Pre GE2025 Kumekucha: Madiwani Arusha waomba Paul Makonda agombee Ubunge jimbo la Arusha Mjini

Pre GE2025 Kumekucha: Madiwani Arusha waomba Paul Makonda agombee Ubunge jimbo la Arusha Mjini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Baraza la Madiwani mkoani Arusha kwa pamoja limeridhia na kumuomba Mkuu wa Mkoa huo, Paul Makonda kugombea ubunge kwa jimbo la Arusha Mjini.

Je uamuzi huu wa madiwani wa jimbo hilo ni kwambaa wamekosa imani na Mbunge wa sasa anayemaliza muda wake, Mrisho Mashaka Gambo?

Soma zaidi: Pre GE2025 - Mrisho Gambo: Nitaenda kuwajibu nini wananchi wa Arusha. Jiji kama Arusha linakosaje stendi?
View attachment 3248208
Hizi siasa za kipuuzi Gambo alizifanya sana Lema akiwa mbunge. Sasa naona karma inafanya yake. Na huyo Makonda hata yeye atakutana na karma tu ya siasa zake za kipuuzi.
 
Baraza la Madiwani mkoani Arusha kwa pamoja limeridhia na kumuomba Mkuu wa Mkoa huo, Paul Makonda kugombea ubunge kwa jimbo la Arusha Mjini.

Je uamuzi huu wa madiwani wa jimbo hilo ni kwambaa wamekosa imani na Mbunge wa sasa anayemaliza muda wake, Mrisho Mashaka Gambo?

Soma zaidi: Pre GE2025 - Mrisho Gambo: Nitaenda kuwajibu nini wananchi wa Arusha. Jiji kama Arusha linakosaje stendi?
View attachment 3248208
Ni machawa tuu hao hawana lolote.

View: https://www.instagram.com/reel/DGfM25vOUXE/?igsh=MTd2dHp4dWp5Ym9hZQ==
 
Hiyo vta lazm mmoja afe au watenganishwe ki kanda kbsa, kuna uasama mkubwa san wa kisiasa na kimasali hapo jiji Arusha ndan ya mcc
 
Masikini Gambo kasalitiwa waziwazi...
Hajasalitiwa.Ni mjinga asiyejua wakati wa kukaa kimya na wakati wa kuzungumza.Ni bingwa wa majungu na siasa za chuki.Arusha wameshamchoka.Huwezi kuwa na bifu na Mkuu wa Mkoa,Mkuu wa Wilaya,Mkurugenzi wa Jiji , Meya, madiwani 25 ikawa wote wana makosa kila mara.Siasa za majitaka kaanza tokea alipokuwa mbunge 2020 na hawezi kuacha.Ni narcissist.
 
Anko kule kuna watu wamepikwa wakapikika wamefukizwa kila aina ya mimea. Vita ya humo kubwa sana
Anko,sisi wajomba zako hapa jimbo la kati tunakuhitaji ugombee,tumekubaliana na mjombaako mwenyekinanihii atusapoti na amekubali...
Karibu sana muda ukifika...
Naniii oyeee[emoji112]
 
Back
Top Bottom