BRAZA CHOGO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 761
- 1,984
Kanisa moja takatifu la mitumeLabda kama Vatican wamemruhusu. Vinginevyoooo.............................🤭🤫
Cc: johnthebaptist
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisa moja takatifu la mitumeLabda kama Vatican wamemruhusu. Vinginevyoooo.............................🤭🤫
Sijaelewa mkuu, yani kama ambavyo sahizi CCM inavyonyeshewa vidole kuhusu mauaji na kupotea kwa baadhi ya wanachama wa CHADEMA. Ambazo hizi tuhuma zinawachafua hadi kimaitaifa halafu wajue Mbowe au Lissu wamehusika na hayo mauaji wawaite wawapongeze?Itatuliwe vipi na wakati waliomuua ni mablack wenzie akina Louis Farrakhan na Elijah Muhammad..!!
Yaani kama vile Lissu leo hii achalishwe na akina Mbowe pamoja na Yerico Nyerere, wewe unafikiri serikali ya CCM itajisumbua kudeal na wauaji sana sana itawapongeza tu wauwaji na kupuuza kesi.
Aangalie wasijekumuua yeye piaHuyu kuna watu kwenye system ana vita nao sasa anataka kuwaharibu na kuwavuruga kama walivyotaka kumfanyia yeye....jamaa analipiza kisasi
KwakweliKuna watu wataumbuka. Maana makaburi ya aina hiyo huwa yanaficha siri nyingi za nchi.
Kuna mziki huyu ujamaa anauwasha sasa jinsi ya kuucheza ndio shida maana midundo yake haijulikani, hata USA wenyewe hawajui wachezeje hiyo midundo. Ngoja sisi watazamaji watembeza bakuli tuangalie tu.Rais mpya wa Marekani, Donald Trump anapanga kuagiza idara za usalama za Marekani kuweka wazi taarifa zote za siri (Classified Documents) kuhusiana na mauaji ya JFK na RFK yawekwe wazi kwa umma ili umma uweze kujua nini hasa kilijiri.
Ni takribani miongo sita imepita tangu ndugu hao wauwawe kwa nyakati tofauti.
John F. Kennedy aliuwawa alipokuwa Rais kwa kupigwa risasi.
Mdogo wake, Robert F. Kennedy aliuwawa apipokuwa kwenye kuomba ateuliwe kugombea Urais.
Inaonekana walioumuua JFK ndio hao hao walimuua RFK.
==================================================
United States President Donald Trump has ordered the declassification and release of all remaining files related to the assassination of former US President John F Kennedy, the focus of popular conspiracy theories for six decades.
Trump’s executive order signed on Thursday also calls for the release of the last remaining records on the assassinations of Robert F Kennedy, JFK’s younger brother, and the civil rights icon Martin Luther King Jr.
“And everything will be revealed.”
Under Trump’s order, the director of national intelligence must present a plan within 15 days for the “full and complete release” of files related to JFK’s assassination and a plan within 45 days for the release of documents on the other two assassinations.
The circumstances of JFK’s assassination in Dallas, Texas, on November 22, 1963, have transfixed Americans for decades, with surveys showing widespread doubt about official explanations of the killing.
In a 2023 Gallup poll, 65 percent of Americans said they did not believe the Warren Commission’s finding that Lee Harvey Oswald, a US Marine veteran arrested over JFK’s death, acted alone in killing the president.
Twenty percent of respondents said they believed Oswald conspired with the US government, while 16 percent said they thought that he worked with the CIA.
Robert F Kennedy Jr, Trump’s nominee for health secretary and the son of Robert F Kennedy, claimed in a 2023 interview that there was “overwhelming” evidence of CIA involvement in his uncle’s killing and “very convincing” but “circumstantial” evidence that the intelligence agency was involved in his father’s death.
In 1992, the US Congress passed a law mandating that outstanding files related to the JFK assassination be released within 25 years unless the president determined that the harm to national security outweighed the public interest in disclosure.
Trump ordered the release of more than 2,800 documents upon the arrival of the 2017 deadline but bowed to pressure from the CIA and FBI to withhold thousands of more files pending review.
The administration of former US President Joe Biden ordered the release of approximately 17,000 more documents, leaving fewer than 4,700 withheld in part or in full.
In total, more than 99 percent of some 320,000 documents reviewed since the passage of the 1992 law have been released, according to The National Archives.
