Kumekucha: Yanga wamjibu Feisal Salum (Fei Toto)

Kumekucha: Yanga wamjibu Feisal Salum (Fei Toto)

Hata Azam nae aende taratibu.. simba na yanga ni zaidi ya tuzijuavyo.

Kwa milion 16? Hata kama career yake itakufa, yanga wasingeweza kumpa! Akilipwa Kwa mwaka Tu Yuko vizuri
 
Mtu keshawaaga mijitu bado imekaza mishipa na fuvu kumkumbatia si wamuache akatafute maisha pengine.
 
Nyie wajinga wajinga msioelewa kitu mnatusumbua sana, wakati fei toto anasaini mkataba huo wa kulipwa m.4 walikuwa wamemwekea bunduki kichwani? Kosa ni la yanga au la wasimamizi wake waĺishindwa kumpa thamani inayotakiwa? Leo hii mnarukia mambo kwenye vitu msivyovielewa, Nini maana ya makubaliano ya kimkataba,
Huo ndio ukweli Mkuu. Kipindi anaingia mkataba 4m kwake ilikuwa kubwa sana hata mama yake aliridhia. Tatizo wachezaji wa bongo wanaangalia karibu na sio mbali.
 
Back
Top Bottom