Kumfanyia interview mwalimu ni kumsumbua na kumpotezea muda tu, ni urasimu

Kumfanyia interview mwalimu ni kumsumbua na kumpotezea muda tu, ni urasimu

DeMostAdmired

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2017
Posts
1,579
Reaction score
3,798
Yani ukinambia unawafanyia interview walimu ndo uwaajiri binafsi naona haijakaa sawa.

MWALIMU siyo sawa na mtu wa kada zingine kama afya, tra, procurement na kada zingine.

MWALIMU anakaa na mwanafunzi mwaka mzima, dokta anakaa na mgonjwa mpka either afe au apone.

Point yangu ya msingi ni kwamba MWALIMU ananafasi nyingi ambazo anaweza kuzitumia kujifanyia tathimini na kumfanyia tathimini mwanafunzi wake na mwisho wa siku akamjenga na kumuandaa na akafaulu katika mtihani wa mwisho na akatoka na elimu yenye ubora mzuri.

Waajiriwa katika kada nyingjne hawana au wananafasi chache sana katika kujifanyia tathimini na kujipanga upya ili kuleta matokeo mazuri zaidi.

Mtu wa afya akifanya uzembe mgonjwa kaded hana nafasi ya kurekebisha na kuurudisha uhai wa aliyekufa. Hali kadhalika kada nyingine hakuna chances za kurekebisha ukiharibu umeharibu.

Mimi naona hakuna haja ya interview kwa walimu.
 
Ina make sense. Vijana wa siku hizi miandiko yao ya kifacebook inaharibu watoto mambo ya xaxa sio ya kuyapeleka shuleni. Ninachotamani ni serikali kubadili mitaala iwe ya english kuanzia primary,wanaofanyiwa interviews wakafundishe primary pia
Haimek sense, mtu kagraduate from a reputable university na gpa kali unakuja kumfanyia interview unamuhoji nini?
 
Yani ukinambia unawafanyia interview walimu ndo uwaajiri binafsi naona haijakaa sawa.

MWALIMU siyo sawa na mtu wa kada zingine kama afya, tra, procurement na kada zingine.

MWALIMU anakaa na mwanafunzi mwaka mzima, dokta anakaa na mgonjwa mpka either afe au apone.

Point yangu ya msingi ni kwamba MWALIMU ananafasi nyingi ambazo anaweza kuzitumia kujifanyia tathimini na kumfanyia tathimini mwanafunzi wake na mwisho wa siku akamjenga na kumuandaa na akafaulu katika mtihani wa mwisho na akatoka na elimu yenye ubora mzuri.

Waajiriwa katika kada nyingjne hawana au wananafasi chache sana katika kujifanyia tathimini na kujipanga upya ili kuleta matokeo mazuri zaidi.

Mtu wa afya akifanya uzembe mgonjwa kaded hana nafasi ya kurekebisha na kuurudisha uhai wa aliyekufa. Hali kadhalika kada nyingine hakuna chances za kurekebisha ukiharibu umeharibu.

Mimi naona hakuna haja ya interview kwa walimu.
Interview ni muhimu kwa kuweka usawa katika ushindani na kupata

Walimu wenye sifa. Tena mnapaswa na nyie walimu muwe na proffesional regulatory board muwe
na leseni ya kufanya kazi.
 
Mleta mada ungetulia subiri Usahili ukizingatia Kada yenu haujafika level ya kuwa taaluma kama zilivyo Sheria,Afya na uhasibu.Pili mkimaliza hata internship walimu hamwendi.Tatu Usahili ndiyo Njia inathibitisha kama Una Elimu,Ujuzi na Maarifa tosha.Jiandae usailiwe.Hapa nishafanyiwa Usahili Zaidi ya mara 10.Nimefanya Kazi za private,NGO Hadi za Serikali.Nilishawasaili watahiniwa ndiyo nikajua correlation baina ya vyeti na Maarifa halisi.Kaa Kwa Kutulia Mwalimu.
 
Ulichoandika kama ndio kingekuwa uhalisia, nisingechukia masomo kama Chemistry, bookkeeping na Geography. Walimu msikimbie usaili, hakuna mtu asiyeweza kujifanyia tathmini na kupata ujuzi bora akiwa kazini, Acheni ujanja ujanja wa kupita kwa sandakalawe.
 
Ina make sense. Vijana wa siku hizi miandiko yao ya kifacebook inaharibu watoto mambo ya xaxa sio ya kuyapeleka shuleni. Ninachotamani ni serikali kubadili mitaala iwe ya english kuanzia primary,wanaofanyiwa interviews wakafundishe primary pia
Kuna wahitimu wawili wanaandika eti axante,xawa aseee,niliwaona hamnazo.
 
Hivi kama mtu uko vizuri unaogopa vipi usahili?acheni kujidharirisha ndo maana juzi nilikuwa nashangaa mtu amekaa kitaa tangu 2018 hana hata account ajira portal na hata recommendation letter haijui.
Hii inatoa picha halisi ya watu tulio nao
 
Back
Top Bottom