The assassinations of King and Robert F Kennedy, who were killed months apart, have also been the subject of conspiracy theories for decades.
King, whose “I Have a Dream” speech became a defining moment of Black Americans’ struggle for equality, was fatally shot outside a motel in Memphis, Tennessee, on April 4, 1968.
James Earl Ray, a convicted robber, pleaded guilty to the crime and was sentenced to 99 years in prison. He later recanted his confession and maintained his innocence until his death in 1998.
Kennedy was shot dead at a Los Angeles hotel on June 5, 1968, shortly after wrapping up a speech to mark his victory in California’s Democratic presidential primary.
Palestinian Jordanian Sirhan Sirhan was handed the death penalty for Kennedy’s murder, a sentence that was later commuted to life in prison.
Hapo sasa kwanini? aliwafanya nini kibaya mpaka waka muua?Wayahudi walimua.
Waliohusika na mauaji ya kenbedy walishakufa au ni wazee miaka 90+Huyu kuna watu kwenye system ana vita nao sasa anataka kuwaharibu na kuwavuruga kama walivyotaka kumfanyia yeye....jamaa analipiza kisasi
Hata ya Magufuli itakuja kuwa released tu siku moja. Hata miaka 100 ijayo ipo siku. Magufuli anatakiwa kuwekewa siku yake ya kumbu kumbu. Magufuli ni alama ya uzalendo kwa taifa.Rais mpya wa Marekani, Donald Trump anapanga kuagiza idara za usalama za Marekani kuweka wazi taarifa zote za siri (Classified Documents) kuhusiana na mauaji ya JFK na RFK yawekwe wazi kwa umma ili umma uweze kujua nini hasa kilijiri.
Ni takribani miongo sita imepita tangu ndugu hao wauwawe kwa nyakati tofauti.
John F. Kennedy aliuwawa alipokuwa Rais kwa kupigwa risasi.
Mdogo wake, Robert F. Kennedy aliuwawa apipokuwa kwenye kuomba ateuliwe kugombea Urais.
Inaonekana walioumuua JFK ndio hao hao walimuua RFK.
==================================================
United States President Donald Trump has ordered the declassification and release of all remaining files related to the assassination of former US President John F Kennedy, the focus of popular conspiracy theories for six decades.
Trump’s executive order signed on Thursday also calls for the release of the last remaining records on the assassinations of Robert F Kennedy, JFK’s younger brother, and the civil rights icon Martin Luther King Jr.
“And everything will be revealed.”
Under Trump’s order, the director of national intelligence must present a plan within 15 days for the “full and complete release” of files related to JFK’s assassination and a plan within 45 days for the release of documents on the other two assassinations.
The circumstances of JFK’s assassination in Dallas, Texas, on November 22, 1963, have transfixed Americans for decades, with surveys showing widespread doubt about official explanations of the killing.
In a 2023 Gallup poll, 65 percent of Americans said they did not believe the Warren Commission’s finding that Lee Harvey Oswald, a US Marine veteran arrested over JFK’s death, acted alone in killing the president.
Twenty percent of respondents said they believed Oswald conspired with the US government, while 16 percent said they thought that he worked with the CIA.
Robert F Kennedy Jr, Trump’s nominee for health secretary and the son of Robert F Kennedy, claimed in a 2023 interview that there was “overwhelming” evidence of CIA involvement in his uncle’s killing and “very convincing” but “circumstantial” evidence that the intelligence agency was involved in his father’s death.
In 1992, the US Congress passed a law mandating that outstanding files related to the JFK assassination be released within 25 years unless the president determined that the harm to national security outweighed the public interest in disclosure.
Trump ordered the release of more than 2,800 documents upon the arrival of the 2017 deadline but bowed to pressure from the CIA and FBI to withhold thousands of more files pending review.
The administration of former US President Joe Biden ordered the release of approximately 17,000 more documents, leaving fewer than 4,700 withheld in part or in full.
In total, more than 99 percent of some 320,000 documents reviewed since the passage of the 1992 law have been released, according to The National Archives.
The assassinations of King and Robert F Kennedy, who were killed months apart, have also been the subject of conspiracy theories for decades.
King, whose “I Have a Dream” speech became a defining moment of Black Americans’ struggle for equality, was fatally shot outside a motel in Memphis, Tennessee, on April 4, 1968.
James Earl Ray, a convicted robber, pleaded guilty to the crime and was sentenced to 99 years in prison. He later recanted his confession and maintained his innocence until his death in 1998.
