Kumekucha sasa Irani yaiomba Marekani Iwaondolee Vikwazo

Kumekucha sasa Irani yaiomba Marekani Iwaondolee Vikwazo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] RUSSIA na CHINA Wapo sahihi maana hawajawahi kusema IRAN Isitishe Mpango wake wa ATOMIC WESTERN Namashost zake waulaya ndio wanataka IRAN Waachane Namipango Yake Ya ATOMIC Ila Mpaka Ss IRAN Wamekaza


Ipo siku US Atakuja Kuiomba Msamaha IRAN

Sent using My COVID-19
Wanakomaa wapi wakati walinyoosha mikono juu ndo ikasainiwa Comprehensive Plan Of Action (JCPOA) Trump akaiita “Obama’s bad deal with Iran” na akaitoa Marekani kwenye mkataba na ndipo Iran wakaanza kubwabwaja wataacha kutekereza masharti ya mkataba kwa kuanza kurutubisha uranium kwa kiwango cha juu, lakin china, UK, France, Russia na ujerumani wakaonya asifanye huo upuuzi make wao bado wako kwenye mkataba na mkataba haujavunjika. Hii imemuweka Iran kwenye hali ngumu sana, sababu huku Kuna vikwazo vya US, upande mwingine anatakiwa atekereze mkataba akizingua vikwazo vya UN navyo vinarudi ambapo hata Russia na China watamkaanga kama walivyomkaanga North Korea kwenye UNSC.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwa sababu ya "Cheap Labour" hamna sababu nyingine

Naona unazunguka mbuyu tu, hujatwambia mamilioni ya waafrika waliopelekwa utumwani na hao waarabu wenu uzao wao uko wapi.

Je, unajua wanaume wote walihasiwa na wanawake wanaume wa kiaarabu waliwabaka na pale walipozaa watoto wa kiume waliuwawa.

Hao ndio waarabu mnaoasujudia kwa kuwaletea dini utafikiri kabla hawajaja mababu zenu walikuwa hawamuabudu Mungu. Bure kabisa.
Sipo hapa kusema race gani na gani ipi bora zaidi, ubaguzi ni roho ya mtu, na sio kwamba wanaoua albino wasababishe woote tuonekane tunawaua albino mbele ya macho wa umoja wa mataifa, kwa sababu hizi habari zilifika kwenye mataifa mbali mbali na watu walishangaa sana, wanasikia Tanzania kuna watu wanaua albino, lakini wote hatupendi wanaofanya hivyo.

Mapadri wanaowaf*i*r*a watoto isiwe ndio tuchukie kanisa katoliki kwamba padri wote wana wa sodomy watoto,ni baadhi yao, mtu kasoma dini sijui shetani gani linamshika anamgeuza mtoto kinyume na maumbile tena mtoto, nakumbuka kanisa katoliki liliomba radhi kutokana na kesi mbali mbali duniani za watoto kulawitiwa.

Nilichosema ni wazungu ndio race iliyoua watu weusi wengi zaidi wakati wa utumwa na ndio ukweli.

Umesoma kuhusu Ku Klux Clan? Hawa ni watu weupe huko USA waliokuwa na chuki dhidi ya watu weusi, na waliwaua kweli kweli,

members walikuwepo serikalini pia, nao walishiriki unyanyasaji huo, kikundi hiki pia walitunia hadi mabomu kulipua wayu

weusi, hawa ni wazungu.

Kesi nyingi walizofanya polisi waliona its ok, hawakuwa hata na muda wa kufuatilia, naweza sema hiki kilikuwa ni kikundi cha ugaidi tena zaidi ya ugaidi, pia serikali iliwatambua kabisa, kuna vitabu vya online donload usome.

Serikali haikujali maisha ya watu weusi, kikundi hiki kiliua na hadi kuchoma moto watu weusi, we unaongea nini?

walikuwa wanapiga mabomu kwenye makanisa ya watu weusi na kuwaua, polisi walikuwa pia ni members wa siri wa kundi hilo.

Sasa nikushangae wewe unayemwona mzungu ana roho nzuri kuliko arabs au chinese, ukweli ni kwamba mzungu amekuandaa hivyo ili umuone yupo hivyo kuwa yeye ni mtakatifu kuliko mwingine pia yeye ni bora kuliko wewe kitu ambacho sio, kuna chinese wanatupenda, kuna whites wanatupenda na kuna arabs wanatupenda pia, na nikitazama akili zako naona wameweza kukubadili akili kabisa, mmeandaliwa hivyo tokana na filamu, elimu shuleni zinazoficha ukweli n.k, amkaa, roho mbaya ni mtu mwenyewe, tusiseme mwarabu,mchina,muhindi wala mkerewe. Nadhani tupo pamoja.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23] Mbna Unapanic Dogo/Kubwa Hem Relax Kwanza
Wewe unazungumza habari za kusubiri kuona kama itatengenezwa are you mad?
Chanjo ya Corona imetengenezwa kwa kirusi cha Corona kilichokufa ipo tayari na imejaribiwa kinachosubirisha ni kuona matokeo ya side effects zake.

