Kumfanyia interview mwalimu ni kumsumbua na kumpotezea muda tu, ni urasimu

Jiandae na Interview, soon mtaitwa.
 
Ukweli mchungu kwa sasa vyuoni kuna mabomu
Kuna media ilifanya challenge pale Udom ikawa inauliza neno "UDOM" lina tarakimu ngapi, huwezi amini hadi wanachuo walio third year walikua wanachemka

Yale majibu yalikua yanaonyesha kabisa Kuna shida kubwa vyuoni
 
Mtu anahoji waalimu kufanyiwa interview😥😥.. Mwalimu. mwalimu 🙄🙄hii nchi inabidi wote tu quit.
Taaluma zote hufanyiwa interview, ilikua kasoro afya na ualimu. Lakini bado mtu anaamini walimu kufanyiwa interview sio fair
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…