Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulioa mvuta sigara Kaka ?Mke Wangu akat nakutana nae alikua anakunywa... Mbali zaid alikua ata akivuta sigara sio bangi.... Nilimvumilia na mm nilikua nakunywa lkn sigara hapana..
Sijui yalimkuta yapi tulipoingia Ndoanu mwenzangu Kawa mlokole
Mm sijabadilika Bado nakunywa
Ninavohubiriwa kama uyo shetan ndo Mimi
Wanawake wengi ni wabinafsi sana wanapenda tupende wanavyopenda wao
Siku akija kuacha kukufuatilia utamiss sana hizo moments wallahi wewe onyesha ushirikiano enjoy the moment hayo ndio mapenzi, huo ndio wivu. Mapenzi bila wivu hayanogi.Mkuu huo sio upendo ni utumwa
Yes, namuelewa. Wala sina shaka na anachoniambia.It is Ok kuuliza,inawezekana kweli unajali .... Lkn
Ukishaambiwa Nipo sehem flan nafanya kitu flan, unakua muelewa au unakua mbinafsi?
Mfano... Nipo bar flan naangalia mpira na ww upo home umewasha TV unaangalia mpira huohuo... Unakua muelewa
Ww ni Bora sana ikiwa upo ivo at nje ya keyboardYes, namuelewa. Wala sina shaka na anachoniambia.
Ndio,kapitia izo.... Lkn n mama Bora sana.... Isipokua tu... uko wap, unafanya nn, unarud saa ngp, naomba urudi nyumbn....Ulioa mvuta sigara Kaka ?
Wewe ni jasiri ambaye ingekuwa urafiki unaombwa au barua inaandikwa basi ningelifanya uwe rafiki lakini ndiyo vile tena uwa ni Mambo ya automatic bro .Ndio,kapitia izo.... Lkn n mama Bora sana.... Isipokua tu... uko wap, unafanya nn, unarud saa ngp, naomba urudi nyumbn....
Dipresheni bhana 😂Kufuatiliwa muhimu, na hatutoacha kuwafuatilia. Kwanza muwahi kurudi nyumbani muwasaidie watoto home work. Sio baba unakuwa kama muhalifu kwenye nyumba yako.
Upo sawa nyakati unayopitia pia naipitia.. sometimes naweka kindege tu. Ili nii'enjoyKwanza kabisa msimamo wangu, kama huo ni upendo naukataaa.
Uko kazini, unaulizwa unarudi saa ngapi? Umefika wapi? Mbona umechelewa kurudi? Angalia muda lakini!! Nashindwa kulala sababu yako.
Uko na nani? Mko Baa gani? Leo mpira unaangalia wapi? Usichelewe kurudi lakini, mtoto anasumbua amekumiss, anakutaka wewe.
Hujakaa sawa kapigiwa mshkaji ambaye uko naye, anaanza kuulizwa, "shem uko na fulani". Hii kitu imenishinda kwa kweli.
Wake mliopo ndoani au mnaishi na waume nauliza maswali kwenu naomba majibu.
1. Mume anapaswa kurudi nyumbani saa ngapi?
2. Ni sehemu gani inamfaa kuangalia mpira, banda umiza Baa yenye watoto wazuri?
3. Ikiwa umeagwa na kupewa location aliyopo kuna haja ya kucomfirm yuko na fulani kweli kwa kupiga simu?
Binafsi naona kwa level hii ni utumwa kwa mume na ni udhalilishaji pia.
Niko sawa au nazingua kwa mtazamo wangu?
Ndio maana mnaua watoto wa wanawake wenzenu mapema..Hajanioa, yuko mbali, lakini ratiba zake zote nazijua.
Akichelewa hata kutoka kanisani tu nitaomba maelezo kwanini kachelewa.
🤣🤣🤣🤣 dipresheni hatuachi kuwafuatilia. Tumekataa.Dipresheni bhana 😂
Pole sana🤭Acha tu mdogo wangu hata nyumba ya ibaada anakusubilia nje ni kero kweli duh.