Wasira anaekokotwa kama plau?Abdalllah Bulembo, Steven Wassira na Emanuel Nchimbi hawafai kabisa.
Bashiru akiwa makamu, kutakuwa na mabadiliko makubwa sna ya kiutendaji serikalini, na pia, nafasi ya Ukatibu mkuu Polepole angefaa sana.
Nape ni mbumbumbu mwingine kama Nchimbi na January Makamba.
yeah!Forest Hill ya Morogoro?
Huu mzoga mnauweka mtandaoni ili iweje?
CCM sio chama cha siasa na wala hakina uwezo wa kupambana kwenye jukwaa la kisiasa.... Kusema ukweli, kama ccm haitaacha siasq za maji taka, hata wamlete kiumbe gani, hawana ushawizi hata kwa wanyama pori, sembuse watanzania.Kumekuwepo na taarifa kuhusiana na mabadiliko ya uongozi ndani ya CCM hasa katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara na Katibu Mkuu.kuna fununu kuwa Mzee Kinana ameshaandika barua ya kuomba kupumzika na kwa upande wa Katibu Mkuu inasemekana Mama haridhishwi na utendaji wa katibu mkuu wa sasa Ndg Daniel Chongolo.
Sina uhakika kama taarifa hii ni ya kweli lakini kama mwana CCM nimeandaa uchambuzi huu ili kuangazia ni makada gani wa CCM wanaweza kuwa msaada mkubwa hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji wa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025.
Ni ukweli usiopingika kuwa upinzani umekua hapa nchini na vilevile kuna changamoto nyingi za wananchi hazijashughulikiwa ipasavyo hivyo ni muhimu CCM ikawapata viongozi makini zaidi,wenye uwezo mkubwa zaidi waadilifu na wenye uwezo wa kuunda mfumo imara unaoweza kuisimamia serikali.
MAKAMU MWENYEKITI
WANAOTAJWA NI
Mizengo Pinda
Abdalllah Bulembo
Steven Wassira na
Dr Bashiru Ally Kakurwa.
Anayefaa ni Dr Bashiru Ally Kakurwa
Huyu amewahi kuwa katibu mkuu wa CCM,na alihudumu kwa muda mfupi katika nafasi ya Katibu mkuu kiongozi baada ya kifo cha Kijazi.Huyu ni msomi wa ngazi ya Daktari wa falsafa na kwakuwa ni mtaalamu mbobezi wa sayansi ya siasa anajua vilivyo namna ya kwenda na upepo wa siasa.
Alifanya kazi nzurikama Mwenyekiti wa kamati maalumu iliyopewa kazi na JPM ya kukagua,kubaini na kuchunguza mali za CCM nchi nzima.
Kamati hii ndiyo iliyowaondoa mchwa wote waliokuwa wameatamia mali za Chama na mapato ya CCM yaliongezeka zaidi kutokana na kazi nzuri iliyofanywa na kamati hiyo.
Huyu ndiye mtu sahihi zaidi katika nafasi ya makamu Mwenyekiti wa CCM Bara kwa wakati huu.
Bado umri unamruhusu na ni mtu mwenye ushawishi mkubwa wa kisiasa hapa nchini kutokana na imani ya walio wengi kuwa hana harufu ya ufisadi na track record yake inaonyesha kuwa siyo kiongozi anayetumia nafasi yake kujinufaisha.
Isitoshe ni muumini mzuri wa siasa ya ujamaa na kujitegemea ambayo ndiyo itikadi ya CCM.
Wana CCM wengi wanamkubali na kama atateuliwa katika nafasi hiyo CCM watakuwa wamelamba dume
NAFASI YA KATIBU MKUU
Wanaotajwa ni
Nape Nnauye
Amos Makala
Dr Albert Chalamila na
Dr Emmanuel Nchimbi
Anayefaa ni Dr Emmanuel Nchimbi
Huyu ni miongoni mwa viongozi seniors ndani ya CCM hasa kutokana na kushika nafasi nyeti ndani ya CCM ikiwemo Mwenyekiti wa UVCCM taifa.
