kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Mkuu umegundua bia ni neno lilotajwa mara nyingi kwa kurudiwa yaani wao bia tu kwisha kazi wanauza chama je wakipewa nchi itakuwa hakuna kazi ni pombe tu!Itakuwa anapokea maelekezo maalumu kutoka kwa Billionea Suguππππ
Erythrocyte tafadhari njoo utoe ufafanuzi kuhusu madai ya Billionea Kumnunulia makreti ya Bia msimamizi ya uchaguzi mpaka anaanza kumpigia kampeni na kumuombea kura kwa wajumbe.
Mjombaaaaa kasomaaaa nyakatiiiiPeter Msigwa Amkataa John Mrema kuwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Kanda ya Nyasa ambako anachuana na Sugu.
Just imagine hiki ndio chama Cha Upinzani kinachodia kitapambana na Rushwa yet chaguzi zao zote walioshindwa wametumia Rushwa ndio maana kutwa kucha wanashutumiana karibia mbao...
unataka nini?
Nikiwaambia na kuwafungua macho Huwa mnaniita chawa πππWatanzania ndio waone kuwa huhadaiwa sana kwa maneno matamu - huku ndani ya chama kukiwa na matendo mengi ya kishetani.
CCM tutazungumza baadae
Unaamini Mrema anaweza kunywa kreti 4 za safari larger kwa masaa matatu?Watanzania ndio waone kuwa huhadaiwa sana kwa maneno matamu - huku ndani ya chama kukiwa na matendo mengi ya kishetani.
CCM tutazungumza baadae
acha kubeti utakosa pesa ya uchaguzi, akashupaza shingo unaona sasa madhara ya kufata udhauri wa chehePeter Msigwa Amkataa John Mrema kuwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Kanda ya Nyasa ambako anachuana na Sugu.
Just imagine hiki ndio chama Cha Upinzani kinachodia kitapambana na Rushwa yet chaguzi zao zote walioshindwa wametumia Rushwa ndio maana kutwa kucha wanashutumiana karibia mbao ππππ
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1795399167847616602?t=2FnzssLBoe9f9za8XQylUg&s=19My Take
Umaskini wa Msigwa ndio chanzo Cha kutapatapa na kumuogopa taita Sugu.
Kwani nani alimkataza Msigwa kuwa na pesa? ππππ
Wakipewa nchi watauza kila kitu kwa ajili ya Bia tu. Halafu kuna mwingine naye aliteguka mguu baada ya kuzidiwa na bia.Mkuu umegundua bia ni neno lilotajwa mara nyingi kwa kurudiwa yaani wao bia tu kwisha kazi wanauza chama je wakipewa nchi itakuwa hakuna kazi ni pombe tu!
Nenda ukamuulize Msigwa.Unatuuliza sisi tukusaidie nini hapa πππUnaamini Mrema anaweza kunywa kreti 4 za safari larger kwa masaa matatu?
Nijilishe basi na mimi najuwe maana naona ninyi bei yenu ni Bia tu.Hujui kitu wewe
Peter Msigwa Amkataa John Mrema kuwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Kanda ya Nyasa ambako anachuana na Sugu kwa madai ya Rushwa na kumpendelea Sugu...
Si mmesema barua imeenda kwa Katibu Mkuu, sasa hofu yenu nini, kwanini msisubiri majibu ?Nijilishe basi na mimi najuwe maana naona ninyi bei yenu ni Bia tu.
Ni mwendo wa Bia tu huko .Si mmesema barua imeenda kwa Katibu Mkuu, sasa hofu yenu nini, kwanini msisubiri majibu ?
Mwenye hofu ni Msigwa aliyeandika barurua au Ccm? CCM ndio wanachuana na taita Sugu? π€£π€£π€£Si mmesema barua imeenda kwa Katibu Mkuu, sasa hofu yenu nini, kwanini msisubiri majibu ?
Alifumaniwa kwa kimada ghorofani!Wakipewa nchi watauza kila kitu kwa ajili ya Bia tu. Halafu kuna mwingine naye aliteguka mguu baada ya kuzidiwa na bia.
Mada iliyo mezani uje utoe ufafanuzi!unataka nini?
Tuko kwenye maandalizi na Wagombea wote wako pamoja wanacheeeeekaaa mnavyokanyaganaMada iliyo mezani uje utoe ufafanuzi!