Italy wanakufa kwa sababu waitaliano ni travellers wazuri sana na kufa kwao si jambo la ajabu kwa sababu serikali yao haitoi data za uongo.
Kwa mashia wenzio Iran WHO wanasema kila baada ya dk 3 kuna new case ya maambukizi serikali yao inasema every 10 minutes uone upuuzi wa mashia wenzio
WHO Wao Kama Nani Yaani WHO Wazijue Takwimu Za WAAJEMI Kuliko WAAJEMI Wenyewe [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]


Pole sana Kijana IRAN Ndio Taifa pekee Linalotoa Takwimu Zauhakika Nazakueleweka Kuhusiana Na CORONA.....

Sent using My COVID-19
 
North Korea Ipi Ilio Kaangwa Na CHINA na RUSSIA [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanakomaa wapi wakati walinyoosha mikono juu ndo ikasainiwa Comprehensive Plan Of Action (JCPOA) Trump akaiita “Obama’s bad deal with Iran” na akaitoa Marekani kwenye mkataba na ndipo Iran wakaanza kubwabwaja wataacha kutekereza masharti ya mkataba kwa kuanza kurutubisha uranium kwa kiwango cha juu, lakin china, UK, France, Russia na ujerumani wakaonya asifanye huo upuuzi make wao bado wako kwenye mkataba na mkataba haujavunjika. Hii imemuweka Iran kwenye hali ngumu sana, sababu huku Kuna vikwazo vya US, upande mwingine anatakiwa atekereze mkataba akizingua vikwazo vya UN navyo vinarudi ambapo hata Russia na China watamkaanga kama walivyomkaanga North Korea kwenye UNSC.

Sent using Jamii Forums mobile app
JCPOA Ilikua Nalengo Gani Na IRAN na US Wanalengo Gani US toka BUSH wanataka IRAN Aachane Na Kurutubisha URANIUM Aliwahi Kuacha Baada Ya Agreement Ya JCPOA [emoji23][emoji23]

IRAN Hatakaaa Aachane Na NYUKLIA Nahakuna Mpuuzi Atakaethubutu Kufanya Asiwe Na NYUKLIA Kuhusu Vikwazo Vikiwekwa Toka TRUMP Akiwa Bwana Mdogo Nampaka Sasa Bado Vinaekwa Vipya Ila Bado WAAJEMI Wapo Wanadunda Japowanakutana Nachangamoto Ndogo Ndogo

Sent using My COVID-19
 
Wanakomaa wapi wakati walinyoosha mikono juu ndo ikasainiwa Comprehensive Plan Of Action (JCPOA) Trump akaiita “Obama’s bad deal with Iran” na akaitoa Marekani kwenye mkataba na ndipo Iran wakaanza kubwabwaja wataacha kutekereza masharti ya mkataba kwa kuanza kurutubisha uranium kwa kiwango cha juu, lakin china, UK, France, Russia na ujerumani wakaonya asifanye huo upuuzi make wao bado wako kwenye mkataba na mkataba haujavunjika. Hii imemuweka Iran kwenye hali ngumu sana, sababu huku Kuna vikwazo vya US, upande mwingine anatakiwa atekereze mkataba akizingua vikwazo vya UN navyo vinarudi ambapo hata Russia na China watamkaanga kama walivyomkaanga North Korea kwenye UNSC.

Sent using Jamii Forums mobile app
Heheheheheheheheeee!!!! Bro Iran imeanza kuwekewa vikwazo 1979 chini ya raisi Carter, ile vita ya Iraq,1980 mpaka 88 Iran

ilikuwa chini ya vikwazo vikali vya USA. Soviet Union,Kuwait,Saudi Arabia na United States walkuwa allies wa Iraq na nchi

zingine za kiarabu za jirani, mwaka 1984 kati kati ya vita USA akaongeza vikwazo zaidi, mtu upo kwenye vita na mataifa

uchumi na silaha kama hivyo halafu unapigwa vikwazo tena, hio ni 2 in 1, hio 1984 USA aliweka vikwazo vya Iran kutonunua

silaha wakidhani wanaimaliza, weeeeeeeeeee!!!! mwanaume alipiga mkono mpaka 88 USA walishika kichwa, Iraq akaanza

kutumia kemikali za sumu kuua wananchi Iran, UN ikaingilia kati, vita ikaahirishwa hapo kuna kila hali Iran alikuwa kinara

kwa maana Iraq kuanza kutumia sumu ni kuzidiwa au kushindwa kusudio.

Iraq ya Saddam ambayo ilimjambisha myahudi ndio Iran alipambana nayo,

Russia kipindi hiko inamjambisha USA ikiwa ni Soviet Union ilikuwa upande wa Iraq.

