Kumekucha sasa Irani yaiomba Marekani Iwaondolee Vikwazo

Kumekucha sasa Irani yaiomba Marekani Iwaondolee Vikwazo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama hawez kutengeneza wanamuekea vikwazo ili kukigundua kitugani ambacho hawajakigundua
Hawezi kutengeneza na huo uwezo hana ila nia anayo, kwa akili yako vikwazo vya UN vinawekwa kwa bifu! Na nan kasema china wanabifu na North Korea?! Vikwazo vinapigwa kwa hoja na ndo maana China walipigia vikwazo dhidi ya ndugu zao Korea kaskazini. Na kama unajidanganya urusi na Korea Kuna urafaki au undugu hiyo imekula kwako kama inavyokula kwa ccm inavyojidanganyaga wachina ni ndugu zetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzungu ndugu yake ni mzungu na lao ni moja, muarab kwa muarab, muafrika kwa muafrika, macho madogo kwa macho madogo, nk. Ingawa miafrika, miarab, mimacho madogo,nk haijitambui. Russia kwa Iran ni kwa maslahi tu ni kama ilivyo kwa US kwa saudia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Navikwazo vya UN Kama haviwekwi kwabifu viliekwa kwa nn naviliondolewa kwasababu gani ?!

Wewe ndio unaweza kua hujitambui miongoni mwahao ulowataja ila sidhanii kama kuna asie jitambua katika hao ulowataja pole sana kijana [emoji16][emoji23][emoji56][emoji14][emoji12][emoji12]

Sent using My COVID-19
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama hawez kutengeneza wanamuekea vikwazo ili kukigundua kitugani ambacho hawajakigunduaNavikwazo vya UN Kama haviwekwi kwabifu viliekwa kwa nn naviliondolewa kwasababu gani ?!

Wewe ndio unaweza kua hujitambui miongoni mwahao ulowataja ila sidhanii kama kuna asie jitambua katika hao ulowataja pole sana kijana [emoji16][emoji23][emoji56][emoji14][emoji12][emoji12]

Sent using My COVID-19
Kwa akili yako fupi waliweka kwa bifu! Sasa Russia na China wanabifu gan na Iran?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MATHEMATICALLY
US sanction started in 1979
2020 - 1979 = 41 Years

(People + HIV) / 41 Years = Death = People Dead (True) Because you wont survive for 41 years with HIV.



Iran = People
HIV = US Sanction

Iran + US Sunction = Death = Iran Dead (False) Because Iran is not Dead.

Hence , HIV /= US Sanction.

Kwa hio mfano wako ni mfu, huwezi ku survive kwa miaka 41 na ukimwi, ila Iran badala ya kudhoofika inakuwa imara.
Kwa akili yako unafikiri vikwazo vinafanana eti! Kwa taarifa yako Kuna package mbalimbali za vikwazo. Hii dozi ya Trump sio sawa na dose za miaka ya 90 huko. Vikwazo alivyowekewa Makonda sio sawa na alivyowekewa Andrey Akimov.
Afu Ni nan alikuambia vikwazo viliwekwa ili kuua iran! Kwenye vikwazo kufa hufi ila Cha moto unakipata[emoji1787][emoji1787][emoji1787], ndo maana unaona hata jiran zako Zimbabwe hawafi ila wakipatapata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwaakili zangu fupi niliona wameweka kwa bifu ila kwaakili zako ndefu naomba unijulishe kwa nn mwanzo waliviweka nakwanini sasa wameviondoa
Kwa akili yako fupi waliweka kwa bifu! Sasa Russia na China wanabifu gan na Iran?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan RUSSIA na CHINA Kwaakili zako Ndefu Ndio Unawaona Watakatifu Ambao Hawana Dhambi[emoji3][emoji23]

