Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko wapiKwanza kabisa msimamo wangu, kama huo ni upendo naukataaa.
Uko kazini, unaulizwa unarudi saa ngapi? Umefika wapi? Mbona umechelewa kurudi? Angalia muda lakini!! Nashindwa kulala sababu yako.
Uko na nani? Mko Baa gani? Leo mpira unaangalia wapi? Usichelewe kurudi lakini, mtoto anasumbua amekumiss, anakutaka wewe.
Hujakaa sawa kapigiwa mshkaji ambaye uko naye, anaanza kuulizwa, "shem uko na fulani". Hii kitu imenishinda kwa kweli.
Wake mliopo ndoani au mnaishi na waume nauliza maswali kwenu naomba majibu.
1. Mume anapaswa kurudi nyumbani saa ngapi?
2. Ni sehemu gani inamfaa kuangalia mpira, banda umiza Baa yenye watoto wazuri?
3. Ikiwa umeagwa na kupewa location aliyopo kuna haja ya kucomfirm yuko na fulani kweli kwa kupiga simu?
Binafsi naona kwa level hii ni utumwa kwa mume na ni udhalilishaji pia.
Niko sawa au nazingua kwa mtazamo wangu?
Bora umemwambiaaa😅😅penzi bichii hilooUachwe kufuatiliwa ili ujipindue kwa makandokando yako ya zamani?
Usihofu mkizoeana hutafuatiliwa hata ulale nje poa tu. Subiri mzoeane hakuna rangi utaacha kuona kwa mkeo.
Pendo bado bichi utafuatiliwa kila ulipo shukuru kwa hilo maana yuaja wakati utaonekana kama nyanya masalo
Ni kweli inakera lakini nakwambia ipo siku ataacha na kukupuuza. Chochote utakachofanya ataona sawa hatakasirika tena. Atakuwa busy na "mambo yake" mengine. Usirudi hapa kulalamika kwamba hakujaliMnanitisha sasa
Hakuna ubaya kuliza uko wap lakini ndio iwe kila hatua kweli?Ni kweli inakera lakini nakwambia ipo siku ataacha na kukupuuza. Chochote utakachofanya ataona sawa hatakasirika tena. Atakuwa busy na "mambo yake" mengine. Usirudi hapa kulalamika kwamba hakujali
Kama mkeo ni msikivu, shukuru Mungu, wengine wataforce tuJambo lolote likizidi ni kero,hiyo ni kero na si mapenzi tena,kama inafikia mtu unaona karaha hapa pana shida
Tatizo si la mwanamke bali la mwanaume,mwanaume jifunze kuweka mipaka katika maisha yako ya mapenzi,tatizo wengi wetu hatujiamini ndio maana tunaacha mambo yaende tu hata kama hatuyapendi
Wanawake wana tabia ya kuleta drama kwahiyo ukikubali drama zake umekwisha,ndiyo hayo ya mleta mada sasa,mimi mke wangu mtarajiwa kwa ndoa ya pili,alianza kawaida ya kunipigia simu saa kumi na mbili asubuhi,nikamwambia huu utaratibu siupendi,maana unanifanya nihisi kama kuna dharura labda mtoto anaumwa kumbe salamu tu
Kanielewa na mapenzi yapo pale pale,hiyo tabia ya mkeo mimi siiwezi yan zamani angeacha huo upuuzi,sikatai kuchekiana lkn hiyo imezidi
Hakuna ubaya kuliza uko wap lakini ndio iwe kila hatua kweli?
Ulioa mwanamke anayevuta sigara?Mke Wangu akat nakutana nae alikua anakunywa... Mbali zaid alikua ata akivuta sigara sio bangi.... Nilimvumilia na mm nilikua nakunywa lkn sigara hapana..
Sijui yalimkuta yapi tulipoingia Ndoanu mwenzangu Kawa mlokole
Mm sijabadilika Bado nakunywa
Ninavohubiriwa kama uyo shetan ndo Mimi
Wanawake wengi ni wabinafsi sana wanapenda tupende wanavyopenda wao
Wataforce kivipiKama mkeo ni msikivu, shukuru Mungu, wengine wataforce tu
Hii naijua hii😂 unaulizwa uko wapi ili kusudi asije akapita anga zako ukamuona na njemba ingineSometimes kila mtu awe na uhuru,mda mwingine anakupigia simu za upelelezi ili akupige tukio
Mtakufa kwa dipresheni shauri zenu 😅🤣🤣🤣🤣 dipresheni hatuachi kuwafuatilia. Tumekataa.
Siku hizi nimeona iwe hivyo tu, nikishatoa taarifa sehemu niliko napiga zangu *21*0755# natulia. Ukifika home unakuta kavimbaAkiwa anajifanya kapinda basi usipokee simu wala kujibu meseji za hivyo,halafu tuone kama atataka talaka au laa
Ebu nipe elimu hii code inafanya nini hasa huenda ikatufaa kwa mambo mengiSiku hizi nimeona iwe hivyo tu, nikishatoa taarifa sehemu niliko napiga zangu *21*0755# natulia. Ukifika home unakuta kavimba
Shukrani sana naishi nayo hiiHiyo code inazuia simu zote, bila kuathiri vitu vingine, yan ww unaweza kupiga cm ila haitapatikana yako. Na kutoa ni #21#