Kumfanyia interview mwalimu ni kumsumbua na kumpotezea muda tu, ni urasimu

Kumfanyia interview mwalimu ni kumsumbua na kumpotezea muda tu, ni urasimu

Wewe una elimu ya kukariri hatutawezana
Siwezi ingia mabishano na mwana jf ukiwa nyuma ya keyboard uhalisia ni mchache sana ila kama ni muelewa utajua kwanini wizara ya elimu inafanya juu chini kubadili mtaala japo bado wanazunguuka mulemule

Ungetoboaje form4 bila kukariri law of motion, equilibrium, structure of the leaf nk mkuu hebu kuwa serious
 
Siwezi ingia mabishano na mwana jf ukiwa nyuma ya keyboard uhalisia ni mchache sana ila kama ni muelewa utajua kwanini wizara ya elimu inafanya juu chini kubadili mtaala japo bado wanazunguuka mulemule

Ungetoboaje form4 bila kukariri law of motion, equilibrium, structure of the leaf nk mkuu hebu kuwa serious
Mpaka leo naweza kuzi state na naelewa application zake sikukariri tuu nilielewa ndio maana

Mpaka leo nakupumbuka na naweza kueleza application yake.
 
Haimek sense, mtu kagraduate from a reputable university na gpa kali unakuja kumfanyia interview unamuhoji nini?
You gpa and reputable university haikupi uhalali wa kupata pisition, hiyo ni elimu tu umepata , interview iko pale kuhakikisha if you are qualified ku apply ulichokisoma field

Ondoa hiyo mindsetbya gpa na chuo ulichosoma, miaka hii ya sasa havina uzito
 
Yani mtu kafanya ue 6 aogope interview? Interview ni mradi wa watu ule ogopa matapeli
Pole sana, la si hivyo kila anaetoka chuo angekuwa ameshaajiriwa. Interview iko pale kupata mtu anaeweza ku apply hiyo knowledge kazini

Haiko pale kwa ajili ya goa yako, wala uwezo wa kukariri

Maana wenyewe uwezo huo wako wengi , wewe si wa kwanza wala si wa mwisho. But anaweza ku apply hiyo knowledge ni wachache
So pambana ounguza malalamiko
 
Pole mwalimu kwa majukumu na povu,
Wapo wanaograduate vyuo bora vya biashara nje ya nchi na wakija hapa interview ni lazima,
Sasa kwanini mwalimu asifanyiwe interview wakati ni taaluma kama taaluma nyingine,
Ndio maana tuna waalimu wa hovyo sana wakati huu,
Na kipindi cha nyuma waalimu ulikuwa ni wito,mwalimu halali wanafunzi wanapofanya vibaya,,
Kizazi hiki ni biashara,tuition kila wakati na kusaidia wanafunzi kufaulu
INTERVIEW NI LAZIMA
 
Yani ukinambia unawafanyia interview walimu ndo uwaajiri binafsi naona haijakaa sawa.

MWALIMU siyo sawa na mtu wa kada zingine kama afya, tra, procurement na kada zingine.

MWALIMU anakaa na mwanafunzi mwaka mzima, dokta anakaa na mgonjwa mpka either afe au apone.

Point yangu ya msingi ni kwamba MWALIMU ananafasi nyingi ambazo anaweza kuzitumia kujifanyia tathimini na kumfanyia tathimini mwanafunzi wake na mwisho wa siku akamjenga na kumuandaa na akafaulu katika mtihani wa mwisho na akatoka na elimu yenye ubora mzuri.

Waajiriwa katika kada nyingjne hawana au wananafasi chache sana katika kujifanyia tathimini na kujipanga upya ili kuleta matokeo mazuri zaidi.

Mtu wa afya akifanya uzembe mgonjwa kaded hana nafasi ya kurekebisha na kuurudisha uhai wa aliyekufa. Hali kadhalika kada nyingine hakuna chances za kurekebisha ukiharibu umeharibu.