Sent using My COVID-19
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji14]
Kwa akili yako unafikiri vikwazo vinafanana eti! Kwa taarifa yako Kuna package mbalimbali za vikwazo. Hii dozi ya Trump sio sawa na dose za miaka ya 90 huko. Vikwazo alivyowekewa Makonda sio sawa na alivyowekewa Andrey Akimov.
Afu Ni nan alikuambia vikwazo viliwekwa ili kuua iran! Kwenye vikwazo kufa hufi ila Cha moto unakipata[emoji1787][emoji1787][emoji1787], ndo maana unaona hata jiran zako Zimbabwe hawafi ila wakipatapata.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahio kama unaliekea taifa fulani vikwazo vyakuzuia wasiingize madawa katika taifa kao unawatakia nn wazaliane sana ama [emoji16][emoji16]

Wayahudi Weusi Mnatabu Sanaaaa Asee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using My COVID-19
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji14]Kwahio kama unaliekea taifa fulani vikwazo vyakuzuia wasiingize madawa katika taifa kao unawatakia nn wazaliane sana ama [emoji16][emoji16]

Wayahudi Weusi Mnatabu Sanaaaa Asee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using My COVID-19

Umeona la madawa tu! Ni zaidi ya hapo, lengo sio kuwaua bali wapate tabu sana, kufa hawafi ila Cha moto wanakiona.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mashia wa tandahimba mna tabu sana, kama vipi US awatandike vikwazo na nyie mashia wa bongo hata vya kutotumia window, Android na iOS ndo itakuwa bye bye mashia kupost humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwaakili zangu fupi niliona wameweka kwa bifu ila kwaakili zako ndefu naomba unijulishe kwa nn mwanzo waliviweka nakwanini sasa wameviondoa Kwan RUSSIA na CHINA Kwaakili zako Ndefu Ndio Unawaona Watakatifu Ambao Hawana Dhambi[emoji3][emoji23]

Sent using My COVID-19
Walivitoa baada ya Iran kunyooshwa na vile vikwazo na kusign JCPOA.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimekuuliza swali China na Urusi wanabifu gan na iran? Badala ya kujibu swali wewe unauliza masuala ya utakatifu[emoji44][emoji44][emoji44] jifunze kujibu swali kwanza kisha kama unaswali ndo uulize. Haya Russia na China wanabifu gani na Iran?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zote mwenye nguvu lazima amtawale mnyonge. Kama wewe unakumbatia umaskini kwanini tajiri asikutawale?
Waarabu weusi tegemeo lao limebaki kwa Iran.
USA itakuvamia kwa interest au ukiwa threat kwao, bado tupo pale pale, kaa ukijua kwamba nchi yeyote ambayo ina resist order za USA huyo tayari ni threat kwao, ni threat kivipi?

USA anapovamia nchi yeyote ile yeye na masela zake ili kuiba mema ya nchi, nchi ambayo ni mlengwa inaweza kuomba msaada kwa hizi nchi kama North Korea na Iran n.k, hawa wakiweka resistance inakuwa mziki tena, hizi nchi ni tishio na zinampa mawazo sana, angalia Syria, Syria imewekewa kifua ndio maana USA, inajilamba kama simba aliyekosa windo.

Mfano ile vita inayoendelea Yemen, USA anazi support Saudia Arabia, UAE, Qatar, Senegal na Sudan kuivamia Yemeni halafu Houthis wanayoipigania Yemen wapo supported na Iran,North Korea na Hezbollah, lakini mpaka tunavyoongea hali ya allies wa USA ni mbaya, houthi wanachukua mji mkuu na eneo kubwa yemen, Yemen kuna mafuta ya kutosha, Sasa dont you see North Korea ilivyo hatari kwa USA? ilkiendelea hivi USA atakuwa anashindwa kuiba, pili hizi nchi zitatengeneza unit yenye nguvu.

Kwa hio usifikiri kisa North Korea hakuna mafuta ndio ujue sio threat, tena anakuwa ni threat mkubwa sana kwa USA.

Ambacho hujui ni kwamba hata North Korea ingekuwa inazalisha mafuta zaidi ya Saudia hakuna mtu au yeye na wenzake kusogea pale, mnadanganywa na movie za hollywood kwamba navy seals 6 wanapigana na askari 1000(nikucheke).