Kennedy was shot dead at a Los Angeles hotel on June 5, 1968, shortly after wrapping up a speech to mark his victory in California’s Democratic presidential primary.
Palestinian Jordanian Sirhan Sirhan was handed the death penalty for Kennedy’s murder, a sentence that was later commuted to life in prison.
Walete Tu ... Trump ana Moto sahivi Kila siku ni maagizo tuRais mpya wa Marekani, Donald Trump anapanga kuagiza idara za usalama za Marekani kuweka wazi taarifa zote za siri (Classified Documents) kuhusiana na mauaji ya JFK na RFK yawekwe wazi kwa umma ili umma uweze kujua nini hasa kilijiri.
Ni takribani miongo sita imepita tangu ndugu hao wauwawe kwa nyakati tofauti.
John F. Kennedy aliuwawa alipokuwa Rais kwa kupigwa risasi.
Mdogo wake, Robert F. Kennedy aliuwawa apipokuwa kwenye kuomba ateuliwe kugombea Urais.
Inaonekana walioumuua JFK ndio hao hao walimuua RFK.
==================================================
United States President Donald Trump has ordered the declassification and release of all remaining files related to the assassination of former US President John F Kennedy, the focus of popular conspiracy theories for six decades.
Trump’s executive order signed on Thursday also calls for the release of the last remaining records on the assassinations of Robert F Kennedy, JFK’s younger brother, and the civil rights icon Martin Luther King Jr.
“And everything will be revealed.”
Under Trump’s order, the director of national intelligence must present a plan within 15 days for the “full and complete release” of files related to JFK’s assassination and a plan within 45 days for the release of documents on the other two assassinations.
The circumstances of JFK’s assassination in Dallas, Texas, on November 22, 1963, have transfixed Americans for decades, with surveys showing widespread doubt about official explanations of the killing.
In a 2023 Gallup poll, 65 percent of Americans said they did not believe the Warren Commission’s finding that Lee Harvey Oswald, a US Marine veteran arrested over JFK’s death, acted alone in killing the president.
Twenty percent of respondents said they believed Oswald conspired with the US government, while 16 percent said they thought that he worked with the CIA.
Robert F Kennedy Jr, Trump’s nominee for health secretary and the son of Robert F Kennedy, claimed in a 2023 interview that there was “overwhelming” evidence of CIA involvement in his uncle’s killing and “very convincing” but “circumstantial” evidence that the intelligence agency was involved in his father’s death.
In 1992, the US Congress passed a law mandating that outstanding files related to the JFK assassination be released within 25 years unless the president determined that the harm to national security outweighed the public interest in disclosure.
Trump ordered the release of more than 2,800 documents upon the arrival of the 2017 deadline but bowed to pressure from the CIA and FBI to withhold thousands of more files pending review.
The administration of former US President Joe Biden ordered the release of approximately 17,000 more documents, leaving fewer than 4,700 withheld in part or in full.
In total, more than 99 percent of some 320,000 documents reviewed since the passage of the 1992 law have been released, according to The National Archives.
The assassinations of King and Robert F Kennedy, who were killed months apart, have also been the subject of conspiracy theories for decades.
King, whose “I Have a Dream” speech became a defining moment of Black Americans’ struggle for equality, was fatally shot outside a motel in Memphis, Tennessee, on April 4, 1968.
James Earl Ray, a convicted robber, pleaded guilty to the crime and was sentenced to 99 years in prison. He later recanted his confession and maintained his innocence until his death in 1998.
Kennedy was shot dead at a Los Angeles hotel on June 5, 1968, shortly after wrapping up a speech to mark his victory in California’s Democratic presidential primary.
Palestinian Jordanian Sirhan Sirhan was handed the death penalty for Kennedy’s murder, a sentence that was later commuted to life in prison.
Cha ajabu hataki mafaili ya siri ya Jeffrey Epstein yatolewe hadharani.Rais mpya wa Marekani, Donald Trump anapanga kuagiza idara za usalama za Marekani kuweka wazi taarifa zote za siri (Classified Documents) kuhusiana na mauaji ya JFK na RFK yawekwe wazi kwa umma ili umma uweze kujua nini hasa kilijiri.
Ni takribani miongo sita imepita tangu ndugu hao wauwawe kwa nyakati tofauti.
John F. Kennedy aliuwawa alipokuwa Rais kwa kupigwa risasi.
