Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?

Wadau
basi usifanye
 
Mimi naona sababu kubwa kuwafanyia watu wa afya hasahasa MDs ni kutaka kujua walio na utayari wa kazi. Wengi wamekuwa wakipangiwa kazi chini ya TAMISEMI sehemu za mbali na wamekuwa hawaendi. Hii husababisha serikali kuingia kwenye database na kuajiri madaktari wengine tena

Ukiona mtu katumia gharama zake kwenda kufanya interview labda Mtwara huko au Kigoma ujue huyo yupo tayari kufanya kazi sehemu husika

Kwahiyo kikubwa hapo ni kupima utayari wa wahusika. Na ndivyo nilivyo tonywa na kiongozi mmoja wa utumishi
 
Kwa mtu aliyesoma medical school na akaivaa hawezi hofia usaili ,usaili lengo ni kutengeneza fair ground kwa wahitaji wengi huku nafasi zikiwa chache , haimanishi ukikosa ndio haujaiva hapana ni kwamba tunataka mtu mmoja kati ya mia kwahyo lazima tutengeneze mazingira ya huyo mtu kupatikana ,hata fani ya veterinary medicine wanasoma miaka mitano kipindi cha nyuma ya 2013 Ajira zilikuwa moja kwa moja lakini walikuwa wachache ukute darasa linamaliza wanafunzi chini ya 20 sasa ,sahivi wanamaliza 50plus kwanini wasifanyiwe usaili?
Kwangu mimi bila usaili nadhani tutatengeneza upendeleo sana
 
Yani mzee nimeichukia fani ya afya na siwezi kumshauri kijana asome.

Shuruba ya maana alafu mshahara kidogo sana.
Mi naambiaga watu soon hii fani inaanza kuwa kama fani ya Uwalimu(Elimu). Kazi ina shurba na lawama kibao lakini ndio hivyo mishahara ya ajabu sana.

Kitaa unaonekana daktari smart lakini moyoni una stress za madeni huku ukiangalia gharama ulizotumia kusomea huo udaktari miaka mitano na unachokipata mwisho wa mwezi hakuna uwiano kabisa
 
Acha mbwembwe wewe dogo ,medical school ndio ugoro gani wewe ?,
Wewe ungeweza mziki wa course za uhandisi (Engineering) wewe ?
Na tunamaliza hapo tunapiga internship au kazi miaka mitatu ndio unaanza mchakato wa kuanza kushughulikia leseni .
Kipi ni special kwenu ninyi .
Useless kabisa , usahili uko pale pale ,mtake msitake usahili unawahusu
Acha sifa za kihaya mkuu
 
Punguza malalamiko, tuna accredited ICT guys ambao ni approved and certified by international organization, tuna wahasibu pamoja certification zao including CPA but bado wanafanya interview

Concept ya interview ni kupata right candidate for that position. Ni hiyo position inahitaji more than certificates, inahitaji vitu vingi. One way to know kama candidate anavyo ni through interview
Kwa daktari wa binadamu huhitaji chochote zaidi ya leseni yake ya udaktari, kwa kazi za CPA interview ni sahihi kwa sababu kuna kupiga maneno/siasa pia katika kazi zao tofauti na udaktari wa binadamu.
 
Vijana hawataki usaili wanataka kitonga.Juzi tu kuna mwalimu aliweka uzi wa kulalamika kufanyiwa usaili. Sasa nasema hivi mpende msipende mtafanyiwa usaili tu. Iwe dharau isiwe dharau mtafanyiwa usaili.pumbavu mnataka kupewa kazi bure wakati wengine wanafanyiwa usaili.
Daktari hahitaji usahili, leseni yake ya MCT inatosha.
 
Aisee

Yaani marks zao huko shuleni ndio wana deserve wanadamu wawape everything kwa lazima

Umekuja kwenye hospitali yangu,eti nisikuhoji sababu umepata A shule,who the fvck are you?

Unajua hospitali imetoka wapi hii?Do you actually know how much I sweated to get money and run this motherfvcker kiasi kwamba uje eti una vi-A vyako huko shuleni of which I do not care eti nisikuhoji?

Kwanza kazi sikupi,Haya kalime ukahojiwe na shamba basi!
Ukweli mchungu sana huu,
 
Aisee

Yaani marks zao huko shuleni ndio wana deserve wanadamu wawape everything kwa lazima

Umekuja kwenye hospitali yangu,eti nisikuhoji sababu umepata A shule,who the fvck are you?

Unajua hospitali imetoka wapi hii?Do you actually know how much I sweated to get money and run this motherfvcker kiasi kwamba uje eti una vi-A vyako huko shuleni of which I do not care eti nisikuhoji?

Kwanza kazi sikupi,Haya kalime ukahojiwe na shamba basi!
Daktari wa binadamu hahitaji interview ya kazi, leseni yake ya udaktari inatosha.
Uchache wa kazi ndio unasababisha interviews kuwepo, pia Daktari aliyefaulu kwa kiwango cha juu darasani kwa A nyingi ndiye Daktari bora hata kama atafeli usahili wa kupiga/kuuza maneno.
 
Sasa mkuu kama nimekuita kwenye shughuli yangu ambayo nina vigezo tofauti (labda kwangu ukarimu na personality matters kuliko vyeti) sasa takupima vipi bila kukufanyia interview....

Kama vipi unaona wewe ni gwiji huwezi kufanya interview basi nenda kule pasipo interview au fungua shughuli yako ambayo utajiajiri kwa kutokujipa interview...

When in Rome do as Romans....

Ila that said nahamia pia kwa upande wa Serikali..., Ni upuuzi usio na kifani kuwa na madaktari mitaani hawana kazi wakati kuna uhitaji wa wauguzi (wauguzi hawatoshi) hizo pesa mnazonunulia V8 bora mpande daladala na kuajiri wauguzi...
Kwenye udaktari muhimu ni ufaulu na experience, mambo ya ukarimu na personality ni kazi za siasa na fani nyingine za ngwini. Kwenye science jambo muhimu ni ufaulu, wanasayansi wakubwa zaidi duniani mfano washindi wa Nobel na vumbuzi mbalimbali ni watu fulani wasio na ukarimu au personality nzuri.
 
Back
Top Bottom