Peter Msigwa Amkataa John Mrema kuwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Kanda ya Nyasa ambako anachuana na Sugu.
Just imagine hiki ndio chama Cha Upinzani kinachodia kitapambana na Rushwa yet chaguzi zao zote walioshindwa wametumia Rushwa ndio maana kutwa kucha wanashutumiana karibia mbao 😁😁😁😁
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1795399167847616602?t=2FnzssLBoe9f9za8XQylUg&s=19
My Take
Umaskini wa Msigwa ndio chanzo Cha kutapatapa na kumuogopa taita Sugu.
Kwani nani alimkataza Msigwa kuwa na pesa? 😆😆😆😆