Mdogo wake, Robert F. Kennedy aliuwawa apipokuwa kwenye kuomba ateuliwe kugombea Urais.
Inaonekana walioumuua JFK ndio hao hao walimuua RFK.
==================================================
United States President Donald Trump has ordered the declassification and release of all remaining files related to the assassination of former US President John F Kennedy, the focus of popular conspiracy theories for six decades.
Trump’s executive order signed on Thursday also calls for the release of the last remaining records on the assassinations of Robert F Kennedy, JFK’s younger brother, and the civil rights icon Martin Luther King Jr.
“And everything will be revealed.”
Under Trump’s order, the director of national intelligence must present a plan within 15 days for the “full and complete release” of files related to JFK’s assassination and a plan within 45 days for the release of documents on the other two assassinations.
The circumstances of JFK’s assassination in Dallas, Texas, on November 22, 1963, have transfixed Americans for decades, with surveys showing widespread doubt about official explanations of the killing.
In a 2023 Gallup poll, 65 percent of Americans said they did not believe the Warren Commission’s finding that Lee Harvey Oswald, a US Marine veteran arrested over JFK’s death, acted alone in killing the president.
Twenty percent of respondents said they believed Oswald conspired with the US government, while 16 percent said they thought that he worked with the CIA.
Robert F Kennedy Jr, Trump’s nominee for health secretary and the son of Robert F Kennedy, claimed in a 2023 interview that there was “overwhelming” evidence of CIA involvement in his uncle’s killing and “very convincing” but “circumstantial” evidence that the intelligence agency was involved in his father’s death.
In 1992, the US Congress passed a law mandating that outstanding files related to the JFK assassination be released within 25 years unless the president determined that the harm to national security outweighed the public interest in disclosure.
Trump ordered the release of more than 2,800 documents upon the arrival of the 2017 deadline but bowed to pressure from the CIA and FBI to withhold thousands of more files pending review.
The administration of former US President Joe Biden ordered the release of approximately 17,000 more documents, leaving fewer than 4,700 withheld in part or in full.
In total, more than 99 percent of some 320,000 documents reviewed since the passage of the 1992 law have been released, according to The National Archives.
The assassinations of King and Robert F Kennedy, who were killed months apart, have also been the subject of conspiracy theories for decades.
King, whose “I Have a Dream” speech became a defining moment of Black Americans’ struggle for equality, was fatally shot outside a motel in Memphis, Tennessee, on April 4, 1968.
James Earl Ray, a convicted robber, pleaded guilty to the crime and was sentenced to 99 years in prison. He later recanted his confession and maintained his innocence until his death in 1998.
Kennedy was shot dead at a Los Angeles hotel on June 5, 1968, shortly after wrapping up a speech to mark his victory in California’s Democratic presidential primary.
Palestinian Jordanian Sirhan Sirhan was handed the death penalty for Kennedy’s murder, a sentence that was later commuted to life in prison.
Watu waliokuwepo enzi za Kennedy kuuwawa wengi watakuwa wameshakyufa na walio hai mpaka sasa hivi watakuwa na miaka zaidi ya 90 wamejistaafia huko na dementia zao hata hawajui kinachoendelea duniani.Huyu kuna watu kwenye system ana vita nao sasa anataka kuwaharibu na kuwavuruga kama walivyotaka kumfanyia yeye....jamaa analipiza kisasi
Tuliza akili soma vizuri uelewa na usikurupuke tu kujibu comments ambazo huna uelewa nazo halafu unahitimisha Kwa interpretation zako unazotaka wewe.Sijaelewa mkuu, yani kama ambavyo sahizi CCM inavyonyeshewa vidole kuhusu mauaji na kupotea kwa baadhi ya wanachama wa CHADEMA. Ambazo hizi tuhuma zinawachafua hadi kimaitaifa halafu wajue Mbowe au Lissu wamehusika na hayo mauaji wawaite wawapongeze?
Dude are you for really?
