Pre GE2025 Kumekucha: Mchungaji Msigwa amkataa John Mrema kuwa Msimamizi wa Uchaguzi Kanda ya Nyasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu umegundua bia ni neno lilotajwa mara nyingi kwa kurudiwa yaani wao bia tu kwisha kazi wanauza chama je wakipewa nchi itakuwa hakuna kazi ni pombe tu!
 
Watanzania ndio waone kuwa huhadaiwa sana kwa maneno matamu - huku ndani ya chama kukiwa na matendo mengi ya kishetani.
CCM tutazungumza baadae
 
Mjombaaaaa kasomaaaa nyakatiiii

Wanakuchinjiaaaaa bahariniii mjombaaaaq ngoma ishapangwa badoo kupigwaaa mashuti ya aziz kii
Mpira uiisheeee
 
Watanzania ndio waone kuwa huhadaiwa sana kwa maneno matamu - huku ndani ya chama kukiwa na matendo mengi ya kishetani.
CCM tutazungumza baadae
Nikiwaambia na kuwafungua macho Huwa mnaniita chawa 😁😁😁

Saizi kete Yao ya mwisho ni Katiba Mpya,juzi nimemsikia Lisu anawapiga kamba eti wakipata Katiba Mpya shida zao zote zitaisha πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Nakauliza nitajie Nchi iliyomaliza shida baada ya kupata Katiba Mpya wakaanza kutukana πŸ˜‚πŸ˜‚

Machadema Huwa ni zero brain kabisa.
 
acha kubeti utakosa pesa ya uchaguzi, akashupaza shingo unaona sasa madhara ya kufata udhauri wa chehe
 
Mrema aondolewe kusimamia uchaguzi huo kuleta harmony vinginevyo ni kugawana mbao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…