Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama hawez kutengeneza wanamuekea vikwazo ili kukigundua kitugani ambacho hawajakigundua
Wewe ndio unaweza kua hujitambui miongoni mwahao ulowataja ila sidhanii kama kuna asie jitambua katika hao ulowataja pole sana kijana [emoji16][emoji23][emoji56][emoji14][emoji12][emoji12]
Sent using My COVID-19
Navikwazo vya UN Kama haviwekwi kwabifu viliekwa kwa nn naviliondolewa kwasababu gani ?!Hawezi kutengeneza na huo uwezo hana ila nia anayo, kwa akili yako vikwazo vya UN vinawekwa kwa bifu! Na nan kasema china wanabifu na North Korea?! Vikwazo vinapigwa kwa hoja na ndo maana China walipigia vikwazo dhidi ya ndugu zao Korea kaskazini. Na kama unajidanganya urusi na Korea Kuna urafaki au undugu hiyo imekula kwako kama inavyokula kwa ccm inavyojidanganyaga wachina ni ndugu zetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzungu ndugu yake ni mzungu na lao ni moja, muarab kwa muarab, muafrika kwa muafrika, macho madogo kwa macho madogo, nk. Ingawa miafrika, miarab, mimacho madogo,nk haijitambui. Russia kwa Iran ni kwa maslahi tu ni kama ilivyo kwa US kwa saudia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio unaweza kua hujitambui miongoni mwahao ulowataja ila sidhanii kama kuna asie jitambua katika hao ulowataja pole sana kijana [emoji16][emoji23][emoji56][emoji14][emoji12][emoji12]
Sent using My COVID-19