Mwaka 1995 Mmoja wa watoto wa Malcolm X anayeitwa Quibal Shabiz alikamatwa na FBI Kwa kosa la kupanga mauaji ya Louis Farrakhan, ambayo haya kufanikiwa.Kuna utata lakini
Familia yake inadai CIA, FBI na NYPD walihusika
Uko sahihi Kwa kiasi fulani na upande mwingine hauko sahihi, serikali ya US ilimpa ulinzi wa police baada ya yeye kuwa ameshajitoa kwenye NOI na y kuonesha Hali ya wasi wasi dhidi ya wanachama wa NOI.Malcom x alikua na ulinzi wa askari polisi 16 nyumbani kwake,siku ya kuuawa walibakizwa wawili,walinzi wake binafsi wakadakwa na polisi,pale ukumbini audobon ballroom alipouawa alipaswa kuwepo mchungaji kama mmoja wa wazungumzaji,mchungaji akaghairi kuja,mzungumzaji mwingine naye alighairi,waliofyatua risasi watatu walipigwa risasi na mlinzi wa malcom,wakadakwa wawili,mmoja aliyepigwa tumboni akapakiwa na polisi garini na kutokomea mbali wakati ng'ambo palikua na hospital, hospital hiyo haikuja kumchukua Malcom wslipoitwa mpaka muda ulipopita sana, malcolm aliwekewa sumu kwenye chakula misri akila kwenye meza ya rais...bado unaamini aliuawa na NOI(NATION OF ISLAM) akina farakhan!?..NOI hawakua na silaha, angalia walau 'God father of harlem' upate mwanga, malcolm mwenyewe alijua muda wowote atauawa, 'am a walking dead man'
Hapo sasa yeye shida yake afumue anacho kiwazia yeye halafu mambo mengine yaendeleeWaliohusika na mauaji ya kenbedy walishakufa au ni wazee miaka 90+
Unabisha nini wewe?..nani alimuwekea sumu kule misri?.. FBI/cia walimfuatia nini kule makkah?..alipozuiliwa kuingia ufaransa,akasema anajua adui zake ni serikali ya USA,sababu mojawapo ya kuuawa ni alliance yake na africa na baadhi ya viongozi wa africa waliona 'kwa nini tusiwasaidie waafrika wenzetu huko marekani kwa kuwapa silaha'?..waliomuua malcolm ndiyo waliomuua martin luther king jr, malcolm alishaanza kujenga ushirikiano na mlk jrUko sahihi Kwa kiasi fulani na upande mwingine hauko sahihi, serikali ya US ilimpa ulinzi wa police baada ya yeye kuwa ameshajitoa kwenye NOI na y kuonesha Hali ya wasi wasi dhidi ya wanachama wa NOI.
Licha ya yeye kupewa walinzi lakini Bado hakuwa na amani, ndio maana alilala na bunduki chini ya mto, maana aliona kama ameongeza idadi ya maadui na aliwaogopa zaidi viongozi wa NOI maana aliondoka akiwatuhumu kwamba wanatumiwa na Klu Klux klan baada ya wao kukataa kufanya maandamano kwenye zile movement za civil rights.
Familia ya Malcolm X yenyewe iliwahi kumshataki Louis Farrakhan Kwa kauli zake tata zilizojaa chuki kuhusu Malcolm X kwamba Malcolm Hana umri mrefu wa kuishi.
Na siku ya tukio la mauaji yake miongoni mwa watu waliokamatwa ni Muhammad Abdul Aziz na Kahil Salim ambao walikuwa ni wanachama kindaki ndaki wa nation of Islam.
Na Kingine kama kweli serikali ya marekani ndio ingekuwa inahusika na mpango mzima, basi binti yake Quibal Shabiz asingeangaika na kulipiza visasi Kwa kutaka kuwaua akina Louis Farrakhan.
Ninaongea ninachokijua sibishi tu ilimradi kubisha.. wakati wewe unauliza kuwa CIA walimfuata Nini kule Makkah na kutumia kama ground ya kutuaminisha wao ndio waliomuua Malcolm, na Mimi pia nikuulize Kwa hiyo binti yake Qubilah Shabaz alikuwa ni kichaa kwenda kuwalipa hitmen ili wamuue Louis Farrakhan ilihali akijua kabisa waliohusika na mauaji ya baba yake ni CIA/serikali?Unabisha nini wewe?..nani alimuwekea sumu kule misri?.. FBI/cia walimfuatia nini kule makkah?..alipozuiliwa kuingia ufaransa,akasema anajua adui zake ni serikali ya USA,sababu mojawapo ya kuuawa ni alliance yake na africa na baadhi ya viongozi wa africa waliona 'kwa nini tusiwasaidie waafrika wenzetu huko marekani kwa kuwapa silaha'?..waliomuua malcolm ndiyo waliomuua martin luther king jr, malcolm alishaanza kujenga ushirikiano na mlk jr