UVCCM ya Dr Emmanuel Nchimbi ilikuwa ni UVCCM kwelikweli
Siyo hii ya sasa na sisi wana CCM kindakindaki tuna kamsemo ketu kuwa "Nchimbi aliondoka na UVCCM yake.
Kwhiyo Dr Emmanuel Nchimbi anaijua vyema CCM na hata katika secretariat ya sasa hakuna mtu zaidi yake.
Huyu atakiimarisha Chama zaidi.
Matukio mbalimbali yanayoendelea chini ya kapeti ndani ya Chama yanaonyesha "Chama kimevamiwa"
Baada ya uteuzi wa Mwenezi Paul Christian Makonda ni vyema CCM ikawaleta on board "Viongozi halisi" ili iweze kurudi kwenye njia.
Kwasasa hakuna mtu mwingine anayefaa zaidi ya Dr Emmanuel Nchimbi na kinyume chake ni kuendeleza mzaa.
CCM ya sasa imekuwa dhaifu sana kutokana udhaifu wa baadhi ya wajumbe wa secretariat ya sasa na mtu atakayenyoonya mambo ni Dr Emmanuel Nchimbi.
Sema nguvu ya Wasukuma na Wahutu.Nguvu ya Dk Magufuli ni kubwa sana
Hao wachovu uliotaja ndio wanaenda kushika nafasi??Kumekuwepo na taarifa kuhusiana na mabadiliko ya uongozi ndani ya CCM hasa katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara na Katibu Mkuu.kuna fununu kuwa Mzee Kinana ameshaandika barua ya kuomba kupumzika na kwa upande wa Katibu Mkuu inasemekana Mama haridhishwi na utendaji wa katibu mkuu wa sasa Ndg Daniel Chongolo.
Sina uhakika kama taarifa hii ni ya kweli lakini kama mwana CCM nimeandaa uchambuzi huu ili kuangazia ni makada gani wa CCM wanaweza kuwa msaada mkubwa hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji wa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025.
Ni ukweli usiopingika kuwa upinzani umekua hapa nchini na vilevile kuna changamoto nyingi za wananchi hazijashughulikiwa ipasavyo hivyo ni muhimu CCM ikawapata viongozi makini zaidi,wenye uwezo mkubwa zaidi waadilifu na wenye uwezo wa kuunda mfumo imara unaoweza kuisimamia serikali.
MAKAMU MWENYEKITI
WANAOTAJWA NI
Mizengo Pinda
Abdalllah Bulembo
Steven Wassira na
Dr Bashiru Ally Kakurwa.
Anayefaa ni Dr Bashiru Ally Kakurwa
Huyu amewahi kuwa katibu mkuu wa CCM,na alihudumu kwa muda mfupi katika nafasi ya Katibu mkuu kiongozi baada ya kifo cha Kijazi.Huyu ni msomi wa ngazi ya Daktari wa falsafa na kwakuwa ni mtaalamu mbobezi wa sayansi ya siasa anajua vilivyo namna ya kwenda na upepo wa siasa.
Alifanya kazi nzurikama Mwenyekiti wa kamati maalumu iliyopewa kazi na JPM ya kukagua,kubaini na kuchunguza mali za CCM nchi nzima.
Kamati hii ndiyo iliyowaondoa mchwa wote waliokuwa wameatamia mali za Chama na mapato ya CCM yaliongezeka zaidi kutokana na kazi nzuri iliyofanywa na kamati hiyo.
Huyu ndiye mtu sahihi zaidi katika nafasi ya makamu Mwenyekiti wa CCM Bara kwa wakati huu.
Bado umri unamruhusu na ni mtu mwenye ushawishi mkubwa wa kisiasa hapa nchini kutokana na imani ya walio wengi kuwa hana harufu ya ufisadi na track record yake inaonyesha kuwa siyo kiongozi anayetumia nafasi yake kujinufaisha.
Isitoshe ni muumini mzuri wa siasa ya ujamaa na kujitegemea ambayo ndiyo itikadi ya CCM.