Mimi naona hakuna haja ya interview kwa walimu.
Mbona walimu mmeanza kujitetea mapema sana
 
Siwezi ingia mabishano na mwana jf ukiwa nyuma ya keyboard uhalisia ni mchache sana ila kama ni muelewa utajua kwanini wizara ya elimu inafanya juu chini kubadili mtaala japo bado wanazunguuka mulemule

Ungetoboaje form4 bila kukariri law of motion, equilibrium, structure of the leaf nk mkuu hebu kuwa serious
Dawa ni moja tu,kwa lugha kubwa Africa kama kiswahili ni lazima tusome kwa kiswahili ndipo tufanikiwe
 
Mpaka leo naweza kuzi state na naelewa application zake sikukariri tuu nilielewa ndio maana

Mpaka leo nakupumbuka na naweza kueleza application yake.
Hujaelewa umekariri ndio maana unazistate kama zilivyo bila kupunguza hata neno maana ukipunguza hiyo utakuwa umetunga yakwako

Kwa waliosoma masomo ya science ni mabingwa wa kukariri ndio maana wamefaulu wavivu wa kukariri ndio waliochukua arts ambayo kuna uwanja mpana wa kuelewa na kujielezea(essey questions) utabisha ila ndio uhalisia huo wa elimu yetu
 
Dawa ni moja tu,kwa lugha kubwa Africa kama kiswahili ni lazima tusome kwa kiswahili ndipo tufanikiwe
Mtaala unatakiwa ufumuliwe upya sema changamoto ni nyingi ikiwepo uchumi wa nchi na uwiano wa elimu kimataifa maana huwezi fundisha vitu vya taifa lako tu bila kuhusiana na mataifa mengine

Watu humu wanaleta ushabiki kama wa simba na yanga hawaongei uhalisia
 
Mtaala unatakiwa ufumuliwe upya sema changamoto ni nyingi ikiwepo uchumi wa nchi na uwiano wa elimu kimataifa maana huwezi fundisha vitu vya taifa lako tu bila kuhusiana na mataifa mengine

Watu humu wanaleta ushabiki kama wa simba na yanga hawaongei uhalisia
Kweli kabisa,
Zaidi ya 90% ya wanafunzi hutokea kayumba,sasa ghafla unambadilishia lugha ya kusoma inakua kiingereza inapelekea mwanafunzi kutopenda shule ama afike form 4 ili na yeye awe amemaliza elimu ya sekondari, kitu ambacho lugha ingebaki kuwa kiswahili basi idadi ya waliyoingia form 1 basi asilimia 70 wangeingia form 5
 
Yani ukinambia unawafanyia interview walimu ndo uwaajiri binafsi naona haijakaa sawa.

MWALIMU siyo sawa na mtu wa kada zingine kama afya, tra, procurement na kada zingine.

MWALIMU anakaa na mwanafunzi mwaka mzima, dokta anakaa na mgonjwa mpka either afe au apone.

Point yangu ya msingi ni kwamba MWALIMU ananafasi nyingi ambazo anaweza kuzitumia kujifanyia tathimini na kumfanyia tathimini mwanafunzi wake na mwisho wa siku akamjenga na kumuandaa na akafaulu katika mtihani wa mwisho na akatoka na elimu yenye ubora mzuri.

Waajiriwa katika kada nyingjne hawana au wananafasi chache sana katika kujifanyia tathimini na kujipanga upya ili kuleta matokeo mazuri zaidi.

Mtu wa afya akifanya uzembe mgonjwa kaded hana nafasi ya kurekebisha na kuurudisha uhai wa aliyekufa. Hali kadhalika kada nyingine hakuna chances za kurekebisha ukiharibu umeharibu.

Mimi naona hakuna haja ya interview kwa walimu.
Ahaaa unakwepa interview ee. Bado hujasema
 
Hujaelewa umekariri ndio maana unazistate kama zilivyo bila kupunguza hata neno maana ukipunguza hiyo utakuwa umetunga yakwako

Kwa waliosoma masomo ya science ni mabingwa wa kukariri ndio maana wamefaulu wavivu wa kukariri ndio waliochukua arts ambayo kuna uwanja mpana wa kuelewa na kujielezea(essey questions) utabisha ila ndio uhalisia huo wa elimu yetu
Wewe fanya rationalization ila interview iko pale pale, wewe kaoneshe huo uwezo wako wa

Kukariri
 
Hujaelewa umekariri ndio maana unazistate kama zilivyo bila kupunguza hata neno maana ukipunguza hiyo utakuwa umetunga yakwako

Kwa waliosoma masomo ya science ni mabingwa wa kukariri ndio maana wamefaulu wavivu wa kukariri ndio waliochukua arts ambayo kuna uwanja mpana wa kuelewa na kujielezea(essey questions) utabisha ila ndio uhalisia huo wa elimu yetu
Essey questions ni aina gani ya maswali ?
 
Back
Top Bottom