OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwani mkuu wa mkoa na mbunge nani anaweza kupigwa chini muda wowote? MP ana uhakika wa miaka mi5, hata Rais akikuchukia anabaki kukutazama tu. Lakini RC akipewa umbea tu hunao tena. Njoo kwenye mshahara. Huyo RC anakaribiana na mimi tuKwani ubunge na ukuu wa mkoa upi unyama?
Hata lowasa alipigwa spana lakini alikuja kuzikwa kishujaaNinafurahishwa jinsi Gambo anavyopigwa spana.
Aliyemteua makonda ana shida mahaliKwani mkuu wa mkoa na mbunge nani anaweza kupigwa chini muda wowote? MP ana uhakika wa miaka mi5, hata Rais akikuchukia anabaki kukutazama tu. Lakini RC akipewa umbea tu hunao tena. Njoo kwenye mshahara. Huyo RC anakaribiana na mimi tu
Lowassa usimfananishe na haya mapaka shume yaliyobebwa na mwendazake.Hata lowasa alipigwa spana lakini alikuja kuzikwa kishujaa
Lema ashaikimbia Arusha. Yupo Dar na Lissu wanasherekea kumtoa MboweNaangalia eatv
Madiwani WA Arusha wamesutana kwenye kikaoo wao kwa wao ndio wanakwamisha MAENDELEO ya Arusha
MMOJA WA madiwani amesema unakuta tunakubaliana jambo unasikia nusu ya madiwani wanagoma hizo project ambazo zote n KUSAIDIA Wana Arusha
Najiuliza
Hawa ndio wanataka kuwachagulia Arusha mbunge octb 2025. Kama chawa
Nawaza tu kama wao kwa wao hawaelewani wanapata nguvu gani kutaja kuchaguliwa wananchi mbunge
Ccm
Mytake
Hawa madiwani wasirudi HATA MMOJA kwenye uchaguzi ujao wametuaibisha sana....
πππππ€£π€£π€£ππBaraza la Madiwani mkoani Arusha kwa pamoja limeridhia na kumuomba Mkuu wa Mkoa huo, Paul Makonda kugombea ubunge kwa jimbo la Arusha Mjini.
Je uamuzi huu wa madiwani wa jimbo hilo ni kwambaa wamekosa imani na Mbunge wa sasa anayemaliza muda wake, Mrisho Mashaka Gambo?
Soma zaidi: Pre GE2025 - Mrisho Gambo: Nitaenda kuwajibu nini wananchi wa Arusha. Jiji kama Arusha linakosaje stendi?
View attachment 3248208