Kumekucha: Yanga wamjibu Feisal Salum (Fei Toto)

Hivi kuna tofauti ya maelezo na barua? Saini na muhuri viko wapi?
 
Ngassa alipotea sababu alileta dharau.

Feisal kafata pesa maana anakuwa na uhakika wa mshahara wa miaka 3

Mpira ni maisha mafupi sana

Feisal keshawaaga tayari

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app

Yes ni vizuri kucheza mpira kwa malengo na kikubwa zaidi pesa kwa sababu mpira wa sasa si wa ridhaa...

Lakini ninaona kama kuna step Feisal kaikosea, hapo alipoweka hadharani mustakabali wake kabla ya tamko la klabu yake iliyompa jina...

Hizo timu za Kariakoo zina fitna sana...
 

Ndo kanunua sasa huo mkataba wenu wa kimaskini!!!....hamuelewe nini???au mmevurugwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hamna hela vinyesi fc..na wanamtaka na job sjui itakuaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ahahahahah!! Wakati mlikuwa mnang'ang'ania kuwa Simba kuna mgogoro kumbe kwenu ndio mona haikai, mbili haikai!!! Ahahahahah!!!!
 
si walisema mshahara ni siri ya mwajiriwa?? sasa watulie ubwabwa umemwagwa kuku wanadonoa kwa kiwango chao sasa
 
Mwigulu aongee na dogo, atapotea kama walivyopotea kina Ngasa na wengine waliochezea sharubu ya timu kongwe Simba na Yanga...

Hizo timu zipo radhi hata zikuroge lakini usiziletee 'zereu'

Ww ungeacha milion 16? Ubaki kwenye milion 4
 
Kama unayoyasema ni kweli, kuna shida na club zetu
 
Suala sio kuacha hela bali ni namna ya kuondoka kwa mwajiri aliyekupa platform...

Platform kapata JKU, na ameondoka Kwa kuaga vizuri, hata usingeelewa ungeambiwa Acha 16 chukua 4
 
Sasa mashabiki mnamlipa nini Fei nyinyi mbn mnapenda kujitia umuhimu kwenye maisha ya watu au unafikiri nchi hii ina madhabiki wa Yanga tu
 
Kama kweli analipwa mshahara wa 4m ni bora tu aondoke, Morrison hawezi kulipwa mshahara mara 4 ya Fei, huu ni uonevu uliopindukia! Mpira ni kazi kama zilivyo kazi nyingine ipo siku nguvu zitamuishia Fei atajivunia nini kama sio maslahi mazuri atakayatengeneza sasa! Life is now Fei fuata taratibu nenda kavute mshahara mzuri au ongea na mwajiri wako Yanga akuongezee mshahara wanaotaka kukulipa Azam period!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…