Nyie wajinga wajinga msioelewa kitu mnatusumbua sana, wakati fei toto anasaini mkataba huo wa kulipwa m.4 walikuwa wamemwekea bunduki kichwani? Kosa ni la yanga au la wasimamizi wake waĺishindwa kumpa thamani inayotakiwa? Leo hii mnarukia mambo kwenye vitu msivyovielewa, Nini maana ya makubaliano ya kimkataba,