Kumfuatilia mumeo kila hatua kwa kisingizio cha upendo kunakera sana

Kumfuatilia mumeo kila hatua kwa kisingizio cha upendo kunakera sana

Mke Wangu akat nakutana nae alikua anakunywa... Mbali zaid alikua ata akivuta sigara sio bangi.... Nilimvumilia na mm nilikua nakunywa lkn sigara hapana..

Sijui yalimkuta yapi tulipoingia Ndoanu mwenzangu Kawa mlokole

Mm sijabadilika Bado nakunywa
Ninavohubiriwa kama uyo shetan ndo Mimi

Wanawake wengi ni wabinafsi sana wanapenda tupende wanavyopenda wao
Ulioa mvuta sigara Kaka ?
 
Kwa upande wangu maswali kama hayo kwa mke wangu mtarajiwa ni ya kawaida hayana tatizo tunapiga story tuna furahi tuna cheka pamoja tunapashana taarifa ni mambo ya kawaida sana
Uchumba ni sawa, ngoja aingie ndani uone kero zake
 
It is Ok kuuliza,inawezekana kweli unajali .... Lkn

Ukishaambiwa Nipo sehem flan nafanya kitu flan, unakua muelewa au unakua mbinafsi?

Mfano... Nipo bar flan naangalia mpira na ww upo home umewasha TV unaangalia mpira huohuo... Unakua muelewa
Yes, namuelewa. Wala sina shaka na anachoniambia.
 
Saikolojia ya wanaume wengi iko hivyo Kwamba hawapendi kupigiwa simu kuulizwaulizwa maswali ya “ uko wapi “ ?
Unafanya nini ? Uko na nani ? N.k
Inaonesha kutokuwaamini na hawapendi wanakereka mno.
Mwanamke asomaye na afahamu jambo hili.
 
Kwanza kabisa msimamo wangu, kama huo ni upendo naukataaa.

Uko kazini, unaulizwa unarudi saa ngapi? Umefika wapi? Mbona umechelewa kurudi? Angalia muda lakini!! Nashindwa kulala sababu yako.

Uko na nani? Mko Baa gani? Leo mpira unaangalia wapi? Usichelewe kurudi lakini, mtoto anasumbua amekumiss, anakutaka wewe.

Hujakaa sawa kapigiwa mshkaji ambaye uko naye, anaanza kuulizwa, "shem uko na fulani". Hii kitu imenishinda kwa kweli.

Wake mliopo ndoani au mnaishi na waume nauliza maswali kwenu naomba majibu.

1. Mume anapaswa kurudi nyumbani saa ngapi?

2. Ni sehemu gani inamfaa kuangalia mpira, banda umiza Baa yenye watoto wazuri?

3. Ikiwa umeagwa na kupewa location aliyopo kuna haja ya kucomfirm yuko na fulani kweli kwa kupiga simu?

Binafsi naona kwa level hii ni utumwa kwa mume na ni udhalilishaji pia.

Niko sawa au nazingua kwa mtazamo wangu?
Upo sawa nyakati unayopitia pia naipitia.. sometimes naweka kindege tu. Ili nii'enjoy
 
Kama unataka uhesabiwe kuwa unampaga raha na utulivu mumeo Basi epukana na hiyo tabia alosema mleta mada.

Make the difference.
 
Kwa hiyo nikubaliane na hali😁😁
Siku akija kuacha kukufuatilia utamiss sana hizo moments wallahi wewe onyesha ushirikiano enjoy the moment hayo ndio mapenzi, huo ndio wivu. Mapenzi bila wivu hayanogi.
 
Upo sawa nyakati unayopitia pia naipitia.. sometimes naweka kindege tu. Ili nii'enjoy
Asante, ili mambo yaende, ukirudi unasema sim nilikuwa naboost counter, kwisha
 
Back
Top Bottom