hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Sahihi, nadhani hakupata washauri wazuri. Hizi timu mbili za kariakoo ni za kwenda nazo taratibu. Yetu macho.
Na ndio timu zenye ela, na wao wanacheza kutafuta ela,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi, nadhani hakupata washauri wazuri. Hizi timu mbili za kariakoo ni za kwenda nazo taratibu. Yetu macho.
Hata Azam nae aende taratibu.. simba na yanga ni zaidi ya tuzijuavyo.Na ndio timu zenye ela, na wao wanacheza kutafuta ela,
Hata Azam nae aende taratibu.. simba na yanga ni zaidi ya tuzijuavyo.
Huo ndio ukweli Mkuu. Kipindi anaingia mkataba 4m kwake ilikuwa kubwa sana hata mama yake aliridhia. Tatizo wachezaji wa bongo wanaangalia karibu na sio mbali.Nyie wajinga wajinga msioelewa kitu mnatusumbua sana, wakati fei toto anasaini mkataba huo wa kulipwa m.4 walikuwa wamemwekea bunduki kichwani? Kosa ni la yanga au la wasimamizi wake waĺishindwa kumpa thamani inayotakiwa? Leo hii mnarukia mambo kwenye vitu msivyovielewa, Nini maana ya makubaliano ya kimkataba,