USA pia alii support Iraq,

Saudia, Kuwait na majirani wote walimpa msaada Iraq but you know what? Iran haikumuomba USA imlegezee, au kujipendekeza, mwanaume alipiga mkono mpaka dakika za mwisho yaani 8 years!! Iran inaanza kupigwa mpaka sumu, iweje leo hii waje waiombe eti USA iwalegezee kisa mafua? heheheheheee!!!

USA anahangaika miaka yote, toka miaka hio ya 80 sijui kama ulikuwa umezaliwa Iran ilikuwa na vikwazo mpaka leo, USA alishataka kuimaliza Iran sio leo cha ajabu inapanda kila siku, wana missile za masafa wana silaha za kila aina, juzi hapa USA kazingua kapewa noma akatulia.

Iran sio unavyoichukulia, wale jamaa wapo smart hadi mzungu anajiuliza hii ni sample ya aina gani?

Ndio nashangaaga humu wanalinganisha Iran na Israel.
 
Dini imefuata nn ss [emoji16][emoji16]

inatakiwa kusiwe na utaratibu wakuzimiliki inatakiwa ziondolewe kabisa unaposema kuwe na utaratibu wakuzimiliki lazima wanaozimiliki walete ubabe dhidi yawasio zimiliki refer US vs JAPAN

ikitokea kama baadhi wanatakiwa wawe nazo nabaadhi wasiwe nazo kama unavyotaka wewe US Hatakiwi Kumiliki Hata Shibri Moja Muuaji Namba Moja Wa WAJAPAN.....

Sent using My COVID-19
Utaratibu unaweza jumuisha mataifa yote kuwa na umiliki, au zisiwe silaha za nchi yoyote bali umoja wa watu wa duniani kama tahadhari tu ya viumbe kutoka sayari nyingine hata kama havipo kwa sasa.
 
North Korea Ipi Ilio Kaangwa Na CHINA na RUSSIA [emoji23][emoji23][emoji23]JCPOA Ilikua Nalengo Gani Na IRAN na US Wanalengo Gani US toka BUSH wanataka IRAN Aachane Na Kurutubisha URANIUM Aliwahi Kuacha Baada Ya Agreement Ya JCPOA [emoji23][emoji23]

IRAN Hatakaaa Aachane Na NYUKLIA Nahakuna Mpuuzi Atakaethubutu Kufanya Asiwe Na NYUKLIA Kuhusu Vikwazo Vikiwekwa Toka TRUMP Akiwa Bwana Mdogo Nampaka Sasa Bado Vinaekwa Vipya Ila Bado WAAJEMI Wapo Wanadunda Japowanakutana Nachangamoto Ndogo Ndogo

Sent using My COVID-19
JCPOA ilikuwa na lengo la Iran iachane na mpango wa kutengeneza siraha za nyuklia na akasaini JCPOA kukubali kuachana na huo mpango.
Unajitoa akili huijui North Korea?! [emoji23][emoji23][emoji23]Kwa taarifa yako US alidraft vikwazo dhidi ya North Korea na kuvipeleka UNSC ambapo baraza zima la UNSC akiwemo China na Russia walivote kuviunga mkono hivyo vikwazo na vikapita, China na Russia wakaamua kumchinjia bahatini North Korea. Iran naye akijifanya tu kukiuka JCPOA mziki unakuwa UN sasa, Russia na China watamkaanga kwenye UNSC [emoji23][emoji23][emoji23]. Au hujui myahudi ni muhimu zaidi Moscow kuliko mashia na muajemi kwa ujumla[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Na myahudi ndo hataki kabisa Iran awe na siraha za nyuklia hawa wakina US wanasaidia tu kufanikisha.
Linapofika suala la maslah ya myahudi Moscow inakuwa upande wa myahudi, linapokuja suala la biashara Beijing inakuwa upande wa US na linapokuja suala maslahi ya madhehebu nchi nyingi za kiislam wakiongozwa na saudia zinakuwa against Mashia. Na hapo Iran wanabidi tu wamuombe Allah wao wa mashia awasaidia make hana msaada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heheheheheheheheeee!!!! Bro Iran imeanza kuwekewa vikwazo 1979 chini ya raisi Carter, ile vita ya Iraq,1980 mpaka 88 Iran

ilikuwa chini ya vikwazo vikali vya USA. Soviet Union,Kuwait,Saudi Arabia na United States walkuwa allies wa Iraq na nchi

zingine za kiarabu za jirani, mwaka 1984 kati kati ya vita USA akaongeza vikwazo zaidi, mtu upo kwenye vita na mataifa

uchumi na silaha kama hivyo halafu unapigwa vikwazo tena, hio ni 2 in 1, hio 1984 USA aliweka vikwazo vya Iran kutonunua

silaha wakidhani wanaimaliza, weeeeeeeeeee!!!! mwanaume alipiga mkono mpaka 88 USA walishika kichwa, Iraq akaanza

kutumia kemikali za sumu kuua wananchi Iran, UN ikaingilia kati, vita ikaahirishwa hapo kuna kila hali Iran alikuwa kinara

kwa maana Iraq kuanza kutumia sumu ni kuzidiwa au kushindwa kusudio.

