Kumfunga Maria jela miaka 22 kisa nyama ya swala ni matokeo ya kuwa na wanasheria waliokosa hekima na busara

Kumfunga Maria jela miaka 22 kisa nyama ya swala ni matokeo ya kuwa na wanasheria waliokosa hekima na busara

Mijizi ya CAG mnaiacha inadunda mtaani mnakuja kumfunga Mwanamke ambaye hata hakujua ni nyama ya nini, mwanamke ambaye hata huyo swala hasingeweza kumkamata, mwanamke ambaye pengine yeye na Familia yake wanalala chini, mlo mmoja, kaletewa nyama ya mbuzi auze kumbe ni ni swala, yeye ni mkemia mpaka ajue huyu ni Swala?

Miaka 22 kwa nyama yenye thaman ya laki tisa?

Kwamba kupitia hiyo nyama, angekuwa tajiri kama walivyo majizi yenu ya CAG?

Upumbavu, ufedhuli, ujinga, ukosefu wa Hekima na Busara aliouonesha huyu Hakimu unaadhihirisha aina ya Wanasheria uchwara tulionao hapa Nchini.

View attachment 2805999
Hili suala limeniumiza sana
 
Screenshot_20231106-165618.png
 
Hatafungwa kifungo hicho. Ila lazima umma utangaziwe maamuzi ya mahakama. Huyu atakwenda kukaa mahabusu kama wiki tu kisha atatoka ili next time awe makini na wanyama pori

Sheria ni lazima ziwe kali ili kuwalinda wanyana pori sababu tukicheka na hawa raia wadogo wanaozunguka mbunga miaka 10 ijayo wakiwekeza maisha yao kwa hao wanyama hamtaamini namna namna watawatokomeza pia usisahau swala la magonjwa ya mlipuko kutokana na kula nyama ambazo hazijathibishwa ubora wake.

Kwa kifupi tusiwe wepesi sana wa kuleta hisia katika maswala ya kisheria. Huu mchezo wa kuleta hisia ndio chanzo cha rushwa na utendaji mbovu wa mamlaka za serikali sababu wanainchi ndio mstari wa mbele kuwatetea wakosaji sababu wanatia huruma wakitiwa mbaroni.
Unajali wanyama pori kuliko mtu!?..ongeza ulinzi kwenye hizo mbuga siyo kulostisha watu masikini..miaka 22!!!
 
Kifungu cha 326 sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai kimewapa chumba mahakimu na majaji kutumia busara wanapotua huku na kisha kuzingatia ,hali ya maisha ya mtuhumiwa, Ukubwa wa kosa,afya kujirudia kwenye ukosaji na kuwahukumu wakosaji conditional dischage. Au masharti ya kutokutenda kosa kwa kipindi fulani.

Ukiangalia hali ya maisha na afya ya huyu mama hata kama alikuwa mkosaji na kweli alikamatwa na nyama ya Swala. Alitakiwa kuhukumiwa conditional discharge ili ajifunze na sio kifungo cha jela miaka 22 kwa kukutwa tu na kilo 22 za nyama ya Swala.
Ni laana kbs
 
Ukiua tembo mmoja miaka 50 jela na utalipa fidia ya millioni 50.

Ila tembo akikuua familia yako itapata pole ya sh. Million 1 tu.

Ndo kinachofanyika huko kusini . People are die daily
Kuna kitu tunakosea sana kuhusu wanyama pori. Raia hawana elimu ya kuishi nao pale wanapoingia mazingira yao au wanyama wanapokuja mazingira yao.

Nadhani tunahitaji wataalamu wanaowafahamu hawa wanyama vema ili raia waweze kuelekezwa namna ya kuishi nao na kuweza ku:co exist.

Mnyama kama tembo akija eneo la makazi ya watu basi amepata harufu ya chakula kama mahindi, viazi, mihogo na kadhalika. So raia wanatakiwa kujua yule ni mnyama kitendo xha kumletea shari au kutaka kumfukuza itamlazimu kujitetea na ndipo hapo madhara hutokea.

Nimeshaona video ya tembo wanaokwenda kwenye hoteli ya kitalii na wapishi huwa wanaandaa mazaga wanawawekea hapo pembeni maana walifumua paa la jiko na ndipo hapo chakula wanaweka so wakija wanakula wakiwa wamesimama kwa nje na kupenyeza mikonge yao kwa ndani ya chumba cha jiko.

Imeshakuwa mazoea na hao tembo huwa wanakuja hapo mara kwa mara. Aiseee ukiwa muoga huwezi kukaa hilo eneo maana unakuta bonge la tembo linachungulia juu ya paa linaingiza mkonga wake kupapasa msosi. Halafu wanakuja kimya kimya.