Wana CCM wengi wanamkubali na kama atateuliwa katika nafasi hiyo CCM watakuwa wamelamba dume
NAFASI YA KATIBU MKUU
Wanaotajwa ni
Nape Nnauye
Amos Makala
Dr Albert Chalamila na
Dr Emmanuel Nchimbi
Anayefaa ni Dr Emmanuel Nchimbi
Huyu ni miongoni mwa viongozi seniors ndani ya CCM hasa kutokana na kushika nafasi nyeti ndani ya CCM ikiwemo Mwenyekiti wa UVCCM taifa.
UVCCM ya Dr Emmanuel Nchimbi ilikuwa ni UVCCM kwelikweli
Siyo hii ya sasa na sisi wana CCM kindakindaki tuna kamsemo ketu kuwa "Nchimbi aliondoka na UVCCM yake.
Kwhiyo Dr Emmanuel Nchimbi anaijua vyema CCM na hata katika secretariat ya sasa hakuna mtu zaidi yake.
Huyu atakiimarisha Chama zaidi.
Matukio mbalimbali yanayoendelea chini ya kapeti ndani ya Chama yanaonyesha "Chama kimevamiwa"
Baada ya uteuzi wa Mwenezi Paul Christian Makonda ni vyema CCM ikawaleta on board "Viongozi halisi" ili iweze kurudi kwenye njia.
Kwasasa hakuna mtu mwingine anayefaa zaidi ya Dr Emmanuel Nchimbi na kinyume chake ni kuendeleza mzaa.
CCM ya sasa imekuwa dhaifu sana kutokana udhaifu wa baadhi ya wajumbe wa secretariat ya sasa na mtu atakayenyoonya mambo ni Dr Emmanuel Nchimbi.
Ndio hapo sasa. Mkate ni wale wale wengine wanaishia kupiga makofi na kuvaa kofia.Mtajua wenyewe!kila siku watu haohao hamna watu wapya?
Katibu Mkuu wangempa Sabaya...Kumekuwepo na taarifa kuhusiana na mabadiliko ya uongozi ndani ya CCM hasa katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara na Katibu Mkuu.kuna fununu kuwa Mzee Kinana ameshaandika barua ya kuomba kupumzika na kwa upande wa Katibu Mkuu inasemekana Mama haridhishwi na utendaji wa katibu mkuu wa sasa Ndg Daniel Chongolo.
Sina uhakika kama taarifa hii ni ya kweli lakini kama mwana CCM nimeandaa uchambuzi huu ili kuangazia ni makada gani wa CCM wanaweza kuwa msaada mkubwa hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji wa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025.
Ni ukweli usiopingika kuwa upinzani umekua hapa nchini na vilevile kuna changamoto nyingi za wananchi hazijashughulikiwa ipasavyo hivyo ni muhimu CCM ikawapata viongozi makini zaidi,wenye uwezo mkubwa zaidi waadilifu na wenye uwezo wa kuunda mfumo imara unaoweza kuisimamia serikali.
MAKAMU MWENYEKITI
WANAOTAJWA NI
Mizengo Pinda
Abdalllah Bulembo
Steven Wassira na
Dr Bashiru Ally Kakurwa.
Anayefaa ni Dr Bashiru Ally Kakurwa
Huyu amewahi kuwa katibu mkuu wa CCM,na alihudumu kwa muda mfupi katika nafasi ya Katibu mkuu kiongozi baada ya kifo cha Kijazi.Huyu ni msomi wa ngazi ya Daktari wa falsafa na kwakuwa ni mtaalamu mbobezi wa sayansi ya siasa anajua vilivyo namna ya kwenda na upepo wa siasa.
Alifanya kazi nzurikama Mwenyekiti wa kamati maalumu iliyopewa kazi na JPM ya kukagua,kubaini na kuchunguza mali za CCM nchi nzima.
Kamati hii ndiyo iliyowaondoa mchwa wote waliokuwa wameatamia mali za Chama na mapato ya CCM yaliongezeka zaidi kutokana na kazi nzuri iliyofanywa na kamati hiyo.
Huyu ndiye mtu sahihi zaidi katika nafasi ya makamu Mwenyekiti wa CCM Bara kwa wakati huu.