Iraq ya Saddam ambayo ilimjambisha myahudi ndio Iran alipambana nayo,

Russia kipindi hiko inamjambisha USA ikiwa ni Soviet Union ilikuwa upande wa Iraq.

USA pia alii support Iraq,

Saudia, Kuwait na majirani wote walimpa msaada Iraq but you know what? Iran haikumuomba USA imlegezee, au kujipendekeza, mwanaume alipiga mkono mpaka dakika za mwisho yaani 8 years!! Iran inaanza kupigwa mpaka sumu, iweje leo hii waje waiombe eti USA iwalegezee kisa mafua? heheheheheee!!!

USA anahangaika miaka yote, toka miaka hio ya 80 sijui kama ulikuwa umezaliwa Iran ilikuwa na vikwazo mpaka leo, USA alishataka kuimaliza Iran sio leo cha ajabu inapanda kila siku, wana missile za masafa wana silaha za kila aina, juzi hapa USA kazingua kapewa noma akatulia.

Iran sio unavyoichukulia, wale jamaa wapo smart hadi mzungu anajiuliza hii ni sample ya aina gani?

Ndio nashangaaga humu wanalinganisha Iran na Israel.
Duh! Naona umeandika tu historia hapa. Umenikumbusha jamaa yangu mmoja hivi baada ya kukutwa na VVU alianza kusema ukimwi ulikuwepo toka zaman watu wanaupata wakunywa dawa na wanadunda tu, akawa anasema hayo huku anakunywa ARV.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwanza Nikukumbushe Tu IRAN Hajawahi Kua Namipango Walamikakati Yakutengeneza Silaha Zanyuklia Ijapokua Kama Akiamua Kutengeneza Uwezo Anao Maana Hakuna Wakumzuia Walawakumtisha Hapa Duniani
JCPOA ilikuwa na lengo la Iran iachane na mpango wa kutengeneza siraha za nyuklia na akasaini JCPOA kukubali kuachana na huo mpango.
Unajitoa akili huijui North Korea?! [emoji23][emoji23][emoji23]Kwa taarifa yako US alidraft vikwazo dhidi ya North Korea na kuvipeleka UNSC ambapo baraza zima la UNSC akiwemo China na Russia walivote kuviunga mkono hivyo vikwazo na vikapita, China na Russia wakaamua kumchinjia bahatini North Korea. Iran naye akijifanya tu kukiuka JCPOA mziki unakuwa UN sasa, Russia na China watamkaanga kwenye UNSC [emoji23][emoji23][emoji23]. Au hujui myahudi ni muhimu zaidi Moscow kuliko mashia na muajemi kwa ujumla[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Na myahudi ndo hataki kabisa Iran awe na siraha za nyuklia hawa wakina US wanasaidia tu kufanikisha.
Linapofika suala la maslah ya myahudi Moscow inakuwa upande wa myahudi, linapokuja suala la biashara Beijing inakuwa upande wa US na linapokuja suala maslahi ya madhehebu nchi nyingi za kiislam wakiongozwa na saudia zinakuwa against Mashia. Na hapo Iran wanabidi tu wamuombe Allah wao wa mashia awasaidia make hana msaada.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jengine Jiulize Yale Makaa Yamawe Yanayochimbwa Pale Korea Kaskazini Yanaongoza Kununuliwa Namataifa Gani Nagani Hapa Ulimwenguni[emoji23][emoji23][emoji23]

CHINA na RUSSIA Kwa Kiduku Sawa Na US na WAYAHUDI China Hajawahi Kua Nabifu Na PYONGYANG

Sent using My COVID-19
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwanza Nikukumbushe Tu IRAN Hajawahi Kua Namipango Walamikakati Yakutengeneza Silaha Zanyuklia Ijapokua Kama Akiamua Kutengeneza Uwezo Anao Maana Hakuna Wakumzuia Walawakumtisha Hapa DunianiJengine Jiulize Yale Makaa Yamawe Yanayochimbwa Pale Korea Kaskazini Yanaongoza Kununuliwa Namataifa Gani Nagani Hapa Ulimwenguni[emoji23][emoji23][emoji23]

CHINA na RUSSIA Kwa Kiduku Sawa Na US na WAYAHUDI China Hajawahi Kua Nabifu Na PYONGYANG