Iran ina mafuta ya kutosha, ille noma aliyoanzisha ya kumuua Suleiman, halafu akasema wakijibu wanarudisha mapigo kwa

nguvu, Iran ikajibu na kusababisha damage ya ubongo kwa askari waliokuwepo kambini, USA akaufyata, kwa nini wasinge

move? Kwa nini wasingeichakaza Iran chapu chapu hata kama askari 5000 wangeisha lakini wakaingia wakaanza kuchota mafuta?

USA ukiachilia mbali kuvamia mtu kwa interest binafsi, pia itakuvamia ukiwa una hatarisha maslahi yake au utakuwa threat kwao, North Korea ni threat kwa USA lakini hawana cha kufanya.
 
Unazeeka vibaya. Kuna mahali nimeandika Wairan ni Waarabu? Unaweza kuonesha
"Waislamu walisema Allah kawalaani China kwa kuwanyanyasa waislamu kwahiyo kawaletea Corona kama fundisho. Ila chakungaza Corona inaua mpaka waislamu. Sijui Allah kakasinzia au yupo anatawaza ili aingie msikitini kuswali"
Nani alikudanganya kuwa Wairan ni Waarabu?

Huwa mnaandika kipoyoyo kweli kweli.

Unataka kumfundisha Muislam Waislam ni kina nani, wakati hata maana ya neno Uislam huijuwi. Majanga!

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Unazeeka vibaya. Kuna mahali nimeandika Wairan ni Waarabu? Unaweza kuonesha
"Waislamu walisema Allah kawalaani China kwa kuwanyanyasa waislamu kwahiyo kawaletea Corona kama fundisho. Ila chakungaza Corona inaua mpaka waislamu. Sijui Allah kakasinzia au yupo anatawaza ili aingie msikitini kuswali"
Mada umeiona inaongelea nini? Inaongelea Wairan kama umesahau. Wewe unaongelea nini? "Waarabu".

Sasa ya Wairan, Waarabu imewahusu nini?


Unashanga Ikulu?kuwa like jengo Kwanza lilijjengwa na Waislam?

Mimi nakuona wewe ndio poyoyo, zao la shule za kusomea ujinga, mada Wairan, wewe uwaingize Waarabu wakati hata hauelewi Uarabu ni nini Uiran ni nini halafu una kauli ya kuuongelea uzee wangu?

Mama'ko ndiye alikufundisha kuwa kuna wanaozeeka vibaya? Elewa kuwa,
anaekuwa licha ya kuzeeka huku anaabudu binadam mwenzake huyo ndiye anaishi vibaya.

Unachotaka kukisema ni nini? Maana naona upo finyu sana, unabwabwaja na kuhororoja bila mpango wowote.

Unajuwa maana ya Ustaarabu?

Wewe chagua moja la kujadili tukupe darsa.

Unataka kuiongelea Ikulu? Unataka kuwaongelea Wairan?
Unataka kuwaongelea Waarabu?

Unataka kumuongelea Allah na adhabu zake?

Unataka kumuongelea corona virus?

Walimu wako wa Sunday School ndiyo waliokufundisha kujadiliana na watu namna hiyo? Au hayo ulifundishwa na mama'ko nyumbani?
 
Kwa akili yako unafikiri vikwazo vinafanana eti! Kwa taarifa yako Kuna package mbalimbali za vikwazo. Hii dozi ya Trump sio sawa na dose za miaka ya 90 huko. Vikwazo alivyowekewa Makonda sio sawa na alivyowekewa Andrey Akimov.
Afu Ni nan alikuambia vikwazo viliwekwa ili kuua iran! Kwenye vikwazo kufa hufi ila Cha moto unakipata[emoji1787][emoji1787][emoji1787], ndo maana unaona hata jiran zako Zimbabwe hawafi ila wakipatapata.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna muda Iran ilikuwa kwenye hali mbaya kama 1984, hivi vikwazo vya Trump kwa akili yako ndogo unaona ni vikwazo? Kasome au tazama documentary
 
