inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hili suala limeniumiza sanaMijizi ya CAG mnaiacha inadunda mtaani mnakuja kumfunga Mwanamke ambaye hata hakujua ni nyama ya nini, mwanamke ambaye hata huyo swala hasingeweza kumkamata, mwanamke ambaye pengine yeye na Familia yake wanalala chini, mlo mmoja, kaletewa nyama ya mbuzi auze kumbe ni ni swala, yeye ni mkemia mpaka ajue huyu ni Swala?
Miaka 22 kwa nyama yenye thaman ya laki tisa?
Kwamba kupitia hiyo nyama, angekuwa tajiri kama walivyo majizi yenu ya CAG?
Upumbavu, ufedhuli, ujinga, ukosefu wa Hekima na Busara aliouonesha huyu Hakimu unaadhihirisha aina ya Wanasheria uchwara tulionao hapa Nchini.
View attachment 2805999
Unajali wanyama pori kuliko mtu!?..ongeza ulinzi kwenye hizo mbuga siyo kulostisha watu masikini..miaka 22!!!Hatafungwa kifungo hicho. Ila lazima umma utangaziwe maamuzi ya mahakama. Huyu atakwenda kukaa mahabusu kama wiki tu kisha atatoka ili next time awe makini na wanyama pori
Sheria ni lazima ziwe kali ili kuwalinda wanyana pori sababu tukicheka na hawa raia wadogo wanaozunguka mbunga miaka 10 ijayo wakiwekeza maisha yao kwa hao wanyama hamtaamini namna namna watawatokomeza pia usisahau swala la magonjwa ya mlipuko kutokana na kula nyama ambazo hazijathibishwa ubora wake.
Kwa kifupi tusiwe wepesi sana wa kuleta hisia katika maswala ya kisheria. Huu mchezo wa kuleta hisia ndio chanzo cha rushwa na utendaji mbovu wa mamlaka za serikali sababu wanainchi ndio mstari wa mbele kuwatetea wakosaji sababu wanatia huruma wakitiwa mbaroni.
Ni laana kbsKifungu cha 326 sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai kimewapa chumba mahakimu na majaji kutumia busara wanapotua huku na kisha kuzingatia ,hali ya maisha ya mtuhumiwa, Ukubwa wa kosa,afya kujirudia kwenye ukosaji na kuwahukumu wakosaji conditional dischage. Au masharti ya kutokutenda kosa kwa kipindi fulani.
Ukiangalia hali ya maisha na afya ya huyu mama hata kama alikuwa mkosaji na kweli alikamatwa na nyama ya Swala. Alitakiwa kuhukumiwa conditional discharge ili ajifunze na sio kifungo cha jela miaka 22 kwa kukutwa tu na kilo 22 za nyama ya Swala.
Wanasiasa katiba mpya wanalilia time huru tu badala ya kudili na sheria za kiwaki Kama hizi
Kuna kitu tunakosea sana kuhusu wanyama pori. Raia hawana elimu ya kuishi nao pale wanapoingia mazingira yao au wanyama wanapokuja mazingira yao.Ukiua tembo mmoja miaka 50 jela na utalipa fidia ya millioni 50.
Ila tembo akikuua familia yako itapata pole ya sh. Million 1 tu.
Ndo kinachofanyika huko kusini . People are die daily
Mkuu kumbuka hiyo ni economic case [uhujumu uchumi]. Je case za aina hiyo zina hukumu ya conditional discharge?Kifungu cha 326 sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai kimewapa chumba mahakimu na majaji kutumia busara wanapotua huku na kisha kuzingatia ,hali ya maisha ya mtuhumiwa, Ukubwa wa kosa,afya kujirudia kwenye ukosaji na kuwahukumu wakosaji conditional dischage. Au masharti ya kutokutenda kosa kwa kipindi fulani.
Ukiangalia hali ya maisha na afya ya huyu mama hata kama alikuwa mkosaji na kweli alikamatwa na nyama ya Swala. Alitakiwa kuhukumiwa conditional discharge ili ajifunze na sio kifungo cha jela miaka 22 kwa kukutwa tu na kilo 22 za nyama ya Swala.