Sent using My COVID-19

Hawezi kutengeneza na huo uwezo hana ila nia anayo, kwa akili yako vikwazo vya UN vinawekwa kwa bifu! Na nan kasema china wanabifu na North Korea?! Vikwazo vinapigwa kwa hoja na ndo maana China walipigia vikwazo dhidi ya ndugu zao Korea kaskazini. Na kama unajidanganya urusi na Korea Kuna urafaki au undugu hiyo imekula kwako kama inavyokula kwa ccm inavyojidanganyaga wachina ni ndugu zetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzungu ndugu yake ni mzungu na lao ni moja, muarab kwa muarab, muafrika kwa muafrika, macho madogo kwa macho madogo, nk. Ingawa miafrika, miarab, mimacho madogo,nk haijitambui. Russia kwa Iran ni kwa maslahi tu ni kama ilivyo kwa US kwa saudia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23] Mbna Unapanic Dogo/Kubwa Hem Relax Kwanza WHO Wao Kama Nani Yaani WHO Wazijue Takwimu Za WAAJEMI Kuliko WAAJEMI Wenyewe [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]


Pole sana Kijana IRAN Ndio Taifa pekee Linalotoa Takwimu Zauhakika Nazakueleweka Kuhusiana Na CORONA.....

Sent using My COVID-19
Kuliko hata Tanzania!!
 
Ungeweka mifano hai kuwa mradi wa maji mkoa fulani, wilaya fulani, kata fulani umejengwa na Iran ningekuelewa ila ulichokifanya nikuipamba kwa maneno matupu. Umefanya nicheke sana huyu huyu Iran ajenge miradi ya maji na afadhiri madawa halafu KAFIRI aje atumie? Sijapata kuona kitu kama hicho. Kama mradi wa maji atajenga kwenye misikiti ili waislamu wajitawaze, na kufadhili madawa kwenye hospitali za kiislamu.
Iran ajenge visima vya maji (mradi wa maji) na afadhiri madawa halafu kafiri aje atumie? Aiseee sijapata kuona kitu kama hicho
Irani imekujengea miradi ya maji mengi nchi yako na kukufadhili madawa, inawapa mafuta ya bure, pia inatoa scholarship za bure kwa nchi yako acha jeuri ww

Always trust yr self.
 
Nafikri haujaelewa nilichoandika ila kwa vile unafikiri waarabu wote ni waisalamu na mataifa ya kiirabu ni waislamu, vitu vyote vya waarabu ni vya waislamu ndiyo maana ulikuwa unataka muachiwe ikulu kwa kuwa ilijengwa na waarabu na ukiizungumzia Iran umewazungumzia waislamu weusi na weupe.
Ulichoakiandika unakijua wewe mwenyewe kinachozungumziwa ni Iran kuomba msaada kwa UN iondolewe vikwazo vilivyowekwa na Marekani
Waisalmu bana hata hawaeleweki walisema "Allah kawalaani China kwa kuwanyanyasa waislamu kwa kuwaletea corani kama fundisho ila leo hata nchi za waisalmu kama Iran kuna maambukizi ya Corona. Sijui Allah kasinzia haoni watu wake wakiangamia?"
Wapi Iran imelazimisha kusaidiwa? Unaota? Soma...

Waziri mkuu Majaliwa athibitisha kwa kusema “Tuna ongezeko la wagonjwa wawili ambao wamethibitika kuwa na Corona Tanzania, mmoja kutoka Zanzibar yeye ni Mjerumani ana miaka 24 na tayari yupo kwenye uangalizi, na hapa DSM tuna Mmarekani mwenye miaka 61 amebainika kuwa na Corona pia”


Waite na wenzako mseme ni nani hapo anastahiki msaada?
 
Pole sana. Sasa hivi nchi hazipigani vita vile vya UFAHARI vya 1914 (vita vya kwanza) na 1945 (vita vya pili) vya kuoneshana una silaha kali. Ndiyo maana unafikiri Marekani kamshindwa kumpiga North Korea. Sasa hivi nchi zinapigana vita vya kiuchumi. Sasa hivi kinachotafutwa ni mafuta hata tukipoteza wanajeshi 1000 sawa ila tutahakikisha tunachukua mali za kutosha. Marekani ihangaike na North Korea kweli ambayo haina chochote? Tushapita kwenye Imperialism sasa hivi tuko kwenye stage nyingine. Wewe endelea kukariri hivyo hivyo. Sasa hivi nchi kama Marekani inaangalia wapi kwenye Mafuta tukachukue. Upigane vita halafu usipate chochote hata kama ningekuwa Trump nitakaa meza moja na Raisi wa North Korea tuyamalize.
WEWE TENGENEZA MISALAHA MIKALI HALAFU UCHUMI WAKO UNAPUMULIA MASHINE UTAWEKEWA VIKWAZO TU NA NCHI TAJIRI. INGEKUWA MWENYE LATEST TECHNOLOGY ANATAWALA DUNIA RUSSIA INGEKUWA INATAWALA ILA KWA VILE UCHUMI WAKE SIYO MKUBWA NDIYO MAANA UNAONA INAWEKEA VIKWAZO NA MAREKANI.
Kuwa na missile it doesnt mean utapata kutibu Corona, pia haimaanishi Iran anaomba msaada wa USA, Iran imeomba msaada UN(Umoja wa mataifa).

