Kumfanyia interview mwalimu ni kumsumbua na kumpotezea muda tu, ni urasimu

Kumfanyia interview mwalimu ni kumsumbua na kumpotezea muda tu, ni urasimu

Yani ukinambia unawafanyia interview walimu ndo uwaajiri binafsi naona haijakaa sawa.

MWALIMU siyo sawa na mtu wa kada zingine kama afya, tra, procurement na kada zingine.

MWALIMU anakaa na mwanafunzi mwaka mzima, dokta anakaa na mgonjwa mpka either afe au apone.

Point yangu ya msingi ni kwamba MWALIMU ananafasi nyingi ambazo anaweza kuzitumia kujifanyia tathimini na kumfanyia tathimini mwanafunzi wake na mwisho wa siku akamjenga na kumuandaa na akafaulu katika mtihani wa mwisho na akatoka na elimu yenye ubora mzuri.

Waajiriwa katika kada nyingjne hawana au wananafasi chache sana katika kujifanyia tathimini na kujipanga upya ili kuleta matokeo mazuri zaidi.

Mtu wa afya akifanya uzembe mgonjwa kaded hana nafasi ya kurekebisha na kuurudisha uhai wa aliyekufa. Hali kadhalika kada nyingine hakuna chances za kurekebisha ukiharibu umeharibu.

Mimi naona hakuna haja ya interview kwa walimu.
Unatka utaratbu upi utumike. Mko laki 2 naffasi 10000
 
Milio ni mingi kweli kweli. 😎

Hakuna namna. Nafasi ni chache, wahitaji ni wengine na the only fair solution ni kufanyisha usaili ili kuwachuja wengi wapatikane wachache based on merits and talent.​
 
Yani ukinambia unawafanyia interview walimu ndo uwaajiri binafsi naona haijakaa sawa.

MWALIMU siyo sawa na mtu wa kada zingine kama afya, tra, procurement na kada zingine.

MWALIMU anakaa na mwanafunzi mwaka mzima, dokta anakaa na mgonjwa mpka either afe au apone.

Point yangu ya msingi ni kwamba MWALIMU ananafasi nyingi ambazo anaweza kuzitumia kujifanyia tathimini na kumfanyia tathimini mwanafunzi wake na mwisho wa siku akamjenga na kumuandaa na akafaulu katika mtihani wa mwisho na akatoka na elimu yenye ubora mzuri.

Waajiriwa katika kada nyingjne hawana au wananafasi chache sana katika kujifanyia tathimini na kujipanga upya ili kuleta matokeo mazuri zaidi.

Mtu wa afya akifanya uzembe mgonjwa kaded hana nafasi ya kurekebisha na kuurudisha uhai wa aliyekufa. Hali kadhalika kada nyingine hakuna chances za kurekebisha ukiharibu umeharibu.

Mimi naona hakuna haja ya interview kwa walimu.
Acha woga Mwalimu. Subiri panga linolewe.
 
Yani ukinambia unawafanyia interview walimu ndo uwaajiri binafsi naona haijakaa sawa.

MWALIMU siyo sawa na mtu wa kada zingine kama afya, tra, procurement na kada zingine.

MWALIMU anakaa na mwanafunzi mwaka mzima, dokta anakaa na mgonjwa mpka either afe au apone.

Point yangu ya msingi ni kwamba MWALIMU ananafasi nyingi ambazo anaweza kuzitumia kujifanyia tathimini na kumfanyia tathimini mwanafunzi wake na mwisho wa siku akamjenga na kumuandaa na akafaulu katika mtihani wa mwisho na akatoka na elimu yenye ubora mzuri.

Waajiriwa katika kada nyingjne hawana au wananafasi chache sana katika kujifanyia tathimini na kujipanga upya ili kuleta matokeo mazuri zaidi.

Mtu wa afya akifanya uzembe mgonjwa kaded hana nafasi ya kurekebisha na kuurudisha uhai wa aliyekufa. Hali kadhalika kada nyingine hakuna chances za kurekebisha ukiharibu umeharibu.

Mimi naona hakuna haja ya interview kwa walimu.
Waombaji ni wengi sana unazani watumie mbinu gani kupata walimu bora ikiwa kila mtu ana sifa inayofanana na mwenzake? acheni woga kwa sasa hakuna mbeleko nendeni mkajipange na usaili.
 
Back
Top Bottom