Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gpa za chupi huzijui? Alafu msomi kuogopa interview ni ukuda.Haimek sense, mtu kagraduate from a reputable university na gpa kali unakuja kumfanyia interview unamuhoji nini?
Yani mtu kafanya ue 6 aogope interview? Interview ni mradi wa watu ule ogopa matapeliGpa za chupi huzijui? Alafu msomi kuogopa interview ni ukuda.
Unatka utaratbu upi utumike. Mko laki 2 naffasi 10000Yani ukinambia unawafanyia interview walimu ndo uwaajiri binafsi naona haijakaa sawa.
MWALIMU siyo sawa na mtu wa kada zingine kama afya, tra, procurement na kada zingine.
MWALIMU anakaa na mwanafunzi mwaka mzima, dokta anakaa na mgonjwa mpka either afe au apone.
Point yangu ya msingi ni kwamba MWALIMU ananafasi nyingi ambazo anaweza kuzitumia kujifanyia tathimini na kumfanyia tathimini mwanafunzi wake na mwisho wa siku akamjenga na kumuandaa na akafaulu katika mtihani wa mwisho na akatoka na elimu yenye ubora mzuri.
Waajiriwa katika kada nyingjne hawana au wananafasi chache sana katika kujifanyia tathimini na kujipanga upya ili kuleta matokeo mazuri zaidi.
Mtu wa afya akifanya uzembe mgonjwa kaded hana nafasi ya kurekebisha na kuurudisha uhai wa aliyekufa. Hali kadhalika kada nyingine hakuna chances za kurekebisha ukiharibu umeharibu.
Mimi naona hakuna haja ya interview kwa walimu.
Acha speculation za kijinga. Interview sio jinai.Yani mtu kafanya ue 6 aogope interview? Interview ni mradi wa watu ule ogopa matapeli
Wa S/M ni kiswahili nahisi pia Kuna wa oral kwanAcha kwenda basi maana lugha ya kiingereza mnaiona baba yenu. Hofu yote hapo ni kiingereza Wala hamna kingine
Acha woga Mwalimu. Subiri panga linolewe.Yani ukinambia unawafanyia interview walimu ndo uwaajiri binafsi naona haijakaa sawa.
MWALIMU siyo sawa na mtu wa kada zingine kama afya, tra, procurement na kada zingine.
MWALIMU anakaa na mwanafunzi mwaka mzima, dokta anakaa na mgonjwa mpka either afe au apone.
Point yangu ya msingi ni kwamba MWALIMU ananafasi nyingi ambazo anaweza kuzitumia kujifanyia tathimini na kumfanyia tathimini mwanafunzi wake na mwisho wa siku akamjenga na kumuandaa na akafaulu katika mtihani wa mwisho na akatoka na elimu yenye ubora mzuri.
Waajiriwa katika kada nyingjne hawana au wananafasi chache sana katika kujifanyia tathimini na kujipanga upya ili kuleta matokeo mazuri zaidi.
Mtu wa afya akifanya uzembe mgonjwa kaded hana nafasi ya kurekebisha na kuurudisha uhai wa aliyekufa. Hali kadhalika kada nyingine hakuna chances za kurekebisha ukiharibu umeharibu.
Mimi naona hakuna haja ya interview kwa walimu.
Mshahara wao ni mkubwa,unanifanyia usaili halafu mshahara mbuziMbona walimu wa vyuo vikuu wanafanyiwa usahili na hawalalamiki?
Kwahiyo ukiwa na GPA kubwa ndio tiketi ya kutofanya intavyuu?? Gpa zenyewe hizi hizi za topo???Haimek sense, mtu kagraduate from a reputable university na gpa kali unakuja kumfanyia interview unamuhoji nini?
Mbona hamueleweki mara mseme uwalimu ni wito sa hivi mnaangalia Tena mshaharaMshahara wao ni mkubwa,unanifanyia usaili halafu mshahara mbuzi
Oral lazima iwepo panga la kwanza ni written then mnachujwa kwa oral. ..Wa S/M ni kiswahili nahisi pia Kuna wa oral kwan
Wewe Mwalimu wa certificate unataka uanze na laki 6 take home?Mbona hamueleweki mara mseme uwalimu ni wito sa hivi mnaangalia Tena mshahara
Waombaji ni wengi sana unazani watumie mbinu gani kupata walimu bora ikiwa kila mtu ana sifa inayofanana na mwenzake? acheni woga kwa sasa hakuna mbeleko nendeni mkajipange na usaili.Yani ukinambia unawafanyia interview walimu ndo uwaajiri binafsi naona haijakaa sawa.
MWALIMU siyo sawa na mtu wa kada zingine kama afya, tra, procurement na kada zingine.
MWALIMU anakaa na mwanafunzi mwaka mzima, dokta anakaa na mgonjwa mpka either afe au apone.
Point yangu ya msingi ni kwamba MWALIMU ananafasi nyingi ambazo anaweza kuzitumia kujifanyia tathimini na kumfanyia tathimini mwanafunzi wake na mwisho wa siku akamjenga na kumuandaa na akafaulu katika mtihani wa mwisho na akatoka na elimu yenye ubora mzuri.
Waajiriwa katika kada nyingjne hawana au wananafasi chache sana katika kujifanyia tathimini na kujipanga upya ili kuleta matokeo mazuri zaidi.
Mtu wa afya akifanya uzembe mgonjwa kaded hana nafasi ya kurekebisha na kuurudisha uhai wa aliyekufa. Hali kadhalika kada nyingine hakuna chances za kurekebisha ukiharibu umeharibu.
Mimi naona hakuna haja ya interview kwa walimu.
Hawa waalimu wa sasa wa mchongo wanaotarajiwa kuajiriwa na serikali yetu aisee wengi wao wana matatizo ya akili, waalimu wanajikuta special sana kwamba wasifanye usaili 😂