Unashindwa kuishangaa USA imeshindwa kuipiga NORTH KOREA kwa latest technology zao za military chapu na kila siku wanasema wana njaa na old technology halafu wanawaita kwenye meza ya mazungumzo kwa kuwachekea na kujipendekeza, kwa hio tuseme USA ni weak sivyo?(nikucheke kwanza), unashangaa Iran kutibu Corona ambayo hata China tiba hawana na misaada walipewa.


Vita ya uchumi unayozungumzia itakula kwa USA, endapo ataweka vikwazo kama alivyoweka Iran, naomba we mwenyewe ujiulize kwa nini USA hajaweka vikwazo alivyoweka dhidi ya China kama Iran na Russia? anakuwa ana sita sita, mbona huawei 5G zinafungwa ufarans this year, hutasikia akibwabwaja.USA akimwaga mboga China anamwaga ugali.

Kama unataka kuona USA anatoka road mzima mzima mwambie athubutu,

Kuhusu suala la Huawei, Apple wenyewe walithibitisha kwamba endapo China itaweka vikwazo basi pato lingeshuka kwa 30% na huo ndio utakuwa mwisho wa apple, kwa maana hilo ni gap kubwa sana sana.

China ikistop kampuni za USA china, supermarkets zote marekani zitakuwa empty, then China itashuka kidogo kiuchumi then itakuja kwa kasi kubwa, hapo bidhaa zitakua hazina budi kupanda bei USA tokana na uzalishaji, ujue China inakuwa 2x faster than US economy, So usiwe unasikiliza story za kwenye kahawa na pia fuatilia vitu na sio kusema tu huawei wakati hujui nini kinachoendelea.

So usifikiri USA anaweza kufanya kila kitu ajisikiavyo kama akili zako zikutumavyo.

Kumbuka China cheap labor ila wana elimu kitu ambacho marekani hakipo, hivyo mamia ya kampuni za USA zipo china, ifuatayo ni list fupi ya kampuni baadhi za kimarekani zinazotengeneza product zake nchini China.



AT&T
Abercrombe & Fitch
Abbott Laboratories
Acer Electronics
Ademco Security
Adidas
ADI Security
AGI- American Gem Institute
AIG Financial
Agrilink Foods, Inc. (ProFac)
Allergan Laboratories
American Eagle Outfitters
American Standard
American Tourister
Ames Tools
Amphenol Corporation
Amway Corporation
Analog Devices, Inc.
Apple Computer
Armani
Armour Meats
Ashland Chemical
Ashley Furniture
Associated Grocers
Audi Motors
AudioVox
AutoZone, Inc.
Avon

Banana Republic
Bausch & Lomb, Inc.
Baxter International
Bed, Bath & Beyond
Belkin Electronics
Best Buy
Best Foods
Big 5 Sporting Goods
Black & Decker
Body Shop
Borden Foods
Briggs & Stratton

Calrad Electric
Campbell 's Soup
Canon Electronics
Carole Cable
Casio Instrument
Caterpillar, Inc.
CBC America
CCTV Outlet
Checker Auto
CitiCorp
Cisco Systems
Chiquita Brands International
Claire's Boutique
Cobra Electronics
Coby Electronics
Coca Cola Foods
Colgate-Palmolive
Colorado Spectrum
ConAgra Foods
Cooper Tire
Corning, Inc.
Coleman Sporting Goods
Compaq
Crabtree & Evelyn
Cracker Barrel Stores
Craftsman Tools (see Sears)
Cummins, Inc.

Dannon Foods
Dell Computer
Del Monte Foods
Dewalt Tools
DHL
Dial Corporation
Diebold, Inc.
Dillard's, Inc.
Dodge-Phelps
Dole Foods
Dollar Tree Stores, Inc.
Dow-Corning

Eastman Kodak
EchoStar
Eclipse CCTV
Edge Electronics Group
Electric Vehicles USA, Inc.
Eli Lilly Company
Emerson Electric
Enfamil
Estee Lauder
Eveready

Family Dollar Stores
FedEx
Fisher Scientific
Ford Motors
Fossil
Frito Lay
Furniture Brands International

GAP Stores
Gateway Computer
GE, General Electric
General Foods International
General Mills
General Motors
Gentek
Gerber Foods
Gillette Company
Goodrich Company
Goodyear Tire
Google
Gucci
Guess?