Umeona la madawa tu! Ni zaidi ya hapo, lengo sio kuwaua bali wapate tabu sana, kufa hawafi ila Cha moto wanakiona.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mashia wa tandahimba mna tabu sana, kama vipi US awatandike vikwazo na nyie mashia wa bongo hata vya kutotumia window, Android na iOS ndo itakuwa bye bye mashia kupost humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
We una akili fupi kweli kweli, unajua Steve Jobs baba yake aliitwa Abdulfattah na alikuwa ni mtu wa Syria Homs, alikuwa ni muislamu tena kwenye familia yenye dini, alikuwa immigrant, familia ya mama wa Steve ilikataa asiolewe na Abdulfattah, hivyo mama yake akam adopt kwa familia nyingine ambao walimlea kama mwanao, kwa hio apple imeanzishwa na mwarabu tena wa Syria, unajisikiaje hapo? akili zenu fupi huwa mnawaza ni wazungu na wayahudi. sio hapo tu teknolojia ya marekani, immigrant ndio wameifanya US vile,

Android,apple na window wanafanya biashara, hawapo pale kuwekea watu vikwazo kama akili zako fupi zinavyowaza.

Kuna linux ina kila kitu, nashindwaje ku post?
 
Vikwazo wakichoka wataviondoa wenyewe hakuna mtu anaejitambua apelekeshwe na US
Umeona la madawa tu! Ni zaidi ya hapo, lengo sio kuwaua bali wapate tabu sana, kufa hawafi ila Cha moto wanakiona.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mashia wa tandahimba mna tabu sana, kama vipi US awatandike vikwazo na nyie mashia wa bongo hata vya kutotumia window, Android na iOS ndo itakuwa bye bye mashia kupost humu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using My COVID-19
 
Walivitoa baada ya Iran kunyooshwa na vile vikwazo na kusign JCPOA.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimekuuliza swali China na Urusi wanabifu gan na iran? Badala ya kujibu swali wewe unauliza masuala ya utakatifu[emoji44][emoji44][emoji44] jifunze kujibu swali kwanza kisha kama unaswali ndo uulize. Haya Russia na China wanabifu gani na Iran?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Russia na China hawana bifu na Iran.


Unaweza kunijibu kwa nini Russia na Iran wanaungana kuizuia marekani dhidi ya ushawishi wake Middle East na Asia ya kati?

Kwa nini Iran na Syria wana mlinda Assad pale Syria,kwa umoja wao na juhudi Assad hana budi kusema asante kwa Iran na Russia kumlinda.

Unaweza jibu kwa nini Russia alimpa Iran s-300 na bado anapata silaha toka Russia?


Ukijiuliza kwa nini Israel ilitaka uongozi wa Assad uanguke na Russia ana mtetea , utajua kwenye maslahi hata Israel hana ushawishi kwa Russia.
Israel wanalima machungwa na mapera jangwani😂, wakati Iran ana mafuta na gesi, unafikiri nini hapo?

Hata China na Russia itapenda kuwa na marekani kwenye maslahi means wote wafaidike na kutumiana, but USA ikifanya wrong move, Russia, Iran na China wataungana kuresist against USA, things are too complicated.

Trump alitoka kwa kuona Obama aliwapa uhuru sana na itapelekea wao ku develop nuclear war heads, Russia na China wapo side ya Iran.
 
We una akili fupi kweli kweli, unajua Steve Jobs baba yake aliitwa Abdulfattah na alikuwa ni mtu wa Syria Homs, alikuwa ni muislamu tena kwenye familia yenye dini, alikuwa immigrant, familia ya mama wa Steve ilikataa asiolewe na Abdulfattah, hivyo mama yake akam adopt kwa familia nyingine ambao walimlea kama mwanao, kwa hio apple imeanzishwa na mwarabu tena wa Syria, unajisikiaje hapo? akili zenu fupi huwa mnawaza ni wazungu na wayahudi. sio hapo tu teknolojia ya marekani, immigrant ndio wameifanya US vile,

Android,apple na window wanafanya biashara, hawapo pale kuwekea watu vikwazo kama akili zako fupi zinavyowaza.