Akina kinana na meno ya tembo daily hakuna anayewagusa. Wangese nasa.Ni kukaa mbali na Nyara Ujangili haufai lakini inaonyesha hakuwa peke yake huyo Mama.
Yule Mwana CCM aliyekamatwa na Nyama ya pori kule Kishapu hivi alifungwa miaka mingapi?
Vipo basi? Watu fulani hivi wanaofuata maagizo ya mabosi wao. Hakuna ubunifu zaidi ya kusimamia majizi ya nchi hii.Mambo haya yanaumiza kwakweli .
Unaniuliza , hivi vyombo vyetu vya usalama, kazi Yao nini??.
Hukumu ina kipengele cha faini?Mijizi ya CAG mnaiacha inadunda mtaani mnakuja kumfunga Mwanamke ambaye hata hakujua ni nyama ya nini, mwanamke ambaye hata huyo swala hasingeweza kumkamata, mwanamke ambaye pengine yeye na Familia yake wanalala chini, mlo mmoja, kaletewa nyama ya mbuzi auze kumbe ni ni swala, yeye ni mkemia mpaka ajue huyu ni Swala?
Miaka 22 kwa nyama yenye thaman ya laki tisa?
Kwamba kupitia hiyo nyama, angekuwa tajiri kama walivyo majizi yenu ya CAG?
Upumbavu, ufedhuli, ujinga, ukosefu wa Hekima na Busara aliouonesha huyu Hakimu unaadhihirisha aina ya Wanasheria uchwara tulionao hapa Nchini.
View attachment 2805999
Hichi kitu hiki? though nijuavyo, hapo kuna option ya fine, akilipa fine atatoka na swala hana thamani sana, anaweza kugharibu kama milioni tu (kama sikosei). though hata kulipa tu hiyo ati kwasababu ya swala, ni sheria ya kijinga kabisa hiyo.Mijizi ya CAG mnaiacha inadunda mtaani mnakuja kumfunga Mwanamke ambaye hata hakujua ni nyama ya nini, mwanamke ambaye hata huyo swala hasingeweza kumkamata, mwanamke ambaye pengine yeye na Familia yake wanalala chini, mlo mmoja, kaletewa nyama ya mbuzi auze kumbe ni ni swala, yeye ni mkemia mpaka ajue huyu ni Swala?
Miaka 22 kwa nyama yenye thaman ya laki tisa?
Kwamba kupitia hiyo nyama, angekuwa tajiri kama walivyo majizi yenu ya CAG?
Upumbavu, ufedhuli, ujinga, ukosefu wa Hekima na Busara aliouonesha huyu Hakimu unaadhihirisha aina ya Wanasheria uchwara tulionao hapa Nchini.
View attachment 2805999
Nenda jela wewe kwa niaba yake km umemwonea huruma, mnafki mkubwa sheria ni msumemo haiangalii hali ya mtu. Sheria haijatungwa kwa maskini wala tajiri. Km we unajijua ni maskini tii sheria. Ufanye uhalifu halafu ndio uachwe kisa maskini? We kweli ni kenge tena mnafki tu unatafuta umaarufu wa kilofa.Mijizi ya CAG mnaiacha inadunda mtaani mnakuja kumfunga Mwanamke ambaye hata hakujua ni nyama ya nini, mwanamke ambaye hata huyo swala hasingeweza kumkamata, mwanamke ambaye pengine yeye na Familia yake wanalala chini, mlo mmoja, kaletewa nyama ya mbuzi auze kumbe ni ni swala, yeye ni mkemia mpaka ajue huyu ni Swala?
Miaka 22 kwa nyama yenye thaman ya laki tisa?
Kwamba kupitia hiyo nyama, angekuwa tajiri kama walivyo majizi yenu ya CAG?
Upumbavu, ufedhuli, ujinga, ukosefu wa Hekima na Busara aliouonesha huyu Hakimu unaadhihirisha aina ya Wanasheria uchwara tulionao hapa Nchini.
View attachment 2805999
Alifungwa massa 14.Ni kukaa mbali na Nyara Ujangili haufai lakini inaonyesha hakuwa peke yake huyo Mama.
Yule Mwana CCM aliyekamatwa na Nyama ya pori kule Kishapu hivi alifungwa miaka 20 na mingapi?