Tembo anaweza pita nyuma ya jengo na usijue kama wapo nyuma ya nyumba hapo sasa tokea huko nyuma bila mahesabu utashangaa umempiga kikumbo. Me wakisema sehemu fulani tembo huwa wanapita au kuja sana huwa sishauri mtu aende hayo maeneo kama ana umakini mdogo maana ukizingua wanapita na wewe na kukudedisha ni dakika chache tu.
 
Kifungu cha 326 sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai kimewapa chumba mahakimu na majaji kutumia busara wanapotua huku na kisha kuzingatia ,hali ya maisha ya mtuhumiwa, Ukubwa wa kosa,afya kujirudia kwenye ukosaji na kuwahukumu wakosaji conditional dischage. Au masharti ya kutokutenda kosa kwa kipindi fulani.

Ukiangalia hali ya maisha na afya ya huyu mama hata kama alikuwa mkosaji na kweli alikamatwa na nyama ya Swala. Alitakiwa kuhukumiwa conditional discharge ili ajifunze na sio kifungo cha jela miaka 22 kwa kukutwa tu na kilo 22 za nyama ya Swala.
Mkuu kumbuka hiyo ni economic case [uhujumu uchumi]. Je case za aina hiyo zina hukumu ya conditional discharge?

Nadhani ungesema kwamba sheria zetu zina mapungufu kwa mfano kifungu cha 258[1] na 265 kinachohusu kosa la wizi hakitanabaishi thamani ya mali iliyoibiwa kwa maana kwamba mwizi wa Tshs 1b anafungwa kifungo sawa na mwizi wa Tshs 1m
 
Mijizi ya CAG mnaiacha inadunda mtaani mnakuja kumfunga Mwanamke ambaye hata hakujua ni nyama ya nini, mwanamke ambaye hata huyo swala hasingeweza kumkamata, mwanamke ambaye pengine yeye na Familia yake wanalala chini, mlo mmoja, kaletewa nyama ya mbuzi auze kumbe ni ni swala, yeye ni mkemia mpaka ajue huyu ni Swala?

Miaka 22 kwa nyama yenye thaman ya laki tisa?

Kwamba kupitia hiyo nyama, angekuwa tajiri kama walivyo majizi yenu ya CAG?

Upumbavu, ufedhuli, ujinga, ukosefu wa Hekima na Busara aliouonesha huyu Hakimu unaadhihirisha aina ya Wanasheria uchwara tulionao hapa Nchini.

View attachment 2805999
Hukumu ina kipengele cha faini?
Km kipo ni TSH ngapi mkuu?
 
Mijizi ya CAG mnaiacha inadunda mtaani mnakuja kumfunga Mwanamke ambaye hata hakujua ni nyama ya nini, mwanamke ambaye hata huyo swala hasingeweza kumkamata, mwanamke ambaye pengine yeye na Familia yake wanalala chini, mlo mmoja, kaletewa nyama ya mbuzi auze kumbe ni ni swala, yeye ni mkemia mpaka ajue huyu ni Swala?

Miaka 22 kwa nyama yenye thaman ya laki tisa?

Kwamba kupitia hiyo nyama, angekuwa tajiri kama walivyo majizi yenu ya CAG?

Upumbavu, ufedhuli, ujinga, ukosefu wa Hekima na Busara aliouonesha huyu Hakimu unaadhihirisha aina ya Wanasheria uchwara tulionao hapa Nchini.

View attachment 2805999
Hichi kitu hiki? though nijuavyo, hapo kuna option ya fine, akilipa fine atatoka na swala hana thamani sana, anaweza kugharibu kama milioni tu (kama sikosei). though hata kulipa tu hiyo ati kwasababu ya swala, ni sheria ya kijinga kabisa hiyo.
 
Mijizi ya CAG mnaiacha inadunda mtaani mnakuja kumfunga Mwanamke ambaye hata hakujua ni nyama ya nini, mwanamke ambaye hata huyo swala hasingeweza kumkamata, mwanamke ambaye pengine yeye na Familia yake wanalala chini, mlo mmoja, kaletewa nyama ya mbuzi auze kumbe ni ni swala, yeye ni mkemia mpaka ajue huyu ni Swala?

Miaka 22 kwa nyama yenye thaman ya laki tisa?

Kwamba kupitia hiyo nyama, angekuwa tajiri kama walivyo majizi yenu ya CAG?

Upumbavu, ufedhuli, ujinga, ukosefu wa Hekima na Busara aliouonesha huyu Hakimu unaadhihirisha aina ya Wanasheria uchwara tulionao hapa Nchini.

View attachment 2805999
Nenda jela wewe kwa niaba yake km umemwonea huruma, mnafki mkubwa sheria ni msumemo haiangalii hali ya mtu. Sheria haijatungwa kwa maskini wala tajiri. Km we unajijua ni maskini tii sheria. Ufanye uhalifu halafu ndio uachwe kisa maskini? We kweli ni kenge tena mnafki tu unatafuta umaarufu wa kilofa.
 
Back
Top Bottom