Kumfuatilia mumeo kila hatua kwa kisingizio cha upendo kunakera sana

Kumfuatilia mumeo kila hatua kwa kisingizio cha upendo kunakera sana

Kwani hana akili, mpka anakuoa si ulimwamini, kwa nn una nashaka naye?
Wewe nae naona mjadala unakushinda, kwanza nimesema hajanioa nisome vizuri.

Pili, kufuatilia hakuna maana humuamini mwenzio bali unajali.
Kwangu mimi kumfuatilia ni kujali, lazima nifahamu kila kinachomhusu.

Na sitokaa niache kumfuatilia, lazima anifahamishe kila hatua ya anachokifanya.
 
Wa hiyo sitamuweza hata wiki nadhani. Hata kwenye ndoa tunataka uhuru, hayo maswali waukizane waliopo courtship, sio ndoani.
 
Wewe nae naona mjadala unakushinda, kwanza nimesema hajanioa nisome vizuri.

Pili, kufuatilia hakuna maana humuamini mwenzio bali unajali.
Kwangu mimi kumfuatilia ni kujali, lazima nifahamu kila kinachomhusu.

Na sitokaa niache kumfuatilia, lazima anifahamishe kila hatua ya anachokifanya.
Ili upate pa kumshikia eeehhh...hapo alishakosea tokea mwanzo...
Mwamba ameisha tayari ndio maana anaogopa kukuona....
Natania
 
Kwenyee uchumba sawa, sababu wote mnatamaniana, hisia za mapenzi bado za moto. Lakini kwenye ndoa haijakaa powa
Wewe nae naona mjadala unakushinda, kwanza nimesema hajanioa nisome vizuri.

Pili, kufuatilia hakuna maana humuamini mwenzio bali unajali.
Kwangu mimi kumfuatilia ni kujali, lazima nifahamu kila kinachomhusu.

Na sitokaa niache kumfuatilia, lazima anifahamishe kila hatua ya anachokifanya.
 
Kwanza kabisa msimamo wangu, kama huo ni upendo naukataaa.

Uko kazini, unaulizwa unarudi saa ngapi? Umefika wapi? Mbona umechelewa kurudi? Angalia muda lakini!! Nashindwa kulala sababu yako.

Uko na nani? Mko Baa gani? Leo mpira unaangalia wapi? Usichelewe kurudi lakini, mtoto anasumbua amekumiss, anakutaka wewe.

Hujakaa sawa kapigiwa mshkaji ambaye uko naye, anaanza kuulizwa, "shem uko na fulani". Hii kitu imenishinda kwa kweli.

Wake mliopo ndoani au mnaishi na waume nauliza maswali kwenu naomba majibu.

1. Mume anapaswa kurudi nyumbani saa ngapi?

2. Ni sehemu gani inamfaa kuangalia mpira, banda umiza Baa yenye watoto wazuri?

3. Ikiwa umeagwa na kupewa location aliyopo kuna haja ya kucomfirm yuko na fulani kweli kwa kupiga simu?

Binafsi naona kwa level hii ni utumwa kwa mume na ni udhalilishaji pia.

Niko sawa au nazingua kwa mtazamo wangu?
Ukiwa swala tano hakuna swali hata moja hapo utaulizwa.
Fuatilia ibada utaepuka hayo maswali ya kijinga.
 
Kwanza kabisa msimamo wangu, kama huo ni upendo naukataaa.

Uko kazini, unaulizwa unarudi saa ngapi? Umefika wapi? Mbona umechelewa kurudi? Angalia muda lakini!! Nashindwa kulala sababu yako.

Uko na nani? Mko Baa gani? Leo mpira unaangalia wapi? Usichelewe kurudi lakini, mtoto anasumbua amekumiss, anakutaka wewe.

Hujakaa sawa kapigiwa mshkaji ambaye uko naye, anaanza kuulizwa, "shem uko na fulani". Hii kitu imenishinda kwa kweli.

Wake mliopo ndoani au mnaishi na waume nauliza maswali kwenu naomba majibu.

1. Mume anapaswa kurudi nyumbani saa ngapi?

2. Ni sehemu gani inamfaa kuangalia mpira, banda umiza Baa yenye watoto wazuri?

3. Ikiwa umeagwa na kupewa location aliyopo kuna haja ya kucomfirm yuko na fulani kweli kwa kupiga simu?

Binafsi naona kwa level hii ni utumwa kwa mume na ni udhalilishaji pia.

Niko sawa au nazingua kwa mtazamo wangu?
Mambo yenyewe mengi muda mchache, huo muda wa kufatiliana Kila sekunde unatoka wapi!?. Kila mmoja achukue hamsini zake tutaonana jioni 🤒
 
Katika kumfuatilia mume, kwenye simu alipata hii message "baby, ile show ya jana ilikuwa kali" asante baby. Acheni huo mchezo, mtaumia bure. Labda niwape haya maneno " mme mwema halindwi ila hujilinda "
 
Usiku
Mambo kama hayo yamenifanya niamue kuachana na ndoa,mwakani mwezi wa pili nitakuwa free

Malengo yang toka mwanzo ilikuwa nikuishi kama wild animal,lakin mwanamke akajiingiza kwenye maisha yangu kiujanja ,sasa badala atulie ananifanya mimi kama mwanae,sikubali
Usikubali kabisa mwanangu kimbia njoo huku tuendeleze kujivunika ngumi na kula vyakula vya akina mama wa mtaani ili homa ya matumbo ituue wote kaka
 
Mke Wangu akat nakutana nae alikua anakunywa... Mbali zaid alikua ata akivuta sigara sio bangi.... Nilimvumilia na mm nilikua nakunywa lkn sigara hapana..

Sijui yalimkuta yapi tulipoingia Ndoanu mwenzangu Kawa mlokole

Mm sijabadilika Bado nakunywa
Ninavohubiriwa kama uyo shetan ndo Mimi

Wanawake wengi ni wabinafsi sana wanapenda tupende wanavyopenda wao
 
Back
Top Bottom