Haagen-Dazs
Harley Davidson
Hasbro Company
Heinz Foods
Hershey Foods
Hitachi
Hoffman-LaRoche
Holt's Automotive Products
Hormel Foods
Home Depot
Honda Motor
Hoover Vacuum
HP Computer
Honda
Honeywell
Hubbell Inc.
Huggies
Hunts-Wesson Foods

ICON Office Solutions
IBM
Ikea
Intel Corporation

J.C. Penny's
J.M. Smucker Company
John Deere
Johnson Control
Johnson & Johnson
Johnstone Supply
JVC Electronics

KB Home
Keebler Foods
Kenwood Audio
KFC, Kentucky Fried Chicken
Kimberly Clark
Knorr Foods
K-Mart
Kohler
Kohl's Corporation
Kraft Foods
Kragen Auto

Land's End
Lee Kum Kee Foods
Lexmark
LG Electronics
Lipton Foods
L.L. Bean, Inc.
Logitech
Libby's Foods
Linen & Things
Lipo Chemicals, Inc.
Lowe's Hardware
Lucent Technologies
Lufkin

Mars Candy
Martha Stewart Products
Mattel
McCormick Foods
McDonald's
McKesson Corporation
Megellan GPS
Memorex
Merck & Company
Michael's Stores
Mitsubishi Electronics
Mitsubishi Motors
Mobile Oil
Molex
Motorola
Motts Applesauce
Multifoods Corporation

Nabisco Foods
National Semiconductor
Nescafe
Nestles Foods
Nextar
Nike
Nikon
Nivea Cosmetics
Nokia Electronics
Northrop Grumman Corporation
NuSkin International
Nutrilite (see Amway)
Nvidia Corporation (G-Force)

Office Depot
Olin Corporation
Old Navy
Olympus Electronics
Orion-Knight Electronics

Pacific Sunwear, Inc.
Pamper's
Panasonic
Pan Pacific Electronics
Panvise
Papa Johns
Payless Shoesource
Pelco
Pentax Optics
Pep Boy's
Pepsico International
PetsMart
Petco
Pfizer, Inc.
Philips Electronics
Phillip Morris Companies
Pier 1 Imports
Pierre Cardin
Pillsbury Company
Pioneer Electronics
Pitney Bowes, Inc.
Pizza Hut
Plantronics
PlaySchool Toys
Polaris Industries
Polaroid
Polo (see Ralph Loren)
Post Cereals
Price-Pfister
Pringles
Praxair
Proctor & Gamble
PSS World Medical
Pyle Audio

Qualcomm
Quest One

Radio Shack
Ralph Loren
RCA
Reebok International
Reynolds Aluminum
Revlon
Rohm & Hass Company

Samsonite
Samsung
Sanyo
Shell Oil
Schwinn Bike
Sears-Craftsman
Seven-Eleven (7-11)
Sharp Electronics
Sherwin-Williams
Shure Electronics
Sony
Speco Technologies/Pro Video
Shopko Stores
Skechers Footwear
SmartHome
Smucker's (see J.M. Smucker's)
Solar Power, Inc.
Spencer Gifts
Stanley Tools
Staple's
Starbucks Corporation
Steelcase, Inc.
STP Oil
Sunkist Growers
SunMaid Raisins
Sunglass Hut
Sunkist
Subway Sandwiches
Switchcraft Electronics
SYSCO Foods
Sylvania Electric

3-M
Tai Pan Trading Company
Tamron Optics
Target
TDK
Tektronix, Inc
Texas Instruments
Timex
Timken Bearing
TNT
Tommy Hilfiger
Toro
Toshiba
Tower Automotive
Toyota
Toy's R Us, Inc.
Trader Joe's
Tripp-lite
True Value Hardware
Tupper Ware
Tyson Foods

Uniden Electronics
UPS

Valspar Corporation
Victoria 's Secret
Vizio Electronics
Volkswagen
VTech

Walgreen Company
Walt Disney Company
Walmart
WD-40 Corporation
Weller Electric Company
Western Digital
Westinghouse Electric
Weyerhaeuser Company
Whirlpool Corporation
Wilson Sporting Goods
Wrigley
WW Grainger, Inc.
Wyeth Laboratories

X-10
Xelite
Xerox

Yahoo
Yamaha
Yoplait Foods
Yum Brands

Zale Corporation
 
Nafikri haujaelewa nilichoandika ila kwa vile unafikiri waarabu wote ni waisalamu na mataifa ya kiirabu ni waislamu, vitu vyote vya waarabu ni vya waislamu ndiyo maana ulikuwa unataka muachiwe ikulu kwa kuwa ilijengwa na waarabu na ukiizungumzia Iran umewazungumzia waislamu weusi na weupe.
Ulichoakiandika unakijua wewe mwenyewe kinachozungumziwa ni Iran kuomba msaada kwa UN iondolewe vikwazo vilivyowekwa na Marekani
Waisalmu bana hata hawaeleweki walisema "Allah kawalaani China kwa kuwanyanyasa waislamu kwa kuwaletea corani kama fundisho ila leo hata nchi za waisalmu kama Iran kuna maambukizi ya Corona. Sijui Allah kasinzia haoni watu wake wakiangamia?"
Nani alikudanganya kuwa Wairan ni Waarabu?

Huwa mnaandika kipoyoyo kweli kweli.

