilipozungumza na kamanda wa kitengo cha kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya, godfrey nzowa, alikiri kupewa majina hayo lakini akaliomba gazeti hili kutoyachapisha kwa sasa kuepuka kuvuruga ushahidi.

ulinzi kama shehe ponda
baada ya polisi wa upelelezi na wale wa kimataifa (interpol) kujiridhisha na maelezo ya mabinti hao, walipandishwa kizimbani kwa mara ya pili agosti 19, mwaka huu chini ya ulinzi mkali kama ule ‘anaowekewaga’ katibu wa jumuiya na taasisi za kiislamu tanzania, shehe ponda issa ponda anapofikishwa kwenye mahakama mbalimbali nchini kwa kesi zake za madai ya uchochezi.

wapandishwa tena kortini
habari kutoka sauzi zilieleza kuwa akina masogange walipandishwa tena kizimbani hivi karibuni ambapo tayari kesi yao imeanza kuunguruma ikielezwa kuwa endapo watakutwa na hatia watakula mvua ya kifungo si chini ya miaka 10 kwa sheria za nchi hiyo.

Masogange na mellisa walinaswa nchini humo julai 5, mwaka huu wakiwa na mabegi sita yaliyokuwa na mzigo huo wa unga.
hapo kwenye red ndio upumbavu tusioutaka hapa jf kama lipo wewe kwa nini usitaje mods usiruhusu thread za jina lipo eboh!
 
huyu kinje toka niko nakua namsikia akitajwa tajwa sijui kwanini huwa watu wanamunea aibu kumuadabisha

hivi ni kweli baba yake hana ufahamu wa hiyo mipango. Hawa wamezoea - miaka ya nyuma sana wakati Ngombale Mwiru alikuwa mkuu wa mkoa wa moja wapo ya mikoa ya kusini mke wake, mama mmoja wa kihaya, alikuwa anafanya biashara ya magendo mipakani akitumia gari la mkuu wa mkoa likiwa na bendera ya Taifa. Askari waliishia kuiogopa gari na kuongeza saluti. wakati huo redio ni moja na magazeti ni ya serikali na chama ni kimoja.

Hawa watu biashara haramu wanataka waziendeleze hadi wanaenda kwa Mola - na hatimae sasa kuwatumbukiza watoto wa watu - hapa bila shaka waliwahakikishia usalama wao kutokana na ushawishi wa dingi - lakini wakati wa kutumia gari za serikali na kupigiwa saluti ndo umeyoyoma.
 
Back
Top Bottom