Bado umri unamruhusu na ni mtu mwenye ushawishi mkubwa wa kisiasa hapa nchini kutokana na imani ya walio wengi kuwa hana harufu ya ufisadi na track record yake inaonyesha kuwa siyo kiongozi anayetumia nafasi yake kujinufaisha.
Isitoshe ni muumini mzuri wa siasa ya ujamaa na kujitegemea ambayo ndiyo itikadi ya CCM.
Wana CCM wengi wanamkubali na kama atateuliwa katika nafasi hiyo CCM watakuwa wamelamba dume
NAFASI YA KATIBU MKUU
Wanaotajwa ni
Nape Nnauye
Amos Makala
Dr Albert Chalamila na
Dr Emmanuel Nchimbi
Anayefaa ni Dr Emmanuel Nchimbi
Huyu ni miongoni mwa viongozi seniors ndani ya CCM hasa kutokana na kushika nafasi nyeti ndani ya CCM ikiwemo Mwenyekiti wa UVCCM taifa.
UVCCM ya Dr Emmanuel Nchimbi ilikuwa ni UVCCM kwelikweli
Siyo hii ya sasa na sisi wana CCM kindakindaki tuna kamsemo ketu kuwa "Nchimbi aliondoka na UVCCM yake.
Kwhiyo Dr Emmanuel Nchimbi anaijua vyema CCM na hata katika secretariat ya sasa hakuna mtu zaidi yake.
Huyu atakiimarisha Chama zaidi.
Matukio mbalimbali yanayoendelea chini ya kapeti ndani ya Chama yanaonyesha "Chama kimevamiwa"
Baada ya uteuzi wa Mwenezi Paul Christian Makonda ni vyema CCM ikawaleta on board "Viongozi halisi" ili iweze kurudi kwenye njia.
Kwasasa hakuna mtu mwingine anayefaa zaidi ya Dr Emmanuel Nchimbi na kinyume chake ni kuendeleza mzaa.
CCM ya sasa imekuwa dhaifu sana kutokana udhaifu wa baadhi ya wajumbe wa secretariat ya sasa na mtu atakayenyoonya mambo ni Dr Emmanuel Nchimbi.
Sijui yakuwaje Haya mambo yaani!Ndio hapo sasa. Mkate ni wale wale wengine wanaishia kupiga makofi na kuvaa kofia.
Zaidi ya kuuza mabasi ya wanafunzi labda na kushiriki mauaji ya Mwangosi ni kipi alichowahi kufanya Nchimbi cha kupigiwa mfano ?Combination ya Bashiru, Nchimbi na Makonda itakuwa balaa kisiasa. Itakuwa bonge la Combo.
Nchimbi alishiriki vipi mauaji ya Mwangosi? Acha kuharibu heshima yako hapa JF. Kwa hiyo kijana wako akimuumiza mtoto wa jirani basi umeshiriki? This statement is too little to you brother.Zaidi ya kuuza mabasi ya wanafunzi labda na kushiriki mauaji ya Mwangosi ni kipi alichowahi kufanya Nchimbi cha kupigiwa mfano ?
Zaidi ya kushiriki uchawi ni lini watakushirikisha kwenye madaraka ?
Hujui kitu , mwite Nchimbi mwenyewe atueleze hatua alizomchukulia KamuhandaNchimbi alishiriki vipi mauaji ya Mwangosi? Acha kuharibu heshima yako hapa JF. Kwa hiyo kijana wako akimuumiza mtoto wa jirani basi umeshiriki? This statement is too little to you brother.
48 laws of power.... Rule #2Never Put Too Much Trust in Friends, Learn How to Use Enemies
Friends are likely to be envious and betray you. The best thing is to hire your enemy, as they will try to prove they are trustworthy.
Kama nitakua na kumbukumbu mbaya nisahihishwe, ila forest Hill ilikua shule ya kifahari na sio wote wa kawaida waliopata nafasi ya kusoma ile shule kwa maana ya viwango vya taaluma vilivyokuwa vinapatikana pale.yeah!