Unataka kumfundisha Muislam Waislam ni kina nani, wakati hata maana ya neno Uislam huijuwi. Majanga!

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Pole sana. Sasa hivi nchi hazipigani vita vile vya UFAHARI vya 1914 (vita vya kwanza) na 1945 (vita vya pili) vya kuoneshana una silaha kali. Ndiyo maana unafikiri Marekani kamshindwa kumpiga North Korea. Sasa hivi nchi zinapigana vita vya kiuchumi. Sasa hivi kinachotafutwa ni mafuta hata tukipoteza wanajeshi 1000 sawa ila tutahakikisha tunachukua mali za kutosha. Marekani ihangaike na North Korea kweli ambayo haina chochote? Tushapita kwenye Imperialism sasa hivi tuko kwenye stage nyingine. Wewe endelea kukariri hivyo hivyo. Sasa hivi nchi kama Marekani inaangalia wapi kwenye Mafuta tukachukue. Upigane vita halafu usipate chochote hata kama ningekuwa Trump nitakaa meza moja na Raisi wa North Korea tuyamalize.
WEWE TENGENEZA MISALAHA MIKALI HALAFU UCHUMI WAKO UNAPUMULIA MASHINE UTAWEKEWA VIKWAZO TU NA NCHI TAJIRI. INGEKUWA MWENYE LATEST TECHNOLOGY ANATAWALA DUNIA RUSSIA INGEKUWA INATAWALA ILA KWA VILE UCHUMI WAKE SIYO MKUBWA NDIYO MAANA UNAONA INAWEKEA VIKWAZO NA MAREKANI.
USA itakuvamia kwa interest au ukiwa threat kwao, bado tupo pale pale, kaa ukijua kwamba nchi yeyote ambayo ina resist order za USA huyo tayari ni threat kwao, ni threat kivipi?

USA anapovamia nchi yeyote ile yeye na masela zake ili kuiba mema ya nchi, nchi ambayo ni mlengwa inaweza kuomba msaada kwa hizi nchi kama North Korea na Iran n.k, hawa wakiweka resistance inakuwa mziki tena, hizi nchi ni tishio na zinampa mawazo sana, angalia Syria, Syria imewekewa kifua ndio maana USA, inajilamba kama simba aliyekosa windo.

Mfano ile vita inayoendelea Yemen, USA anazi support Saudia Arabia, UAE, Qatar, Senegal na Sudan kuivamia Yemeni halafu Houthis wanayoipigania Yemen wapo supported na Iran,North Korea na Hezbollah, lakini mpaka tunavyoongea hali ya allies wa USA ni mbaya, houthi wanachukua mji mkuu na eneo kubwa yemen, Yemen kuna mafuta ya kutosha, Sasa dont you see North Korea ilivyo hatari kwa USA? ilkiendelea hivi USA atakuwa anashindwa kuiba, pili hizi nchi zitatengeneza unit yenye nguvu.

Kwa hio usifikiri kisa North Korea hakuna mafuta ndio ujue sio threat, tena anakuwa ni threat mkubwa sana kwa USA.

Ambacho hujui ni kwamba hata North Korea ingekuwa inazalisha mafuta zaidi ya Saudia hakuna mtu au yeye na wenzake kusogea pale, mnadanganywa na movie za hollywood kwamba navy seals 6 wanapigana na askari 1000(nikucheke).

Iran ina mafuta ya kutosha, ille noma aliyoanzisha ya kumuua Suleiman, halafu akasema wakijibu wanarudisha mapigo kwa

nguvu, Iran ikajibu na kusababisha damage ya ubongo kwa askari waliokuwepo kambini, USA akaufyata, kwa nini wasinge

move? Kwa nini wasingeichakaza Iran chapu chapu hata kama askari 5000 wangeisha lakini wakaingia wakaanza kuchota mafuta?

USA ukiachilia mbali kuvamia mtu kwa interest binafsi, pia itakuvamia ukiwa una hatarisha maslahi yake au utakuwa threat kwao, North Korea ni threat kwa USA lakini hawana cha kufanya.
 
Duh! Naona umeandika tu historia hapa. Umenikumbusha jamaa yangu mmoja hivi baada ya kukutwa na VVU alianza kusema ukimwi ulikuwepo toka zaman watu wanaupata wakunywa dawa na wanadunda tu, akawa anasema hayo huku anakunywa ARV.

Sent using Jamii Forums mobile app
MATHEMATICALLY
US sanction started in 1979
2020 - 1979 = 41 Years

(People + HIV) / 41 Years = Death = People Dead (True) Because you wont survive for 41 years with HIV.



Iran = People
HIV = US Sanction

Iran + US Sunction = Death = Iran Dead (False) Because Iran is not Dead.

Hence , HIV /= US Sanction.

Kwa hio mfano wako ni mfu, huwezi ku survive kwa miaka 41 na ukimwi, ila Iran badala ya kudhoofika inakuwa imara.
 
Back
Top Bottom