Kuna linux ina kila kitu, nashindwaje ku post?
'Steve Jobs alikuwa shia!' yalisikika mashia yakijimwambafy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sipo hapa kuzungumzia ushia,rc au usabato, kama umeshindwa kuteremsha nondo kaa kimya.[emoji850]

Sipendagi midahalo ya dini.Thats it.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unasema baba wa Steve job alikuwa muislam hiyo dini yake inahusu nini hapa?! [emoji23][emoji23][emoji23] Unaleta udini afu unajifanya huzungumzi madhehebu!
Hata sisi tunajua apple Ni ya mashia na wala sio ya wamarekani bali Ni yawasyria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Russia na China hawana bifu na Iran.


Unaweza kunijibu kwa nini Russia na Iran wanaungana kuizuia marekani dhidi ya ushawishi wake Middle East na Asia ya kati?

Kwa nini Iran na Syria wana mlinda Assad pale Syria,kwa umoja wao na juhudi Assad hana budi kusema asante kwa Iran na Russia kumlinda.

Unaweza jibu kwa nini Russia alimpa Iran s-300 na bado anapata silaha toka Russia?


Ukijiuliza kwa nini Israel ilitaka uongozi wa Assad uanguke na Russia ana mtetea , utajua kwenye maslahi hata Israel hana ushawishi kwa Russia.
Israel wanalima machungwa na mapera jangwani[emoji23], wakati Iran ana mafuta na gesi, unafikiri nini hapo?

Hata China na Russia itapenda kuwa na marekani kwenye maslahi means wote wafaidike na kutumiana, but USA ikifanya wrong move, Russia, Iran na China wataungana kuresist against USA, things are too complicated.

Trump alitoka kwa kuona Obama aliwapa uhuru sana na itapelekea wao ku develop nuclear war heads, Russia na China wapo side ya Iran.
Marekani inaushawishi mkubwa sana pale asia, chukua Japan, S. Korea, Israel, Saudia , Qatar, India, Taiwan, Hong Kong, nk. Sasa huo ushawishi unaosema unadhuiliwa ni Upi?!

Pale Syria Russia na Iran, uturuki na US wameenda kupiga dili zao hawajaenda kwa ajili ya mtu.

Iran hajapewa S 300 bali kainunua hata wewe unaweza kuinunua ukaweka nyumban kwako.

US ni muhimu kwa China kuliko Iran wala nchi yoyote ile duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani inaushawishi mkubwa sana pale asia, chukua Japan, S. Korea, Israel, Saudia , Qatar, India, Taiwan, Hong Kong, nk. Sasa huo ushawishi unaosema unadhuiliwa ni Upi?!

Pale Syria Russia na Iran, uturuki na US wameenda kupiga dili zao hawajaenda kwa ajili ya mtu.

Iran hajapewa S 300 bali kainunua hata wewe unaweza kuinunua ukaweka nyumban kwako.

US ni muhimu kwa China kuliko Iran wala nchi yoyote ile duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nazungumzia Asia ya kati au Central Asia au Mddle Asia, mbona huelewi? Japan na IndiA Zimetokea wapi? au hujui central Asia? kuna nchi zifuatazo.
  • 23px-Flag_of_Kazakhstan.svg.png
    Kazakhstan
  • 23px-Flag_of_Kyrgyzstan.svg.png
    Kyrgyzstan
  • 23px-Flag_of_Tajikistan.svg.png
    Tajikistan
  • 23px-Flag_of_Turkmenistan.svg.png
    Turkmenistan
  • 23px-Flag_of_Uzbekistan.svg.png
    Uzbekistan
Nilisema kwa sababu wangekuwa na ugomvi Russia asingefanya biashara ya silaha na Iran sawa na US kuuza f35 kwa Russia , ndio maana wamekataa kuuza f35 kwa Turkey kwa kisa cha cha kufanya biashara ya s-400, sio kwamba sijui hata India ana s300.

China ni muhimu kwa US kwenye business, ila US akizingua, anazinguliwa kama kawaida, ambacho hujui nilitoa list ya kampuni za kimarekani zinazozalisha bidhaa zake China ni nyingi sana, unaweza kueleza kwa nini wasifanye investment India, Brazil au Mexico?
Ukipata jibu ndio ujue China ni nani kwa US.
 
Back
Top Bottom